Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamme unakosaje chale?? We sema ulitaka kumchawia ukadunda. Mbona nyie mnatembea na shanga mpaka miguuni na hatusemi(vikuku)Habari wakuu,
Hivi hakuna mbadala wa hizo chale, tumieni hata sindano kama lengo ni kuchanja ili dawa iingie, au kuna lingine tofauti na dawa hadi iwe kwa kuchanja na nyembe na vitu vingine vyenye ncha kali ambavyo vinaacha alama kubwa?
Nmekutana na baadhi ya watu kutoka kanda hizo wamejaa chale za kutosha maeneo tofauti tofauti ya mwili, wengine hadi wanajishtukia hawajiamini mfano ni huyu msukuma hajiamini kabisa zinamnyima raha, kujitetea kwingi kuwa kwao sio wachawi na ameshajua fika nitamuacha kwa sababu ya hayo makovu ya chale.
Kwa sababu huu utaratibu umekithiri sana kanda hiyo jaribuni kupunguza au kuacha kama inawezekana.
NAWASILISHA.
Aaaah we hakuna iyo kitu kaulize mababu ilo jamboTunaelekezana tu mkuu
Hii sio chale ni miravyo🤣
Ukipenda ua penda na boga lake.Habari wakuu,
Hivi hakuna mbadala wa hizo chale, tumieni hata sindano kama lengo ni kuchanja ili dawa iingie, au kuna lingine tofauti na dawa hadi iwe kwa kuchanja na nyembe na vitu vingine vyenye ncha kali ambavyo vinaacha alama kubwa?
Nmekutana na baadhi ya watu kutoka kanda hizo wamejaa chale za kutosha maeneo tofauti tofauti ya mwili, wengine hadi wanajishtukia hawajiamini mfano ni huyu msukuma hajiamini kabisa zinamnyima raha, kujitetea kwingi kuwa kwao sio wachawi na ameshajua fika nitamuacha kwa sababu ya hayo makovu ya chale.
Kwa sababu huu utaratibu umekithiri sana kanda hiyo jaribuni kupunguza au kuacha kama inawezekana.
NAWASILISHA.
Hadi kwenye ulimiWa mjini, nao wana huo utaratibu wa kuchanja sana?
Hii kali japo zipo, kuna wanangu waliwahi pigwa chanjwa ulimi, uliumuka karibia siku 3 plus kulala makaburini ili waupate utajiri lakin waligonga mwamba wamebak na makovu.Hadi kwenye ulimi
Wasukuma wanazo nna experience zao.Kuna jirani mjaluo hapa ana chale mpk sio poa mgongo umechafuka kifua mikono...halafu eti mlokole...
Wasukuma nao kwa chale nao hawako mbali
Kweli ila hizo chale haziwezi leta shida kwangu?Ukipenda ua penda na boga lake.
Umeeleza ya kweli kabisa mkuu.CHALE NI AGANO kati ya anayechanjwa chale na ufalme wa kuzimu kupitia kuhani wa kishirikina kichawi au mganga wa kienyeji likihusisha damu(ukichanja mwili damu itatoka)
agano hilonla damu katika ibada hiyo ya kishirikina na katika madhabahu ya kuzimu kupitia kuhani wa kishirikina anayejitambulisha kama mganga lina tembea fuatilia vizazi hata cha tatu na cha nne hata miaka 400.
ATHARI NI HASI
Roho za kuzimu na mauti roho za uharibifu ulizoingia nazo mkataba zitafuatilia wewe na uzao wako hata kiazazi cha nne.
Ufalme wa giza kazi yake ni nini uharibifu,mauti,na kufunga vifungo vya kipepo ,vinavyoharibu maisha yako nanvizazi ,na hata mauti,riho ya vifo..yani mabaya
HAKUNA FAIDA.
UONGO ULIOPO
Utadanganywa kuwa ni zindiko ni kinga ni ulinzi ila ni kukaribishabkimilikiwa na mapepo ,majini kuwa chini ya kutumikishwa na ufalme wa giza ambao umejivika ngozi ya kindoo kumbe ni mbwa mwitu unajifanya ni msaada kwako au rafiki kwako kumbe ni ADUI.
Ukatili huo mkuu akikuroga utamlaumu?Nikishakutana na Mwanamke mweupe au mweusi ana chale tumboni, sijui mgongoni au kwingineko nampiga mbata ya mgongo (Salala), akiniuliza nampigia nini nampiga mbata nyingine kisha namwambia kwenda kule...
Ni urembo? Kivipi ni urembo wakati ni ulinzi na kinga?Acha uwoga we huwez ukafika mbali/
Kama kuku alokula mchele nae jioni akaliwa na wali.
Chale zinashida gani ukiachana na hiyo hofu yako ya kurogwa? Ni urembo tu kama Tattoo.
Wengi sana wanazo maeneo hayo unaweza dhani kashonwa shonwa.Uko sahihi 100% all my girl friend zaidi ya watatu nilio kutana nao wana chale, kifuani au mgongoni katikati sijui wana wawekea dawa gani hiyo.....
Naangalia wapi mkuu na nishajichanganya tayariNoma sana, angalia mkuu usije ukatekwa na hao watoto wa kanda ya ziwa kichawi ...
Huwa ipo hivyo kwa wengi hasa wamuaminio Kristo.Mi nikiona vile nahis kama ni mchawi sijui yaan Kuna namna namshusha vyeo nikiona hizo alama
Tatoo haina maagano mkuuNa nyinyi wa daslam huko punguzeni kuchora tattoos