Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Alikuwepo Arushaa ni dk nguli sana

Sifahahamu ss yupo wapi
 
Jaydee na wema wanaweza pata watoto jamani ,

wema bado mdogo ni juu ya nini? kwa mungu hakuna linaloshindikana ipo siku mtashangaa


Wema mdogo, anakaribia miaka 40 yule, huoni sura ile ilivyoyumba....usidanganyike na make ups mkuu?
 
Mbwa koko kipigo chake sasa
 
Hivi benjamin (mstaafu) anaye mtoto kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…