Watoto wadogo ndani ya hijab

Watoto wadogo ndani ya hijab

Business as usual, wavaa rozari wengi ni mbumbumbu hasa hawa wa humu ..mmeishindwa kuitoa ccm madarakani Sasa mnahangaika kuuchafua uislamu.

Ajabu sisi waislamu hatuna muda wa kuhangaika kuandika kuhusu ukristo wenu,hatuwezi kujadiliana na wapotevu mpk warudi katika haki.
Hiyo haki ni ipi? Inabidi uelewe kitu kijana, Wakristu si watu wa kuindoa serikali yeyote madarakani hilo ni jukumu la kila Mtanzania pamoja na wewe ujifanyaye Mwarab koko.
 
Kuhusu Hijab, Kikwete umemuonea; hijabu ziliruhusiwa enzi za utawala wa Mkapa. Wazee na viongozi wa Kiislam ndio walimuomba Mkapa hilo la wao kuruhusiwa kuvaa hijab then akawaruhusu; before that ulikua ukienda shuleni or ofisini ulikua huwezi kumjua mtu Dini yake kwa mavazi; hu upuuzi umeanza katikatika ya miaka ya 90. Kibaya zaidi, wanawake wa Kiislamu tunajiliaga tu huku kwenye ma guest houses, anavaa hijabu ili akipita kuelekea guest asijulikane. Upuuzi tu
 
Kuhusu Hijab, Kikwete umemuonea; hijabu ziliruhusiwa enzi za utawala wa Mkapa. Wazee na viongozi wa Kiislam ndio walimuomba Mkapa hilo la wao kuruhusiwa kuvaa hijab then akawaruhusu; before that ulikua ukienda shuleni or ofisini ulikua huwezi kumjua mtu Dino yake kwa mavazi; hu upuuzi umeanza katikatika ya miaka ya 90. Kibaya zaidi, wanawake wa Kiislamu tunajiliaga tu huku kwenye ma guest houses, anavaa hijabu ili akipita kuelekea guest asijulikane. Upuuzi tu
Umenena vyema sema hilo la Guest House halina dini , ngono na uasherati hauna dini.
Suala la kuvaa nguo zinazo ashiria dini fulani ni baya sana, mtu akifika kuomba huduma ama kupata huduma fulani na akaona kuna mtu wananana ki-imani na akampa ile salamu basi lazma atapata upendeleo, hili limekaliwa kimya lakini ni baya sana.
Si
 
Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.
Sitaji dini ya mtu, watu, ya kuletewa na kupelekewa ila wapendwa tujue tu kwamba DINI ZA MAJAHAZI ZIMETUHARIBU SANA, siku tukirudi factory setting tutatambua.
Huu upuuzi wa kulazimisha watu wasioe sijui mzungu gani kasema, watu wajifunike sijui mwarabu gani kasema ni utumwa na kabla ya kudai katiba tuondokane na huo upuuzi.
 
Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili😳😳😳 kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?

Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.

Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.

Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.
Umeanzisha mada na umeimaliza mada.
Atakayeingiza ujuaji wake hapo ni mpumbaf.
 
Umenena vyema sema hilo la Guest House halina dini , ngono na uasherati hauna dini.
Suala la kuvaa nguo zinazo ashiria dini fulani ni baya sana, mtu akifika kuomba huduma ama kupata huduma fulani na akaona kuna mtu wananana ki-imani na akampa ile salamu basi lazma atapata upendeleo, hili limekaliwa kimya lakini ni baya sana.
Si
I know halina dini mkuu, ndio maana mie ambae sio wa dini yao nimefanya ngono; what I meant is, "vazi limekuja kusaidia kujifichia madhambi" yaani mvaaji anavaa kwa lengo la kujificha asijulikane na watu
 
Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili😳😳😳 kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?

Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.

Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.

Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.
Zaa Wako Usiwavalishe Dada AchA wenge kwani joto anaona Mama Ako au Mumeo?Acha kuingilia Imani za Watu Kima wewe .
 
