Watu wa Kanda ya Ziwa punguzeni au acheni utaratibu wa kuchanja chale

Watu wa Kanda ya Ziwa punguzeni au acheni utaratibu wa kuchanja chale

Wanaziita Nsalago . Aloo wasukuma wanachanja sana na hazina maajabu kabsaaa.

Wengine ni utamaduni wao kama wakurya,wamasaie ,wamakonde ila wasukuma baadhi wanachanja wale wacheza ngoma kama urembo. Wanaobakia ni yale mambo ya upande wa kienyeji hasa vijijini huko elimu inahitajika sana
Wanahitaji mabadiliko, hayo mambo wapunguze.
 
Nipo Kanda ya ziwa aisee ulivyoongea ukweli mtupu, nilikuwa nademu mmoja hivi dah chale kuanzia kwenye kope juu, mikononi, mgongoni Hadi kiunoni afu mweupe yule manzi sema nikala nikapita hivi, nikaingiya tinde, isaka, kagongwa, kahama, masumbwe wapi sijuhi runzewe wanawake niliokutana nao wenye asili ya huko wanachale aisee Hadi nikawa najiuliza mwenyewe ila Mimi napiga na chale zao hivyo hivyo akina Mwangaluka mayo
Kama kuna madude yanahama ukilala nao basi itakuwa umeyavagaa mengi sana.
 
sioni kama kuna sababu ya kuingilia mila na desturi za jamii husika,
kwasababu naamini hapa duniani kila jamii ina mila na deaturi zake!! na si muhimu kukashifu mila ya mwezio
 
CHALE NI AGANO kati ya anayechanjwa chale na ufalme wa kuzimu kupitia kuhani wa kishirikina kichawi au mganga wa kienyeji likihusisha damu(ukichanja mwili damu itatoka)
agano hilonla damu katika ibada hiyo ya kishirikina na katika madhabahu ya kuzimu kupitia kuhani wa kishirikina anayejitambulisha kama mganga lina tembea fuatilia vizazi hata cha tatu na cha nne hata miaka 400.
ATHARI NI HASI
Roho za kuzimu na mauti roho za uharibifu ulizoingia nazo mkataba zitafuatilia wewe na uzao wako hata kiazazi cha nne.
Ufalme wa giza kazi yake ni nini uharibifu,mauti,na kufunga vifungo vya kipepo ,vinavyoharibu maisha yako nanvizazi ,na hata mauti,riho ya vifo..yani mabaya
HAKUNA FAIDA.
UONGO ULIOPO
Utadanganywa kuwa ni zindiko ni kinga ni ulinzi ila ni kukaribishabkimilikiwa na mapepo ,majini kuwa chini ya kutumikishwa na ufalme wa giza ambao umejivika ngozi ya kindoo kumbe ni mbwa mwitu unajifanya ni msaada kwako au rafiki kwako kumbe ni ADUI.
Babu wa Babu yako Mzaa Babu yake kwa Babu yake Babu yako alikua anaabudu MIZIMU na alipigwa chale mpaka kwenye ulimi mpaka kwenye kichwa cha chini alipigwa chale sasa kizazi chake kimoja wapo ndio Wewe sauti ya kuzimu
 
Nikishakutana na Mwanamke mweupe au mweusi ana chale tumboni, sijui mgongoni au kwingineko nampiga mbata ya mgongo (Salala), akiniuliza nampigia nini nampiga mbata nyingine kisha namwambia kwenda kule...
😂😂😂😂 JF aisee!
 
Back
Top Bottom