Watu gani watatu mashuhuri unaweza ukatundika picha zao ukutani kwako?

Watu gani watatu mashuhuri unaweza ukatundika picha zao ukutani kwako?

Obama...???
Seriously.. after what happened to Libya still you got the gut to take the man as inspiration to you. Yemen, Iraq, Palestine na nchi nyingine nyingi zilifanywa vibaya na uongozi wa huyu bwana. Muamar Gaddafi the Icon of Africa aliondolewa na huyu bwana mwenye ngozi nyeusi lakini mweupe ndani. Hafai hata kutajwa na sisi wa Africa. Usiangalie tu rangi ya ngozi yake na ukubwa wa nafasi aliyowahi kuishika.
Hata tu hapa kwetu kuna mwanamke wa pekee kushika wadhifa wa juu lakini ona anachotufanya.
nimeshangaa hata mimi, obama ?
 
Kutokana na nafasi zao na michango yao katika jamii, mimi bila kupoteza muda picha za Bob Marley, Patrice Lumumba na Nelson Mandela zipo ukutani nyumbani kwangu. Hao watu ni vielelezo vya wanaharakati waliojitoa kwa ajili ya kupambania haki za wengine hasa mtu mweusi.

Je, kwa upande wako ni watu gani watatu mashuhuri unaweza ukabandika picha zao nyumbani kwako?

View attachment 2221681
Lucky Dube, Nelson Mandela, Rihanna
 
1. Nelson Mandela

2. Roger Milla

3. Reginald Mengi

4. Paula Kajala[emoji23][emoji23]
 
1. Ruge Mutahaba
2. Reginald Mengi
3. Ali Mufuruki

Nikipata nafasi Nyingine tatu ntawaweka
1. J.K Nyerere
2. Kwame Nkuruma
3. Nelson Mandela

Nafasi tatu Nyingine ntawapatia
1. Elon Musk
2. Mark Zuckerberg
3. Lary Page

Ikitokea kuna picha nyingine inahitajika basi itakuwa ni ya
1. Bob Marley
2. Tupac Omar Shakur
3. Albert Mangwea
 
Obama...???
Seriously.. after what happened to Libya still you got the gut to take the man as inspiration to you. Yemen, Iraq, Palestine na nchi nyingine nyingi zilifanywa vibaya na uongozi wa huyu bwana. Muamar Gaddafi the Icon of Africa aliondolewa na huyu bwana mwenye ngozi nyeusi lakini mweupe ndani. Hafai hata kutajwa na sisi wa Africa. Usiangalie tu rangi ya ngozi yake na ukubwa wa nafasi aliyowahi kuishika.
Hata tu hapa kwetu kuna mwanamke wa pekee kushika wadhifa wa juu lakini ona anachotufanya.
Acha kumpangia maisha..na wewe weka za Gaddafi.

#MaendeleoHayanaChama
 
AAya
Nyerere, Benjamin William Mkapa, Jaji Sinde Warioba ex PM!
Muda wowote nikipewa nafasi nitagonga nao cheers!

Nje ya nchi Put-in, Bob Marley, Fidel Castro, mbali na mabeberu

Katika mabeberu Margaret Thatcher, Angela Merkel, na Benjamin Netanyahu!

Netanyahu alikuwa akili kubwa. Kuwatawala sijui kuwaongoza wale waisrael wakaksi, kupangua shutuma na kesi zake yaani huwa namuona genius! Huku kukiwa na Hamas na PLO, Kwa vipindi tofauti, huwa namu admire! Ujasiri na uthubutu! Sifagilii uuaji wa wapalestina!
Mpalestina anatumia manati muisrael anatumia bunduki! World is not fair!

Ila kuna kwamba Silvio Berlusconi, kuna issue aliambiwa hii kesi huchomoi labda uwe prime minister, jamaa akasema ndoho taabu. Akawa prime minister! Haa haa!
Aya ya mwisho hujaeleweka
 
Back
Top Bottom