Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na yetu tuliweka ahadi tutadedi siku mojaNdoa ya Roma ni mpaka kifo kitutenganishe.
Na nikitangualia mimi nitahakikisha hili linatokea kabla hujapata wazo la kuoa tena.Na yetu tuliweka ahadi tutadedi siku moja
Hapo sawa.Kuachana hadi mpigwe risasi vitani.HahahahahaaaaSky Eclat tulioana siku tunapata Kipaimara. Nadhani umeelewa vizuri sasa
Baadhi ya picha zake, zipo kwa simu na Pc.Vipi kuhusu John Pombe Magufuli?
1. Mwalim J.K.Nyerere (R.I.P)Kutokana na nafasi zao na michango yao katika jamii, mimi bila kupoteza muda picha za Bob Marley, Patrice Lumumba na Nelson Mandela zipo ukutani nyumbani kwangu. Hao watu ni vielelezo vya wanaharakati waliojitoa kwa ajili ya kupambania haki za wengine hasa mtu mweusi.
Je, kwa upande wako ni watu gani watatu mashuhuri unaweza ukabandika picha zao nyumbani kwako?
View attachment 2221681
Nitakuwa nakutembelea dailySanchoka
Sanchoka
Sanchoka
Wazee wa chaputa makofi tafadhari!!!