Akili za Kitumwa zinawaza kutawaliwa tu na Sultani(1)Watu wazima nilijua ni wema hawatendi Zambi,kama kuiba na kuzini,kumbe mmhhhh
(2)Viongozi wa dini nilijua wanamuwakilisha Mungu kutokana na yale wanayoyaonge kumbe,,,,,,,,,
(3)Wanasiasa na majina yao makubwa,niliwaheshimu sana wakati nawasoma shule nilipokuja kuwa mkubwa nimegundu ni wezi wakubwa wapiga dili waliosababisha huu umaskini tuliokuwa nao,mfano Zanzibar pasingetokea mapinduzi ya kumpindua Sultani,leo hii ingekuwa zaidi ya Dubai
(4) Walimu Niliamini ni kundi la watu wenye akili kubwa waliyoyashinda maisha, kumbe,,,,
SadBado hapo unadhani umegundua yote😅 yajayo ni mazito hutoamini hata mgomba wa shambani kwako mana watakapokuroga shambani mgomba utaona halafu hautosema mana dawa watachimbia hapo hapo.
Maisha haya mkuu
Tangu umekua umejinyonya mara ngapi?nje na mada
Nilpokua mdogo nilkua najaribu kujinyonya chuchu lakini sifikii, siwezi zifuta coz ni ndogo.
Sasa nikasema nikikua manyonyo si yatakua makubwa,nitakua najinyonya balaa,aseeee upumbavu ule huwa najiwazia tu.
Hakika sijawahi kwanza naona kinyaa,, ndoman nikasema ulikua upumbavu wa kiwango cha lami.Tangu umekua umejinyonya mara ngapi?
Unaona kinyaa mbona baba watoto haoni kinyaa?Hakika sijawahi kwanza naona kinyaa,, ndoman nikasema ulikua upumbavu wa kiwango cha lami.
Hahahaha,,sijui ye mwenyewe ila mimi hapana kabisa siwezi jaribuUnaona kinyaa mbona baba watoto haoni kinyaa?
Hawa nilikuwa najiuliza kwanini wasitengeneze ndege na magari yao, lakini sasa nawafundisha algebra a+b=c na hawaelewi kitu!(4) Walimu Niliamini ni kundi la watu wenye akili kubwa waliyoyashinda maisha, kumbe,,,,
Hujui kivipi wakati mnapiga romance, anayanyonya, ananyonya kitumbua, anaidumbukiza kisha mnapigana tena denda?😃Hahahaha,,sijui ye mwenyewe ila mimi hapana kabisa siwezi jaribu
usiku mwema,msalimie wifi.Hujui kivipi wakati mnapiga romance, anayanyonya, ananyonya kitumbua, anaidumbukiza kisha mnapigana tena denda?😃
Acha kuniongopea
Nani alikuumbaHizo ni hadithi za sungura na fisi wewe uliwaona wapi hao Adam na hawa? Na unathibitisha vipi kuwa ni ukwel?
Labda nikuulize hivi faida na maendeleo tuliyoyapata baada ya kumfukuza Sultani ni zipi? Tumepiga hatua mbele,tumesimama au tumeludi nyuma?Akili za Kitumwa zinawaza kutawaliwa tu na Sultani
Zimefika.... rafikiang wa jamiiforumusiku mwema,msalimie wifi.
AsanteZimefika.... rafikiang wa jamiiforum
Unauliza maswal ya kijinga , kwanini unasema nimeumbwa wakati nimezaliwa?Nani alikuumba
Namba moja bila kutenda dhambi tusingekuwepo duniani. Tunda taamu lisisimangweView attachment 3228809
Hili sio dhambi "kuzini,kumbe mmhhhh"Namba moja bila kutenda dhambi tusingekuwepo duniani. Tunda taamu lisisimangweView attachment 3228809
Huyu ni mimi😂😂Niliamini nikifika 25yrs ntakuwa na gari nyumba mke kazi pesa 😂
Uko sahihi kwa kila ulisemalo ila suala la Zanzibar kwenda kuwa zaidi ya Dubai hapo umechemsha kwani kabla ya mapinduzi Zanzibar ilikuwa haina ishu yoyote. Waarab (wale masultani na vibaka wao) waliwanyanyasa mno watu weusi na kulikuwa hakuna la maana pale Zenji.(1)Watu wazima nilijua ni wema hawatendi Zambi,kama kuiba na kuzini,kumbe mmhhhh
(2)Viongozi wa dini nilijua wanamuwakilisha Mungu kutokana na yale wanayoyaonge kumbe,,,,,,,,,
(3)Wanasiasa na majina yao makubwa,niliwaheshimu sana wakati nawasoma shule nilipokuja kuwa mkubwa nimegundu ni wezi wakubwa wapiga dili waliosababisha huu umaskini tuliokuwa nao,mfano Zanzibar pasingetokea mapinduzi ya kumpindua Sultani,leo hii ingekuwa zaidi ya Dubai
(4) Walimu Niliamini ni kundi la watu wenye akili kubwa waliyoyashinda maisha, kumbe,,,,