Watu 8,476 kusaka nafasi 42 za ajira zilizotangazwa na Bunge

Watu 8000 ndo waliochaguliwa kufanya intaviw? Walioomba je?
 
Hiyo ratio sio poa
 
Inasikitisha, hakuna hata mmoja ya hao atakayepata hizo nafasi, kwa Bunge lililojaa wezi, hata hizo nafasi zimeshaibwa!
 
Asichome vipi nauli?

wakamfanyie interview anapoishi au[emoji23][emoji23]

Mkuu kati ya watu 984 wa kada aliyoomba then wanahitajika watu 6….Kweli ya Mungu mengi ila muda mwingine usitumie hisia tumia akili zaidi.
 
Mkuu kati ya watu 984 wa kada aliyoomba then wanahitajika watu 6….Kweli ya Mungu mengi ila muda mwingine usitumie hisia tumia akili zaidi.
Hahahahaha 🤣😂🤣😂😄😃😃 my foot. . . . Eti usitumie hisia

Haya sio ya kucheka ila for sure hali ni mbaya jamani
 
Ila Magu kwanini alikua haajiri watu Jamani?!dahh
Hata kama angeajiri asingewamaliza! Sema tu serikali ya akina Mwigulu imekuwa ya hovyo hovyo, haitaki kuinua sekta binafsi ili zote ajira nyingi! Kutengema serikali kwamba iajiri wote haitakaa itokee! Serikali za wenzetu zenye akili zinaboresha sekta binafsi ili zipunguziwe mzigo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…