Watoto wadogo ndani ya hijab

Watoto wadogo ndani ya hijab

Sasa wewe kinakuuma nini mimi nikimvalisha mtoto wangu hijabu? Tangu lini tumeanza kupangiana mavazi ya watoto wasio kuhusu?
Na wewe si una watoto wako ambao wanatembea uchi wamevaa skin tight mbona sisi hatukupangii cha kuwavalisha? Watoto kutembea kichwa wazi sio kazi yangu mimi wala hayanihusu iweje wewe upate uchungu kwa mtoto wangu kuvaa hijabu? Wewe ndio umemzaa au unamlisha mtoto wangu mpaka unipangie?

Nyie wakristo bhana ni watu wa ajabu sana! Nyie hamuifati dini yenu lakini roho zinawauma sana mkiona waislamu wanafuata dini yao. Hebu niambie huo uchungu wa sisi waislamu kufuata dini yetu nyie kinawauma nini? Na nyie fateni maamrisho ya dini zenu bhana tusiingiliane kwenye privacy zetu haziwahusu. Nyie pambaneni na ushoga huko makanisani kwenu

Hijabu anavaa Mh Raisi sasa endelea kununa mpaka upasuke kabisa manake kila kona kuna picha ya Raisi wa nchi kavaa hijabu..
 
Children labdda mwenzagu huoni tofauti
Nimekemea watoto wadogo kulazimishwa kuvaa izo hijab sijakataa wala kulalamika watu wazima
Unamkemea mtoto wangu wewe kama nani kwa mfano? Ndugu hebu fuata mambo yako yasiyokuhusu achana nayo. Hicho huwa tunaita kiherehere na kwa wanaume ni aibu sana kuwa na kiherehere kwa yasiyo kuhusu..wewe mvishe mwanao bukta hamna atakayekuuliza. Achana na dini yetu haikuhusu wala usijitie kuwasemea watoto wetu tuliowazaa wenyewe hawakuhusu hao.
 
Wengi wanaovaa kobaz akili ndogo,
Japo wenyewe ujionaga sijui maniniii
Wewe mwenye akili kubwa zinakusaidia nini kutembea uchi?
Nyie tumewazidi mengi sana nyie hata kuchamba tu hamjui mnatembea na mavi ma...koni..
Uislamu pekee ndio dini inamfundisha mtu mavazi na kujisafisha..tuachieni dini yetu haiwahusu. Fateni dini yenu hiyo isiyo na kichwa wala miguu
 
Kama unahisi kuvaa hivyo ni ushamba na kwenda kanisani mapaja wazi ndio usasa basi una tatizo la afya ya akili.
I give up; Tanzania akili mavi kabisa; me nasema watoto mijitu bado inakazana watu wazima no wonder even child marriage mnaona sawa tu.
 
hayo sio mavazi ya dini tukufu ya kiisla,tatizo hamsomi unafikiri uislam ni kutengeneza sgda tu!!! hayo ni mavazi ya jadi ya jamii ya watu wa mashariki,kama ilivo kwa vaazi la PUSHKIN kwa wa2 wa AFGHANSTAN,,,,,MWENYENZI MUNGU anasema kwenye kitabu kitakatifu"na tukawapa mavazi meupe marefu ya kuasitiri wakati wa joto kali, vilevile wakati baridi, nawanawake watfunika vichwa vyao kwa vitambaa navazi marefu ya kusitiri miili yao" soma acha kukariri,,,,ona makalasinga wanavovaa ??? na ona vilemba vyao,je? hao makalasinga ni waislam???? si wana dini yao ya ajabu na wanaabudu masanamu!!!!!!!????,,ona wahindi wanavovaa wanawake wao kujifunika na wanaume wao wanavovaa makanzu je??? wahindi wale ni waislam????...hao wahindi si wana dini yao ya kihindu wakimwabudu mungu wao aitwaye KRISHNA!!!! kama hauwezi kusome kiarabu kanunue Q'RAN iiliyoandikwa kwa kiswahili na marehemu sheikh aliyekuwa sheikh mkuu wa mombasa!!!
Hamna utukufu wowote kw mavazi; utukufu au utu wema upo moyoni. Kuna wachafu kibao bado na hayo mavazi yao?
 
Wewe mwenye akili kubwa zinakusaidia nini kutembea uchi?
Nyie tumewazidi mengi sana nyie hata kuchamba tu hamjui mnatembea na mavi ma...koni..
Uislamu pekee ndio dini inamfundisha mtu mavazi na kujisafisha..tuachieni dini yetu haiwahusu. Fateni dini yenu hiyo isiyo na kichwa wala miguu
Yaani hawa watu wa ovyo bwana; so mtoto mdogo kutolazimishwa kuvaa hijab ndo kutembea uchi??? Pumbaf kabisa na hata asipovaa iyo hijab so wewe ndo utamtamani sio???😳😳😳 unatia kichefchef tu
 
Nani amechagua huo uislam au dini nyingine yoyote wakati mtoto anazaliwa mnaanza project iyo kumvisha hijab, madrasa mpk anakua. Huo muda wa kuchagua kapata wapi? Dini zote 99% zinarithiwa na si kuchaguliwa na yes zote zimetengenezwa na binadam unless ulikuwepo uko miaka 1400 iliyopita na ukamuona bwana Mo akipokea izo aya na uyo malaika ambaye anaongea kiarabu tu katika lugha elfu na( na otea wap?😂 Uarabuni) na alivyokufa akapaa mbinguni na farasi wa kupaa... km ivyo km stori za bikira maria au yesu zote mmerithi na hamna ushahidi. So unarudia mantra tu.
 
