Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Ameshafuta hilo neno baya ,wakati nilipoenda kuconfirm niliona lipo baada ya dakika mbili akaedit na kuliondoa.

Nimeona watu wanamlaumu Mona inakuwaje mwanae ajitakanze shoga halafu yeye amekaa kimya tu?

Mshana Jr umesaidia maana amelifuta ila hata kama ni shoga ilitakiwa asijitangaze aisee.....Ila nimeona anakaa Zanzibar ,na huko Zanzibar wamejaa kina faki daddy faki na Kiringo wa kutosha.

Zbar kuna chuo cha kuzalisha mapunga zeze
 
Kwanini umeni-quote?

Haikuwa hekima kwako kupita kimya kimya tu au ili nijue na huku upo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si nimekuhurumia jaman kwa mateso unayopitia?? Au vibayaa?
 
Si wewe hapo, mwengine boflo sijui kafa yule[emoji28][emoji28][emoji28] pia faizafoxy unaweza kuta nalo bwabwa maana si kwa kuchamba kule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee babuuu em kwan, kumbe mie ndo maarufu JF?? Awwww mbna taarifa cnaa eti.
 
Ni kama huku tu unakuta mwanaume anajiita jina la kike na anaishi humu JF kama mwanamke, huo nao ni ushoga wa kidigitali.

Ila ushoga kuuzibiti ni kazi ngumu sana tushachelewa tangu mwaka 2000 ulipoingizwa kwenye katiba ya Jamhuri ama kwa makusudi au kwa kutokujua na Bunge letu hili hili.

Usishtuke au kubisha nenda kasome Ibara ya 13 (5) ya Katiba ya Jamhuri ya 1977 vizuri na kuielewa. Ndio maana ni ngumu sana kuiona Jamhuri ikipeleka kesi Mahakamani inafahamu yatakayoibuka hayataweza kubebeka.

Na katiba ndio sheria mama, itailazimisha Mahakama kutamka kuwa sheria.zinazopinga hiyo kitu kuwa ni batili, then tutajikuta tumenasa mtegoni kama Kenya ilivyotokea. Sio kwamba wanaunga mkono ushoga ila ni wamejaa mtegoni.
Wasipoelewa hapa, hawataelewa tenaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nina mawazo tofauti kidogo kuhusu hili suala,tusiangalie mashoga tu tuangalie na mabasha wanaowafira hawa mashoga. Naona kama nguvu kubwa imewekezwa kwa anayefirwa bila kuangalia wanaoendelea kuwaharibu hawa vijana. Tunapokataza na kulaani mashoga tuwalaani na mabasha pia!!

Yes hawa ndio hasa wanaharibu jamii maana wana tabia ya kuingilia kinyume na maumbile vijana wadogo wenye tamaa ya fedha na kupenda vitu vizuri
 
Nina mawazo tofauti kidogo kuhusu hili suala,tusiangalie mashoga tu tuangalie na mabasha wanaowafira hawa mashoga. Naona kama nguvu kubwa imewekezwa kwa anayefirwa bila kuangalia wanaoendelea kuwaharibu hawa vijana. Tunapokataza na kulaani mashoga tuwalaani na mabasha pia!!
Hakika kabla ya kudili na muhusika tudili na chanzo kwanza hao wafilaji
 
  • Thanks
Reactions: Gru
Na deliscious walitoka siku ya tatu kwa milioni tano. Watu walidhani wangekosa fedha za kulipa waozee huko. Wengine walishabikia kwamba wangeolewa huko jela.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan Delicious mwenyewe alikua hajui namna ya kuwabana polisi. Wangekutana na shoga msomi na anayejua vizuri katiba angewafurahishaaaa mnoooo.

Mil 5 ilitoka km geresha tyuuh, hata km wangekaza kutotoa wangetoka nje tyuuh, kwa case ya ushoga hapa Bongo hakuna atae fungwaaa kamwee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We sasa huna mpinzani jumanyokole wetu[emoji847][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee hapanaa mie sio juma lokole, usinipe nyota ya umaskini.

Sema James Charles bhana, au kwa mbali Bob Risky.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee hapanaa mie sio juma lokole, usinipe nyota ya umaskini.

Sema James Charles bhana, au kwa mbali Bob Risky.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hela yenyewe huna we km boflo tu😅😅😅
 
Hela yenyewe huna we km boflo tu[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ninayooo ila sihongii wanaume, naziweka ili baadae nilee vibenteni na Marioos.

Somizi ndo anaweza kuleaa vibenten bado yuko mbichii akuuuu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yes hawa ndio hasa wanaharibu jamii maana wana tabia ya kuingilia kinyume na maumbile vijana wadogo wenye tamaa ya fedha na maisha kupenda vitu vizuri
kuna mmoja anaongea lafudhi ya pwani ya kenya anapenda kuonesha simu ya gharama kubwa kuwa kaipata kwa kubunyuliwa
 
Back
Top Bottom