Zaa Wako Usiwavalishe Dada AchA wenge kwani joto anaona Mama Ako au Mumeo?Acha kuingilia Imani za Watu Kima wewe .
Hapa wazungu na waarabu ndio waliingilia imani zetu, hatukuwa na chuki kati ya mwafrika na mwafrika, umeona eeh!
 
Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili😳😳😳 kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?

Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.

Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.

Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.
We hunA Akili unadhani huu upumbavu wako umetoka nao wapi ni toka uko mdogo wAzazi wakO ndo wamepanda mbegu hii kichwani mwako toka kitambo na bila kubatizwa ungekufa mwislam ndo maana wAzazi wako wakakutia kwenye Ukafiri ungali mdogo Kenge bluu.
 
Utasikia wanakuambia, chakula kilichofunikwa na kilochoachwa wazi utachagua kipi?

Utasikia Mashallah, mwanamke Stara

Stupidity at its best. Kwamba kuvaa stara eti ni kwa ajili ya kumlaghai mwanaume kwamba wajisitiri na wala huna uhovyo.

Enyi Wana wa Ishamael, nani kawaloga? Tabia ndiyo kielelezo kikuu cha ustaarabu. Uvae nikabu, umefunika pua na kila mahali, ila tundu la choo limepanuka ka birika la Hoteli.

Pathetic!.
Kafiri Kazini kwako.ndo maana Mtume Paulo akaamua zake Amiminwe.
 
We Mama ndo ameonyesha jinsi gani inatakiwa watoto wa kike wavalishwe hijab bila hivyo ukubwani watakutana na wanaume saizi ya Baba Ako watafanya ngono watazaliwa Mtoto Saizi yako utakuja kwenye mitandao na kuanza kubweka bweka na kufanya tunaotumia mitandao hatuna Ubongo tuna tope la maji ya chooni.
 
Hamna utukufu wowote kw mavazi; utukufu au utu wema upo moyoni. Kuna wachafu kibao bado na hayo mavazi yao?
Akili za Makafiri bhana we umedanganywa na Paulo mzee wa kumiminwa hivi ukiletewa Mtu mmoja ana Tattoo Amevaa Kata K na Mtu mwingine amevaa suti ukaambiwa inatakiwa umkabithi pesa zako apeleke benki nani unaweza kumwamini na kumpa pesa Zako?
 
Well said, Waafrika wengi ni wajinga sana, dunia hii ya leo ya uwazi na ukweli kutotaka kujuwa ukweli ni ujinga uliopitiliza kwa kweli. Hivi hawa wazazi wanaowavalisha watoto wao hijab au hata wao wenyewe wanajuwa kwanini wanawake wa Kiarab wanavaa hijab? Tusiposoma kamwe hatutoweza kutoboa kimaisha, ni ujinga kuvalisha watoto magunia vichwani wakati wao si Waarab.
Uzuri kwenye Quran tumeshaambiwa jinsi ya kuishi na makafiri Tena tumeambiwa 'Hawatokuwa Radhi Mayahudi nA Manaswara Mpaka mfuate Mila Zao'mwisho wa kunukuru!Kwa Asiye elewa Naswara ni Mkristo au kafiri asiye amini Mungu Mmoja.
 
Hajabu wananchi wetu hawataki kujuwa ukweli wao wanaona sifa kuiga tu vitu bila hata kujuwa ukweli. Utashangaa unakuta mtu mzima na kasoma eti anavaa hijab huku akiona sifa. Kwa Waarab na watu wa Mashariki ya Kati kuna umuhimu wao kuvaa hivyo kutokana na jiografia yao. Sheikh yeyote anayehimiza wanawake wa Kiislam kuvaa hijab huyo ni mpuuzi na hajuwi ukweli.
Hata Mama Ako Sio Mkweli Alipomsingizia Mimba Yako BabaAko.
 