Usitupangie kila mtu na afanye anachoona kinampendeza na kumfaa.
Acha makasiriko.
 
Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili😳😳😳 kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?

Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.

Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.

Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.
Well said, Waafrika wengi ni wajinga sana, dunia hii ya leo ya uwazi na ukweli kutotaka kujuwa ukweli ni ujinga uliopitiliza kwa kweli. Hivi hawa wazazi wanaowavalisha watoto wao hijab au hata wao wenyewe wanajuwa kwanini wanawake wa Kiarab wanavaa hijab? Tusiposoma kamwe hatutoweza kutoboa kimaisha, ni ujinga kuvalisha watoto magunia vichwani wakati wao si Waarab.
 
Nakubaliana na wewe 100% wewe km wewe mtu mzima ila mtoto😩😩😩😩 anyway hayo maoni yangu tu
Usitupangie kila mtu na afanye anachoona kinampendeza na kumfaa.
Acha makasiriko.
 
Historia yenyewe tu has to do with woman has to cover her brains because Eve ate from the tree of knowledge hence knowledge became a sin symbolically na iyo imetoka from Uyuda kabla hata ya Uislam plus hijab kwa wanawake wenye nywele ndefu works kwa watu wenye nywele km wazungu sio Afro zetu zikiwa juu na ukiachia sio rahisi mpk ubane thats why cc viremba au turban ndo were popular
Well said, Waafrika wengi ni wajinga sana, dunia hii ya leo ya uwazi na ukweli kutotaka kujuwa ukweli ni ujinga uliopitiliza kwa kweli. Hivi hawa wazazi wanaowavalisha watoto wao hijab au hata wao wenyewe wanajuwa kwanini wanawake wa Kiarab wanavaa hijab? Tusiposoma kamwe hatutoweza kutoboa kimaisha, ni ujinga kuvalisha watoto magunia vichwani wakati wao si Waarab.
 
Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili😳😳😳 kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?

Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.

Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.

Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.
Kasome tena kaka
 
Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili[emoji15][emoji15][emoji15] kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?

Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.

Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.

Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.
Mtoto wangu, hijab nimenunua Mimi sikukuomba hata senti moja, Nina mvisha mwanangu si wako, sikupangii na wewe usinipangie, Biblia huilewi Qur an utaiweza? Fuata yako ya hijab hayakuhusu
 
Historia yenyewe tu has to do with woman has to cover her brains because Eve ate from the tree of knowledge hence knowledge became a sin symbolically na iyo imetoka from Uyuda kabla hata ya Uislam plus hijab kwa wanawake wenye nywele ndefu works kwa watu wenye nywele km wazungu sio Afro zetu zikiwa juu na ukiachia sio rahisi mpk ubane thats why cc viremba au turban ndo were popular
Hajabu wananchi wetu hawataki kujuwa ukweli wao wanaona sifa kuiga tu vitu bila hata kujuwa ukweli. Utashangaa unakuta mtu mzima na kasoma eti anavaa hijab huku akiona sifa. Kwa Waarab na watu wa Mashariki ya Kati kuna umuhimu wao kuvaa hivyo kutokana na jiografia yao. Sheikh yeyote anayehimiza wanawake wa Kiislam kuvaa hijab huyo ni mpuuzi na hajuwi ukweli.
 
Mtoto wangu, hijab nimenunua Mimi sikukuomba hata senti moja, Nina mvisha mwanangu si wako, sikupangii na wewe usinipangie, Biblia huilewi Qur an utaiweza? Fuata yako ya hijab hayakuhusu
Sawa; pia ukiamua kumbaka au kuangalia naye porno pia fanya; c mwanako? Pia ukiamka na kujisikia kumkata masikio kupata juice pia fanya; ni mwanako🤐🤐 nisamehe mimi Kafir🤐🤐🤐
 
Hajabu wananchi wetu hawataki kujuwa ukweli wao wanaona sifa kuiga tu vitu bila hata kujuwa ukweli. Utashangaa unakuta mtu mzima na kasoma eti anavaa hijab huku akiona sifa. Kwa Waarab na watu wa Mashariki ya Kati kuna umuhimu wao kuvaa hivyo kutokana na jiografia yao. Sheikh yeyote anayehimiza wanawake wa Kiislam kuvaa hijab huyo ni mpuuzi na hajuwi ukweli.
Nyie matahira mbona mnashupaza shingo kwa vitu msivyovijua.
 
Business as usual, wavaa rozari wengi ni mbumbumbu hasa hawa wa humu ..mmeishindwa kuitoa ccm madarakani Sasa mnahangaika kuuchafua uislamu.

Ajabu sisi waislamu hatuna muda wa kuhangaika kuandika kuhusu ukristo wenu,hatuwezi kujadiliana na wapotevu mpk warudi katika haki.
 
Back
Top Bottom