The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Nilipo kua mdogo, Nilifikiri Mama Na baba ni Ndugu, Kumbe ni strangers tu walioamua kuishi pamoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka dogodogo tayar keshajipata, usimshangae kama Kuna nafasi mpe kama hakuna mjibu kistaarabu kama vijana wenzako kwani vijana wote wanakubalika? Na huyo yupo humo humoHata mimi nilishangaa kukuta mtu mzima anaelekea 50 ila ana mambo ya hovyo balaa 😅😅😅
Hata wazazi wako walipokuwa wadogo walikuwa na fikra kama zako, na watoto wako utawaaminisha kama ulivyoaminishwa na si kosa kwa sababu, mtoto ndo anakosa kwa mzazi, mzazi yeye ana kosa kazini na kwingineko ambako mtoto mdogo hayo hayaoni, kwa hivyo na wewe ni hivyohivyo, mf unamhimiza mtoto asome asipate ziro darasani unafikir anajua we ulikuwa kilaza? Wapi anajua baba yake nd tajir wa mtaa kumbe nyumba ya kupanga ndo utoto wenyewe huo.(1)Watu wazima nilijua ni wema hawatendi Zambi,kama kuiba na kuzini,kumbe mmhhhh
(2)Viongozi wa dini nilijua wanamuwakilisha Mungu kutokana na yale wanayoyaonge kumbe,,,,,,,,,
(3)Wanasiasa na majina yao makubwa,niliwaheshimu sana wakati nawasoma shule nilipokuja kuwa mkubwa nimegundu ni wezi wakubwa wapiga dili waliosababisha huu umaskini tuliokuwa nao,mfano Zanzibar pasingetokea mapinduzi ya kumpindua Sultani,leo hii ingekuwa zaidi ya Dubai
(4) Walimu Niliamini ni kundi la watu wenye akili kubwa waliyoyashinda maisha, kumbe,,,,
Nimeokota dhahabu mtoto wa kariakoo🎼🎶🎧Ni mwamini nani nimwogope nani?
nani?,
wananigeukia,
Ki kigeu geu,
Wananigeukia.....🎼🎶🎧
By jaguar.
Poor Brain Monetary doctor
Niliamini nikifika 25yrs ntakuwa na gari nyumba mke kazi pesa 😂🎼🎶🎧Ni mwamini nani nimwogope nani?
nani?,
wananigeukia,
Ki kigeu geu,
Wananigeukia.....🎼🎶🎧
By jaguar.
Poor Brain Monetary doctor
Kwa hakika ni hatariNiliamini nikifika 25yrs ntakuwa na gari nyumba mke kazi pesa 😂
So poa manKwa hakika ni hatari
Sitaki mtoto wangu aamini walimwengu waliopotokaSo poa man
Hizo taratibu na kaziweka ?Lakini tunda inabidi liliwe kwa kufwata taratibu
Ni kuwatengenezea mazingira na njia ya kujua ukweli na kuona wanataka nn kwenye maisha yaoSitaki mtoto wangu aamini walimwengu waliopotoka
Shida hawataki kuelewakaNi kuwatengenezea mazingira na njia ya kujua ukweli na kuona wanataka nn kwenye maisha yao
Mungu alliyekumbaHizo taratibu na kaziweka ?
ThibitishaMungu alliyekumba
Adamu na Hawa walifungishwa ndoa na Mungu,wao wakawa wanawafungisha ndoa watoto zao,Thibitisha
Hizo ni hadithi za sungura na fisi wewe uliwaona wapi hao Adam na hawa? Na unathibitisha vipi kuwa ni ukwel?Adamu na Hawa walifungishwa ndoa na Mungu,wao wakawa wanawafungisha ndoa watoto zao,
SawaA
Anataka dogodogo tayar keshajipata, usimshangae kama Kuna nafasi mpe kama hakuna mjibu kistaarabu kama vijana wenzako kwani vijana wote wanakubalika? Na huyo yupo humo humo