FlyingDutchman
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 399
- 794
Mr nyboma lengo ni kujifunza , when you ows billions don't mistreat others because God has billions ways to drag u down.Samahani tajiri, akipoteza hizo bilioni kadhaa kwako zinaingia bilioni ngapi? Pili unawezaje kumchukia mtu asiyekufahamu?
UKiendekeza hii tabia ya kindeze utaendelea kuumizwa na umasikini wako na ujeuri wako utakuzawadia umaskini suguNgebe, nyodo, madharau, majigambo, kiburi, kujiona na kujiinua vimefika ukingoni.
Ni chereko na vifijo.
Elon Musk (Mwafrika Uchwara) mmiliki wa Tesla, Space X na Twitter utajiri wake umeshuka kutoka dollar billion 230 hadi dollars billion 168 na kujikuta kupoteza nafas ya kwanza utajiri duniani. Sasa hivi namba moja ni mfaransa billionaire mstaarab Bernard Arnault akiwa na utajiri wa dollars 172.
Wadau wengi tumepokea hii habari kwa furaha na shangwe. Watu tumefurahi hadi tumepata faraja kwenye umaskini wetu.
Musk alijionaga mungu mtu akidhani dunia ipo mabegani mwake. Na tunaomba utajiri wake uzidi kushuka asiwe hata kumi bora.
Kazaliwa Africa na kukulia Africa lakini hana msaada kwenye bara ilipomfikisha alipo. Watu tunakula mara moja baada ya siku tatu lakini hatukumbuki na hana fadhila.
Bora wote tu tuwe sawa kuwe na uihano.
Furaha ya maskini ni masahibu ya tajiri hasa kufulia.
Maskini Jeuri!
... chief sikutarajia una roho kama ya jiwe!Ngebe, nyodo, madharau, majigambo, kiburi, kujiona na kujiinua vimefika ukingoni.
Ni chereko na vifijo.
Elon Musk (Mwafrika Uchwara) mmiliki wa Tesla, Space X na Twitter utajiri wake umeshuka kutoka dollar billion 230 hadi dollars billion 168 na kujikuta kupoteza nafas ya kwanza utajiri duniani. Sasa hivi namba moja ni mfaransa billionaire mstaarab Bernard Arnault akiwa na utajiri wa dollars 172.
Wadau wengi tumepokea hii habari kwa furaha na shangwe. Watu tumefurahi hadi tumepata faraja kwenye umaskini wetu.
Musk alijionaga mungu mtu akidhani dunia ipo mabegani mwake. Na tunaomba utajiri wake uzidi kushuka asiwe hata kumi bora.
Kazaliwa Africa na kukulia Africa lakini hana msaada kwenye bara ilipomfikisha alipo. Watu tunakula mara moja baada ya siku tatu lakini hatukumbuki na hana fadhila.
Bora wote tu tuwe sawa kuwe na uihano.
Furaha ya maskini ni masahibu ya tajiri hasa kufulia.
Maskini Jeuri!
... nimeshangaa sana hiyo kitu.Kweli Waafrika roho mbaya ni asili yetu.
Ndiyo maana Waarabu wa Morocco wametukataa tusiwashangilie.
Yaani Mimi mweusi kama Mkaa nijifananishe na Elon Musk eti kisa amezaliwa Afrika Kusini?
Guys, Elon ni Mzungu wacheni kujifariji
Leo ndo nmeamini kuna umasikini unaoletwa na laanaNgebe, nyodo, madharau, majigambo, kiburi, kujiona na kujiinua vimefika ukingoni.
Ni chereko na vifijo.
Elon Musk (Mwafrika Uchwara) mmiliki wa Tesla, Space X na Twitter utajiri wake umeshuka kutoka dollar billion 230 hadi dollars billion 168 na kujikuta kupoteza nafas ya kwanza utajiri duniani. Sasa hivi namba moja ni mfaransa billionaire mstaarab Bernard Arnault akiwa na utajiri wa dollars 172.
