Watu niliokuwa nawaamini wakati mdogo, nilipokuwa mkubwa nikagundua kumbe hawafai kabisa

Watu niliokuwa nawaamini wakati mdogo, nilipokuwa mkubwa nikagundua kumbe hawafai kabisa

Huamini katika kujitawala unaamini kwenye kutawaliwa na watu wa mataifa ya kigeni.
Hilo haliwezekani kwa sasa.
Kama hukubaliani na sera za CCM vyama vingine vipo.
Ungana navyo ili muiondoshe madarakani.
Lakini si kwa ndoto kuwa siku itafika mwarabu ataitawala tena Zanzibar.
Haitakuwa.
Kwani katika historia ni nani ni mwenyeji wa Zanzibar?
 
Back
Top Bottom