Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Habari za wakati huu popote pale ulipo... Mungu yu nasi.
Wanawake warembo ,wenye mwonekano, pisi kali na n.k majina mengine mnayo mbona kuolewa ni kipengere na wakiolewa hawa dumu kwa NDOA?
Badilika we binti unatumika mwisho unaelekea kuzeeka mnaanza kuongopa umri ili ukaolewa na kijana.. sisi hatuoi wazee maana hata fikra tiyari ziko za uzee jitafakar afu mtatupa jibu.
Nature ya mwanaume hata awe malaya vipi hatokubali kuoa mwanamke malaya so kama unategemea we dada kupata mwanaume malaya kama wewe never jitambue.
Umedanga miaka kadha ila bado unachokitafuta ujakipata shika kichwa halafu mnazeeka vibaya .
Wanawake warembo ,wenye mwonekano, pisi kali na n.k majina mengine mnayo mbona kuolewa ni kipengere na wakiolewa hawa dumu kwa NDOA?
Badilika we binti unatumika mwisho unaelekea kuzeeka mnaanza kuongopa umri ili ukaolewa na kijana.. sisi hatuoi wazee maana hata fikra tiyari ziko za uzee jitafakar afu mtatupa jibu.
Nature ya mwanaume hata awe malaya vipi hatokubali kuoa mwanamke malaya so kama unategemea we dada kupata mwanaume malaya kama wewe never jitambue.
Umedanga miaka kadha ila bado unachokitafuta ujakipata shika kichwa halafu mnazeeka vibaya .