Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shetani wa chadema kwa ubaya wenuduhh
Alikuwepo Arushaa ni dk nguli sanaRais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Jaydee na wema wanaweza pata watoto jamani ,
wema bado mdogo ni juu ya nini? kwa mungu hakuna linaloshindikana ipo siku mtashangaa
Mbwa koko kipigo chake sasaHahahaaaa [emoji14][emoji14][emoji14] kwamba kiongozi wa Malofa anakuwa ni bwana wa malofa [emoji14][emoji14][emoji14] jamani nyie [emoji23][emoji23] kubwa la malofa ! Nimecheka hadi basi ! Siku ile jamaa sijui aliamkaje aisee?! Hii kitu hadi itoke Kwenye Hansard (vichwani) mwa Watu sijui lini !
Janet Jackson ana mtoto1. Dolly Parton
2. George Clooney
3. Janet Jackson
4. Condoleezza Rice
5. Cameron Diaz
6. Oprah Winfrey
7. Jay Leno
8. Tyra Banks
9. Queen Latifah
10. Jennifer Aniston
11. Mickey Rourke
Mkuu una chuki ya kutisha na huyu mwanamke.Tasa la taifa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapana mkuu ww akienda sana nWema mdogo, anakaribia miaka 40 yule, huoni sura ile ilivyoyumba....usidanganyike na make ups mkuu?
Huyu anataka kuzaa akiwa kwenye ndoaFlavian Matata
Kha! Kwani Yesu ni mtu au Mungu? Mtoa mada kasema watu maarufu.Yesu kristo Mfalme wa Nazareth
Sent From My Nokia Ya Tochi
Hivi benjamin (mstaafu) anaye mtoto kweliTujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani.
Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya Bongo. Naanza na hawa:
1. Kamuzu Banda - Rais wa kwanza Malawi
2. Omar Al Bashir - Rais wa Sudan
3. Steven Kanumba
Unaweza ukaendelea na wewe...
Kaolewa mbonaHuyu anataka kuzaa akiwa kwenye ndoa
Sasa ndo yuko kwenye maombiKaolewa mbona