Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

B. Mkapa
 
Jaydee na wema wanaweza pata watoto jamani ,

wema bado mdogo ni juu ya nini? kwa mungu hakuna linaloshindikana ipo siku mtashangaa
Wasikuzuge hao walitoa kizazi kwa ajili ya ustar na umaarufu kwa upande wa wanawake ila mashart yalipowashinda wamebak maskin na majuto
 
Malkia Elizabeth I alietawala miaka ya 1500 alizaa? Au unadhani namsemea mamake na mfalme Charles.

Kuna malkia Elizabeth I ( The virgin queen)

Na Malkia Elizabeth(mamake na Charles)
Basi ungekuwa specific ni Queen Elizabeth I.Alikufa 1603.
 
Jaydee na wema wanaweza pata watoto jamani ,

wema bado mdogo ni juu ya nini? kwa mungu hakuna linaloshindikana ipo siku mtashangaa
N mwaka wa 5 toka ulisema kuwa Wema na Jaydee wanweza wakapata watoto, je hali ikoje huko?

Au tukuongezeze miaka mingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…