kiumbe kipya
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 2,831
- 1,304
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zari akizaa mtoto sasa hivi baada ya jamaa yake kufa,atakuwa wake diamond
from Katesh using Siemens C55
Alimtoa Monduli anaitwa Dr. Toure alikuwa Dr wa Mkoa wa Arusha sasa amestaafu alikuwa mpinzani wa Lowassa kwenye ubunge Monduli kwa muda mrefu sanaRais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Naona unataka tucalculate umri wako...Asante sana mkuu, ninakumbuka hili tukio la kutembelewa na rais pamoja na mama Sekoture, nilikuwa primary darasa 3-4. Siku wa ninafahamu kuwa kijana akitoka Monduli lakini ninakumbuka mavazi meupe ya rais na mama Sekoture
niliona clip 1 ikieleza kuwa tupac hakufa ila anaishi jamaica na alionekana akiwa na rihanna, hiyo niliikuta youtube,
kwani hana mtoto eeh
Kwa hiyo unaamini bado yu hai?niliona clip 1 ikieleza kuwa tupac hakufa ila anaishi jamaica na alionekana akiwa na rihanna, hiyo niliikuta youtube,
Asante sana mkuu, like lilikuwa zali kutoka Msimbazi Centre kwenda Ikulu kama mtoto wa rais[/QUOTE]Alikuja kurudi bongo ukubwani. Alikua daktari Wa binadamu. Nadhani Dr.You're alistaafia Arusha
Yuko mount meru hosp ni mmasai aligombea ubunge monduli 2010Huyo mtoto sina hakika kama alimchukua Msimbazi Centre nasikia alimchukua kutoka familia ya Kimasai huko kwao, alisomea udaktari na ni daktari mzuri sana . Alirudi Tanzania na kufanya kazi Muhimbili na ndiye aliyenizalisha ( Asante sana Dr. Toure) kuna wakati ni kama aligombea wadhifa fulani sikumbuki lakini mwenye contact yake naomba ili nimpigie simu kumshukuru zaidi as wakati huo sikujua sana kuhusu hatari ya kujifungua.