NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Tulishatengana,Kwa sasa ndio ananipenda kweli kabisa sababu tulipotengana kuna mambo mengi yalimwendea kombo namimi nilishaoa kabisa.Sasa anatamani hata uhawara ila Mimi huwa sipendi kuzungumzia nae,Ndio maana nikakwambia alikuwa bhajui kama nipo dar mpaka alipoambiwa na nduguze.Sasa hatuongei kwa kuwa mimi simsemeshagi tena.Huyo bado mpo pamoja au mmeachana? Kama mmeachana bado anakupenda
Kwani kakosea nini mbona hukisemi?Watu ambao anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa.
Ukimfanyia kitu kidogo tu anakikuza kiwe kikubwa na kukasirika sana.
Mtu ambaye yeye akikosea anaweza hata asiombe msamaha.
Mtu ambaye anakasirishwa na vitu vidogo, huwa mnaishi vipi na watu kama hawa nipate ideaπ€
Asipobadilika nita move on nijipe muda kwanza wa kukaa sawaSawa endelea kungangania na Red flags zote unaziona, Kama hajakuoa Ukija kushtuka Umepoteza muda kweli kweli na Jua linazama
Hapo lazima ajute akiangalia wewe umeoa yeye kama hajaolewa lazima aumieTulishatengana,Kwa sasa ndio ananipenda kweli kabisa sababu tulipotengana kuna mambo mengi yalimwendea kombo namimi nilishaoa kabisa.Sasa anatamani hata uhawara ila Mimi huwa sipendi kuzungumzia nae,Ndio maana nikakwambia alikuwa bhajui kama nipo dar mpaka alipoambiwa na nduguze.Sasa hatuongei kwa kuwa mimi simsemeshagi tena.
Sasa kwanini huwa wana hivi visa vya ajabu ajabuNadhani ananihotaji sio kunipenda,au sijui wadai watafafajuaje.
Nikisema hapa mtaanza kuniletea shidaKwani kakosea nini mbona hukisemi?
Basi sawa. Endelea kupambanaNikisema hapa mtaanza kuniletea shida
Watu wa hivi kila vita ni lazima apigane.Watu ambao anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa.
Ukimfanyia kitu kidogo tu anakikuza kiwe kikubwa na kukasirika sana.
Mtu ambaye yeye akikosea anaweza hata asiombe msamaha.
Mtu ambaye anakasirishwa na vitu vidogo, huwa mnaishi vipi na watu kama hawa nipate ideaπ€
Sawa mkuuBasi sawa. Endelea kupambana
Duh! Hawa watu ni hatari sana kumbeWatu wa hivi kila vita ni lazima apigane.
Hakuna kosa dogo kwao, kila kosa ni kosa kubwa.
Watu wa hivi sio jukumu lako kuwabadirisha.
Jukumu lako pekee ni kuwa mbali nao, na wasiwe sehemu ya maisha yako.
Na akiwa mke/mume hesabu maumivu, hata maombi hayasaidii.
Watu ambao anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa.
Ukimfanyia kitu kidogo tu anakikuza kiwe kikubwa na kukasirika sana.
Mtu ambaye yeye akikosea anaweza hata asiombe msamaha.
Mtu ambaye anakasirishwa na vitu vidogo, huwa mnaishi vipi na watu kama hawa nipate ideaπ€
Yaani ukimkosea hilo kosa ataliongelea hadi siku nyingineMimi kwa kweli nakucut off na nakwambia kabisa siwezi kuwa around mtu asiejua kama amekosea.
Huyo ni mtu dhaifu na wanakuaga walalamishi Pia. Mkate mkuu
Una maanisha nini mkuu?Puuza upuuzi
Kabisa ... wanakuwaga toxic sana watu wa aina hii. Na ni ngumu wao kujikubali kwamba hiyo hali yao ni tatizo kwao na kwa wengineUmezungumza jambo muhimu sana ambalo wengi hawalijui, watu hawa wapo na wengi ni kutokana na changamoto za ukuaji/malezi waliyoyapitia utotoni.
Wana matatizo ila hawajigundui kama wana matatizo. Mpaka yawakumbe kwa Sanaa ndipo inapomjia fikra kumbe yeye ndiye tatizo.
Atakuwa alilelewa Ki-malkia huyo.Watu ambao anakosea badala ya kuomba msamaha anakutafutia na wewe kosa ili muonekane wote ni wakosefu au wewe ndiyo mwenye makosa.
Ukimfanyia kitu kidogo tu anakikuza kiwe kikubwa na kukasirika sana.
Mtu ambaye yeye akikosea anaweza hata asiombe msamaha.
Mtu ambaye anakasirishwa na vitu vidogo, huwa mnaishi vipi na watu kama hawa nipate ideaπ€
Una maanisha nini mkuu?
Watu wa aina hiyo si watu wazuri kwakweli, hujikuta wakamilifu sana yaani usikosee hata kidogo. Mimi watu wa aina hii nawaambia Kwa maneno makavu kabisa na hata kutengana naweza nikafanya sijali chochote kile, Kuna mambo mengi ya kufanya. Athari yake hiyo ni kuzaa chuki Kali Kila mnapoendelea kuonana ama kuishi pamoja na kama emotional intelligence yako si nzuri anaweza akakuambukiza mkawa mnafanana.