Ndio nipo najishughulikia mkuu, mwanzo nilikua napuuzia maana sikuwa nikiamini ila sasa nimesurrender baada ya kuona natibu tatizo hili linaibuka jingine, yaani ni bandika bandua[emoji1430]Jitibie bro
Hiyo ya miguu sio poa,nilipatwa na gonjwa aisee lililoambatana na miguu yaani nilirudi utotoni
Ndiyo umpate mtaalamu,,,wengine huwa wakikata,kinajirudia kila apatapo mimbaduh hatari,lakini pia nasikia kuna dawa za kienyeji hua wanatumia unawekwa bomba nyuma then unaharisha damu mfululizo kinapasuka unakua fit kama umezaliwa upya ila umpate mtaalam mzuri.
Acha ujinga wewe, nani ambaye hajawahi kupitia misuko suko?hiyo inawezekana mkuu maana hapo nyuma nilipitia misukosuko sana kwenye maisha
Huo ni uamuzi sahihinimeshakamilisha hatua za mwanzo bado kuweka ndani mazima tu
Basi tuna vyanzo tofauti za tatizo. Lako naona ni la hospitali zaidi, fuata ushauri wa hao walozungumzia Rh factor unaweza pata mwanga.1:mimi kinyama changu hakiumi mkuu kipo kawaida kama kinefifia
2:Mahusiano yangu hayayumbi wala hatugombani kama kuachana tunaachana kwa amani kabisa
3:Biashara zangu zinaenda fresh hazina misukosuko
Fanya hivyo aisee,,,Afya ndio mtaji,Ndio nipo najishughulikia mkuu, mwanzo nilikua napuuzia maana sikuwa nikiamini ila sasa nimesurrender baada ya kuona natibu tatizo hili linaibuka jingine, yaani ni bandika bandua[emoji1430]
Mnataka tuanze kucheka sasa[emoji23][emoji23]Acha ujinga wewe, nani ambaye hajawahi kupitia misuko suko?
mbona unatok povu mkuu,,jamaa alihisi labda kuna maagano yalifanyika ndio nikamjibu hilo linawezekana maana huko nyuma nilipitia misukosuko mingi sana hasa upande wa baba kidogo walimwengu waniondoe duniani lakini ndio vile Mungu alinipigania sana pamoja na wazazi kuhangaika zaidi ya miaka m3 ndio nikakaa sawa..Ni stori ndefu ipo siku nitaiweka hapaAcha ujinga wewe, nani ambaye hajawahi kupitia misuko suko?
Ushaanza kuogopa,,,Lakini hiyo ya kukikata sidhani kama ni njia salama mkuu..bora hiyo ya kuwekwa dawa kipasuke kitoke kama damu
Kabisa, Siku moja nitaleta mrejesho wa kupona tatizo na nikiwa nalea mtoto[emoji4]Fanya hivyo aisee,,,Afya ndio mtaji,
Nimesoma maelezo yako lakini naona kama mimba zote zilikuwa na sababu ambazo hazihusiani na wewe kuharibika. Nadhani umepata tu bahati mbaya ya kukutana na wanawake ambao sababu za mimba zao kuharibika ziko wazi.Wakuu poleni na majukumu ya kujenga nchi..
Nimekuja kwenu kama mwana Jamii Forums nikiwa na uzoefu wa takriban miaka 10 na huu mtandao wetu pendwa unatusaidia kwenye mambo mbalimbali kwenye maisha. Nipo mkoani Dodoma kwa sasa ambapo nafanya biashara zangu na kupata riziki.
Nikiwa kama kijana na approach 30's nimekumbwa na matukio mfululizo ya kufiwa ama kuondokewa na watoto wangu punde tu wanapozaliwa wengine kabla ya kuzaliwa au hata muda mrefu baada ya kuzaliwa
Miaka ya hivi karibuni nilipita kwenye mahusiano na wasichana kadhaa, kati ya hao watano niliwapa ujauzito na mchanganuo wake ulikuwa kama ifuatavyo..
Wa kwanza alitoa mimba ikiwa na miezi minne ilimsumbua sana nusu na yeye aondoke na hakunipa taarifa juu ya hilo hadi nilipobaini na nikamuacha papo hapo.
Wapili aliharibikiwa mimba ikiwa na mwezi mmoja(huyu alikuwa na matatizo ya tumbo kabla ya kukutana na mimi alikuwa hashiki ujauzito hivyo alikuwa anajaribu kama amepona bila mimi kujua badala yake mimba ikaharibika).
Watatu alijifungua mapacha wanne kwa vipindi viwili tofauti na wote walifariki ndani ya wiki moja baada ya kujifungua.Yeye ni mwenyeji wa Tanga na ana uzao mzuri wa watoto mapacha.
Wanne alijifungua mtoto wa kiume mwaka mmoja uliopita na amekaa naye huku akimsumbua sana kwa homa za hapa na pale na wiki moja iliyopita nilipewa taarifa kuwa amefariki baada ya kuugua mfululizo.
Watano alishika ujauzito wa mapacha uliodumu kwa miezi sita na mimba ikaharibika pasi na kutegemea. Alichanganyikiwa sana maana alikuwa na matarajio mengi juu ya hao watoto pindi watakapozaliwa..
Kiujumla nimepoteza watoto 9 ndani ya miaka mitatu kwa sababu mbalimbali, hii kitu imekuwa ikinitesa sana na nashindwa kuelewa tatizo hasa ni nini na nini suluhisho lake maana napoteza viumbe wasio na hatia inaniumiza sana[emoji22]..
Naombeni ushauri wenu juu ya hili tatizo linalonikumba nifanyeje niweze kuepukana nalo na kama ni mpango wa Mungu kwanini kila siku mimi ukizingatia umri nao unakwenda wazazi wanataka wajukuu.
Naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri juu ya suala hili
Hii sentensi imenifanya nicheke sana[emoji23][emoji23][emoji23]lakini wote si tuna vinyama!
Amina mkuu tuombe uzima[emoji1431]Hata mimi mkuu ipo siku nitaleta mrejesho wa huu uzi,,tena ikimpendeza Mungu mwakani[emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usiogope,wenzio wanaenda kuoga makaburini usiku was manane kutafuta Tiba[emoji23]mkuu kukatwa sehemu ya mwili tena kwenye haja sio jambo dogo[emoji3]
Agano la mizimu, uchawi...
Yawezekana baba na mama yako aliingia agano na mizimu au uchawi..
Hivyo ndio vinaharibu mimba