Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Wakati mke wa Dre alikuwa mama wa nyumbani. Mke wa Jef Bezos kaotea kawa bilionea kwa mgongo wa taraka na mumewe.
 
Wakati mke wa Dre alikuwa mama wa nyumbani. Mke wa Jef Bezos kaotea kawa bilionea kwa mgongo wa taraka na mumewe.
Dre hajafikisha hata 1% ya hela ya Bezos.

Bezos kapigwa panga dola bilioni 35 kumpa mkewe kwenye talaka, na bado anaongoza kwa net worth duniani.

Last time I checked alikuwa na over 200 billion USD. Dre hat billion 2 hajafikisha.

Bezos ni ligi ya daraja tofauti kabisa na kina Dre..
 
mzee kiranga wewe umeoa?
 
Ulinganifu nilioutoa ni kuhusu taraka sio kuhusu net worth.
Mke wa Dre aliomba awe anapewa $2 million per month na mahakama haijakubali. Wakati mke wa Bezos alipokea kwa jumla ya 4% shares za Amazon na amount ya $38 billion.
 
Ulinganifu nilioutoa ni kuhusu taraka sio kuhusu net worth.
Mke wa Dre aliomba awe anapewa $2 million per month na mahakama haijakubali. Wakati mke wa Bezos alipokea kwa jumla ya 4% shares za Amazon na amount ya $38 billion.
Izo 4% ndio worth yake ilikua 38 billion enzi hizo ambayo kwa sasa imefika 60 billion, ila sio kwamba alipewa 38 B cash
 
1.Mrisho Ngasa
2.Adebayor
3.Alexander the great (Shah Alexander wa macedoni/shah asia)
 
Yesu
 
Alirudi Tanzania baadae nilimuona miaka mingi akihojiwa alikuwa daktari pale Mount meru hospital anaitwa hivyo hivyo Dr. Sekou Toure.
Sijajua kwa sasa kama bado yupo pale ama la.
Ngoja nimsake youtube
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…