Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Kaamka na stress za kupigwa kibuti na mtoto mzuri.Kwani watu bado wanaoana?![emoji23][emoji23]
Hv umemshukuru hata mungu wako kwa kukuamsha salama ukipumua?!
Mkuu tafuta pesa huo ndo uchawi unaoweza mtoto mzuri hata akikufumania atakuomba wewe msamaha kwa kukufumaniaHabari za wakati huu popote pale ulipo... Mungu yu nasi.
....
Wanawake warembo ,wenye mwonekano, pisi kali na n.k majina mengine mnayo mbona kuolewa ni kipengere na wakiolewa hawa dumu kwa NDOA?
Badilika we binti unatumika mwisho unaelekea kuzeeka mnaanza kuongopa umri ili ukaolewa na kijana.. sisi hatuoi wazee maana hata fikra tiyari ziko za uzee jitafakar afu mtatupa jibu.
nuture ya mwanaume hata awe malaya vipi hatokubali kuoa mwanamke malaya so kama unategemea we dada kupata mwanaume malaya kama wewe never.... jitambue....
umedanga miaka kadha ila bado unachokitafuta ujakipata shika kichwa...afu mnazeeka vibaya .
Tayari ushapigwa na kitu nzito, au?!Habari za wakati huu popote pale ulipo... Mungu yu nasi.
....
Wanawake warembo ,wenye mwonekano, pisi kali na n.k majina mengine mnayo mbona kuolewa ni kipengere na wakiolewa hawa dumu kwa NDOA?
Badilika we binti unatumika mwisho unaelekea kuzeeka mnaanza kuongopa umri ili ukaolewa na kijana.. sisi hatuoi wazee maana hata fikra tiyari ziko za uzee jitafakar afu mtatupa jibu.
nuture ya mwanaume hata awe malaya vipi hatokubali kuoa mwanamke malaya so kama unategemea we dada kupata mwanaume malaya kama wewe never.... jitambue....
umedanga miaka kadha ila bado unachokitafuta ujakipata shika kichwa...afu mnazeeka vibaya .