BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Namba 9 anawasaga wenzie sijui anategemea apate vp mtoto1. Dolly Parton
2. George Clooney
3. Janet Jackson
4. Condoleezza Rice
5. Cameron Diaz
6. Oprah Winfrey
7. Jay Leno
8. Tyra Banks
9. Queen Latifah
10. Jennifer Aniston
11. Mickey Rourke
Sh ngapi na zinapatikana wapi?Nyingi sana mitaani na ni mpyaaaa!
Tulia mkuu.Utaibiwa.Sh ngapi na zinapatikana wapi?
Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Papa Benedict XVI
Basi ntafanya mpango niipate mkuu embu niambie application zilizopoNyingi sana mitaani na ni mpyaaaa!
Kmmk mmeshindwa kuwa serious kabisa. Hahaha!!Huyo jamaa watoto wote wanaishia chooni tu
duuhKmmk mmeshindwa kuwa serious kabisa. Hahaha!!
Nimeipenda Avatar signature yako.Ni kweli muda haumsubiri mnyonge.Mfano unaogelea ukagundua unaweza okoa mmoja ila huyu wa pili analeta makeke kwenye kumuokoa mnaweza zama wote ni bora umuache huyo mmoja afe ondoka na huyu aliyetuliaduuh
Tofautisha Surrogate na adopted.huyo wa Tyra banks sio wa kujifungua mwenyewe, ni wa surrogate. ni kama adopted child
Omy dimpoz1. Dolly Parton
2. George Clooney
3. Janet Jackson
4. Condoleezza Rice
5. Cameron Diaz
6. Oprah Winfrey
7. Jay Leno
8. Tyra Banks
9. Queen Latifah
10. Jennifer Aniston
11. Mickey Rourke
Daahduuh
Kamala HarisTujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani.
Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya Bongo. Naanza na hawa:
1. Kamuzu Banda - Rais wa kwanza Malawi
2. Omar Al Bashir - Rais wa Sudan
3. Steven Kanumba
Unaweza ukaendelea na wewe...
uongoooQUEEN ELIZABETH I wa Uingereza.
Stive NyerereTujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani.
Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya Bongo. Naanza na hawa:
1. Kamuzu Banda - Rais wa kwanza Malawi
2. Omar Al Bashir - Rais wa Sudan
3. Steven Kanumba
Unaweza ukaendelea na wewe...
Malkia Elizabeth I alietawala miaka ya 1500 alizaa? Au unadhani namsemea mamake na mfalme Charles.uongooo