Watoto wadogo ndani ya hijab

Watoto wadogo ndani ya hijab

Hili suala huwa lina-ambatana na unafik mkubwa sana for instance mtoto anavaa hijab akiwa anaenda shule au sehemu mahasusi akitoka hapo nyumban havai hiyo hijab wala nn.
Sasa hapo unafki upo wapi mtu anatakiwa ajistiri akiwa public akirudi nyumbani yupo na nduguzake anaruhusiwa kutoa hijab, hiyo ni sawa kabisa sasa hapo kinachokuuma nini , elimu yetu inazalisha watu wa hovyo sana , hivi hijab avae yule kuumia unaumia wewe aise
 
Vipi hawa wamevaaje?
Nyuso (masikio, macho, mdomo, pua ) vyaonekana ..... wapanga kwa gari wakuta mtu amejifunika na kuvaa miwani... ole wako usinzie, waweza kuta umeegemea dume na denda lakutoka
 
Utasikia wanakuambia, chakula kilichofunikwa na kilochoachwa wazi utachagua kipi?

Utasikia Mashallah, mwanamke Stara

Stupidity at its best. Kwamba kuvaa stara eti ni kwa ajili ya kumlaghai mwanaume kwamba wajisitiri na wala huna uhovyo.

Enyi Wana wa Ishamael, nani kawaloga? Tabia ndiyo kielelezo kikuu cha ustaarabu. Uvae nikabu, umefunika pua na kila mahali, ila tundu la choo limepanuka ka birika la Hoteli.

Pathetic!.
Jamani

Good afternoon!
 
Nyuso (masikio, macho, mdomo, pua ) vyaonekana ..... wapanga kwa gari wakuta mtu amejifunika na kuvaa miwani... ole wako usinzie, waweza kuta umeegemea dume na denda lakutoka
Si kitu kilekile tu ni hijab ni aina tu ya uvaaji ila husikii mtu akipiga kelele ila akivaa muislamu kelele na matusi , utaafikiri umevalishwa wewe
 
Hijabu anaveshwa mtoto wa mtu mwingine halafu mtu Baki anabaki anateseka, maajabu sana.

Dunia iko na watu wengi mno! sidhani kama unamudu kuwaendesha vile wewe unataka.

Potezea, watoto wa mjini wanasema Fanya yako
Mwambie pia hijab/baibuini fasheni asiteseke sana ata yeye anaweza kuvaa pia[emoji23][emoji23]
 
Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili[emoji15][emoji15][emoji15] kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?

Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.

Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.

Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.
We jamaa umekula bangi nn?, sheria za dini ya watu ambazo ww huzijui unaanza kuzijadili za nn?, acha hayo mambo kabisa
 
Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili😳😳😳 kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?

Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.

Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.

Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.
Ujinga tumeumbiwa sisi weusi.
Inasikitisha watoto wanabanwa na joto, wanapambania elm ahera.
 
We jamaa umekula bangi nn?, sheria za dini ya watu ambazo ww huzijui unaanza kuzijadili za nn?, acha hayo mambo kabisa
Kesho ukikatwa panga kwa kosa lolote pia usilalamike dini za wengine sawa😂😂😂
 
Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili😳😳😳 kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?

Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.

Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.

Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.
Udini utakuponza
 
Haya mambo ya mtu kufanyankitu kwaajili ya dini yake visiwaumize ilimradi hakuumizi ww. Maswala ya imani yanawakaa watu kiasi kwamba huwezi badili misimamo yake. Mimi ni mkristo ila sioni tabu wakijifunika kuanzia kichwa mpaka miguu
 
Papa sio Kiongozi wa wakristo, ni kiongozi wa Wakatoliki... Kumbe wewe ni mkatoliki mnapumuliana tu, na wewe wanakupumulia tu? Maana umeandika mnaruhusiwa kupumuliana, mmepuliwa mara ngapi
Ukatoliki ndio ukristo hao wengine kina nani Anglikana wameanza kitambo tu kunakanisa linakataza kupumuliana??? Pambana na Hijabu ikatazwe...
 
Ukatoliki ndio ukristo hao wengine kina nani Anglikana wameanza kitambo tu kunakanisa linakataza kupumuliana??? Pambana na Hijabu ikatazwe...
Wewe unaujua ukristo au tukuite wa kukurupuka? Wakatoliki hawana maamuzi dhidi ya madhehebu mengine. Na kwenye ukristo hatulazimishani, na papa sio mkuu wa kristo, ni mkuu wa dhehebu la wakatoliki. Japo sisi wote ni Dini moja na tunaongozwa na biblia, tunatofautiana kwenye kuitafsiri tu kwenye baadhi ya mambo
 
Utasikia wanakuambia, chakula kilichofunikwa na kilochoachwa wazi utachagua kipi?

Utasikia Mashallah, mwanamke Stara

Stupidity at its best. Kwamba kuvaa stara eti ni kwa ajili ya kumlaghai mwanaume kwamba wajisitiri na wala huna uhovyo.

Enyi Wana wa Ishamael, nani kawaloga? Tabia ndiyo kielelezo kikuu cha ustaarabu. Uvae nikabu, umefunika pua na kila mahali, ila tundu la choo limepanuka ka birika la Hoteli.

Pathetic!.
Unataka uwapangie cha kufanya? Mbona una wivu wa kike hivyo?
 
Utasikia wanakuambia, chakula kilichofunikwa na kilochoachwa wazi utachagua kipi?

Utasikia Mashallah, mwanamke Stara

Stupidity at its best. Kwamba kuvaa stara eti ni kwa ajili ya kumlaghai mwanaume kwamba wajisitiri na wala huna uhovyo.

Enyi Wana wa Ishamael, nani kawaloga? Tabia ndiyo kielelezo kikuu cha ustaarabu. Uvae nikabu, umefunika pua na kila mahali, ila tundu la choo limepanuka ka birika la Hoteli.

Pathetic!.
Mama yako anavaa vimini?
Vipi mama yako nae anafanya huo mchezo?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Sasa hapo unafki upo wapi mtu anatakiwa ajistiri akiwa public akirudi nyumbani yupo na nduguzake anaruhusiwa kutoa hijab, hiyo ni sawa kabisa sasa hapo kinachokuuma nini , elimu yetu inazalisha watu wa hovyo sana , hivi hijab avae yule kuumia unaumia wewe aise
Wewe kobe nikisema nyumban namaanisha mazingira yaliyomzunguka mtaani etc
 
Back
Top Bottom