Watu wa Kanda ya Ziwa punguzeni au acheni utaratibu wa kuchanja chale

Watu wa Kanda ya Ziwa punguzeni au acheni utaratibu wa kuchanja chale

Habari wakuu,

Hivi hakuna mbadala wa hizo chale, tumieni hata sindano kama lengo ni kuchanja ili dawa iingie, au kuna lingine tofauti na dawa hadi iwe kwa kuchanja na nyembe na vitu vingine vyenye ncha kali ambavyo vinaacha alama kubwa?

Nmekutana na baadhi ya watu kutoka kanda hizo wamejaa chale za kutosha maeneo tofauti tofauti ya mwili, wengine hadi wanajishtukia hawajiamini mfano ni huyu msukuma hajiamini kabisa zinamnyima raha, kujitetea kwingi kuwa kwao sio wachawi na ameshajua fika nitamuacha kwa sababu ya hayo makovu ya chale.

Kwa sababu huu utaratibu umekithiri sana kanda hiyo jaribuni kupunguza au kuacha kama inawezekana.

NAWASILISHA.
Kwani chale na sindano zina tofauti gani? Ujinga mzigo
 
😂 Huwa tunaita "Namba eleven".

Binafsi niseme, baadhi ya wazazi ndio wanakosea kuwapachika watoto hizo 11. Watoto wanakuwa hawajui lolote.
Hawa watoto wakishakuwa wakubwa mara nyingi huwa hawafurahii kabisa hizo double one.

Ni sawa tu na wale kina mama wanaowatoboa watoto masikio & pua. Wanawakosea sana hao watoto. Ni vema kumuacha aje achague yeye mwenyewe siku akijitambua. Kuna wanawake/mabinti wanachukia sana hiyo. Unakuta analaumu.

Hata wale wanaokeketwa nao walijipata wakiwa wamefanyiwa hivo wakiwa bado hawana uwezo wa kuamua.
 
Habari wakuu,

Hivi hakuna mbadala wa hizo chale, tumieni hata sindano kama lengo ni kuchanja ili dawa iingie, au kuna lingine tofauti na dawa hadi iwe kwa kuchanja na nyembe na vitu vingine vyenye ncha kali ambavyo vinaacha alama kubwa?

Nmekutana na baadhi ya watu kutoka kanda hizo wamejaa chale za kutosha maeneo tofauti tofauti ya mwili, wengine hadi wanajishtukia hawajiamini mfano ni huyu msukuma hajiamini kabisa zinamnyima raha, kujitetea kwingi kuwa kwao sio wachawi na ameshajua fika nitamuacha kwa sababu ya hayo makovu ya chale.

Kwa sababu huu utaratibu umekithiri sana kanda hiyo jaribuni kupunguza au kuacha kama inawezekana.

NAWASILISHA.
Mkuu mbona unazunguka sana wee sema tu biashara Yako ya ngozi za watu Kanda ya Ziwa imedoda maana zenye chale hazihitajiki.
 
😂 Huwa tunaita "Namba eleven".

Binafsi niseme, baadhi ya wazazi ndio wanakosea kuwapachika watoto hizo 11. Watoto wanakuwa hawajui lolote.
Hawa watoto wakishakuwa wakubwa mara nyingi huwa hawafurahii kabisa hizo double one.

Ni sawa tu na wale kina mama wanaowatoboa watoto masikio & pua. Wanawakosea sana hao watoto. Ni vema kumuacha aje achague yeye mwenyewe siku akijitambua. Kuna wanawake/mabinti wanachukia sana hiyo. Unakuta analaumu.

Hata wale wanaokeketwa nao walijipata wakiwa wamefanyiwa hivo wakiwa bado hawana uwezo wa kuamua.
Kwa asilimia kubwa walio wengi ni hivyo, wengi wanachanjwa wakiwa wadogo bila ridhaa yao.
 
Mnajilinda na nini mbona kifo kipo pale pale kama ni hicho mnakikwepa?
Kwani tumekwambia ki kujilinda na kifo, we tuache......

Yule jamaa alikua anaogopeka nchi nzima yani akisimama hakuna wa kusema ngw'e unadhani kawaida hiyo?? Ni covid pekee ndo ilisema ngw'eee
 
Back
Top Bottom