Kuhusu Hijab, Kikwete umemuonea; hijabu ziliruhusiwa enzi za utawala wa Mkapa. Wazee na viongozi wa Kiislam ndio walimuomba Mkapa hilo la wao kuruhusiwa kuvaa hijab then akawaruhusu; before that ulikua ukienda shuleni or ofisini ulikua huwezi kumjua mtu Dini yake kwa mavazi; hu upuuzi umeanza katikatika ya miaka ya 90. Kibaya zaidi, wanawake wa Kiislamu tunajiliaga tu huku kwenye ma guest houses, anavaa hijabu ili akipita kuelekea guest asijulikane. Upuuzi tu
Kwani Nyi Makafiri hivi Wanawake wa kikristo Hawaliwi Au Hawana Thamani?Inaonekana ni fahari kula Mwanamke wa kiislam.
 
Sitaji dini ya mtu, watu, ya kuletewa na kupelekewa ila wapendwa tujue tu kwamba DINI ZA MAJAHAZI ZIMETUHARIBU SANA, siku tukirudi factory setting tutatambua.
Huu upuuzi wa kulazimisha watu wasioe sijui mzungu gani kasema, watu wajifunike sijui mwarabu gani kasema ni utumwa na kabla ya kudai katiba tuondokane na huo upuuzi.
Utakapo maliza kuandika huu upupu wako Achana na vitu vyote vilivyoletwA na Majahazi Tunategemea hata nguo utaachana nazo na kuanza kuvaa magome ya miti kwa Akili yako inaniambia wote mnaojifanya hamna dini ni Wakristo mliokata tamaa na dini yenu mnataka kuwaamjnisha vijana wa Kiislam kwanba dini ni upuuzi Hii kampeni inakuwA Kwa kasi Sana Ila Hamtafanikiwa kamwe.
 
Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili😳😳😳 kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu?

Dini iwe yako na umuache mwanamke mtu mzima aamue kuvaa huo ushungi; unaanzaje to impose mtoto mdogo this? Waafrika wengi wajinga na hata dini yenyewe hawaielewi; kwana hijab au hata niqab hazijatajwa popote kw Quran; tena Niqab, Burka or Ninja ya Taliban ndo hazihusiani kabisa na Uislamu bali ni mautamaduni ya watu waishayo kw janga uko kuwalinda macho na nyuso kw gharika la vumbi ila cc waafrika km kawa kuiga tu ni sawa tuvae makoti mazito na joto hili.

Pili hijab pia haitajwi bali Quran imesema kuvaa vizuri au dress modestly which naweza kuelewa kuvaa nguo isiyo chini ya magoti, nguo ya kubana, mipasuo, kuwa kifua wazi, top, bikini etc ila km kawa hijab imekuja ila ni utamaduni hadi Saudi Arabia imeruhusu wanawake wasivae hijab km hawataki na haiwalazimishi tena km Iran au Afghanistan ila kuna mizazi mijinga tu italazimisha watoto wavae.

Niulize swali kwa wanaume walionyooka; ivi mwanamke akipita unaconcentrate kw nywele au matiti, makalio, hips, mapaja au uso? Yaani mdada akivaa hijab na uku chini bikini italeta diff gan; km iyo haitoshi nani anaweza mtaman mtoto mdogo hata akiwa uchi unless ni pedophile tu? Upuuzi mtupu hapo wanataka wamprogram uyo mtoto ili awe guilty akija kuvua.

Kwani wewe una mtoto? inakuuma nini kama hao wazazi wanawavalisha hivyo watoto wao? Wewe cha kufanya usiwavalishe hivyo wa kwako kama unao.

Je unaamini kuwa tunatakiwa kuvaa nguo? Yote ni mavazi tu hata hayo ambayo wewe unaona yako sawa. Kama akivaa mavazi yake wewe hutokwi upele, mwache avae hata kama anaungua, akiwa mkubwa na akaamua kuacha kuvaa sawa.

Kikubwa wewe jali mambo yako.
 
Back
Top Bottom