Wadau wengi tumepokea hii habari kwa furaha na shangwe. Watu tumefurahi hadi tumepata faraja kwenye umaskini wetu.
Musk alijionaga mungu mtu akidhani dunia ipo mabegani mwake. Na tunaomba utajiri wake uzidi kushuka asiwe hata kumi bora.
Kazaliwa Africa na kukulia Africa lakini hana msaada kwenye bara ilipomfikisha alipo. Watu tunakula mara moja baada ya siku tatu lakini hatukumbuki na hana fadhila.
Bora wote tu tuwe sawa kuwe na uihano.
Furaha ya maskini ni masahibu ya tajiri hasa kufulia.
Maskini Jeuri!
Kwanini Mkuu?... nimeshangaa sana hiyo kitu.
Mbona kwenye forbes list bado ni wa kwanzaYaani huyu Elon simpendi.Ana nyodo yaani na ile idea yake ya kupandikiza kipichi kwenye ubongo.Stupid kabisa aanze yeye kwanza kupandikizwa.Anajiona yeye ndo yeye na sometimes anaongea ujinga tu.Silipendi hili li baba .Tena ninaomba lishuke na lishuke tena.
Una akili sana ndugu. Unaona vitu wengi hawawezi kuviona kwa macho ya kawaida.Na serikali yetu isimruhusu aanzishe Starlink Tanzania. Hatutaki waafrika uchwara.
Umeongea Safi Sana halaf si kivile kashuka ni agenda flani maana yeye hayuko uko wamemshusha makusud Tu jamaa hatakagi ujinga wa secret societyHta mkimsemaje bado ni tajiri tu hakuna chochote kitabadilika.
Lets try to mind our own business and working hard stop being lazy!
... Morocco kuwakana waafrika wenzao.Kwanini Mkuu?
We unavyovuta NGIBA kama KondeBoy utajiri utakua unauota kwenye stimu za kulipiwaETI MFANO NA MIMI NIMEKUA TAJIRI NDO NIJE NIWASAIDIE MASKINI WA AINA YAKO WE BORA UFE TU
Kufukuza watu ndio njia pekee kampuni iendelee kusurvive.Mtoa Mada izo statistics umezitoa wapi how comes $168 billion wakat currently Forbes inaonesha $176 billionsView attachment 2446193
Nilichojifunza kutoka Kwa bwana Elon , he proved that when you ow a lot sio lazma uact on a certain way ,be neutral, funny etc etc
Lkn i hated how he fired people!
Hata ukifurahia itakusaidia nini kuondokana na umaskini wakoNgebe, nyodo, madharau, majigambo, kiburi, kujiona na kujiinua vimefika ukingoni.
Ni chereko na vifijo.
Elon Musk (Mwafrika Uchwara) mmiliki wa Tesla, Space X na Twitter utajiri wake umeshuka kutoka dollar billion 230 hadi dollars billion 168 na kujikuta kupoteza nafas ya kwanza utajiri duniani. Sasa hivi namba moja ni mfaransa billionaire mstaarab Bernard Arnault akiwa na utajiri wa dollars 172.
Wadau wengi tumepokea hii habari kwa furaha na shangwe. Watu tumefurahi hadi tumepata faraja kwenye umaskini wetu.
Musk alijionaga mungu mtu akidhani dunia ipo mabegani mwake. Na tunaomba utajiri wake uzidi kushuka asiwe hata kumi bora.
Kazaliwa Africa na kukulia Africa lakini hana msaada kwenye bara ilipomfikisha alipo. Watu tunakula mara moja baada ya siku tatu lakini hatukumbuki na hana fadhila.
Bora wote tu tuwe sawa kuwe na uihano.
Furaha ya maskini ni masahibu ya tajiri hasa kufulia.
Maskini Jeuri!