Watu wa Kanda ya Ziwa punguzeni au acheni utaratibu wa kuchanja chale

Watu wa Kanda ya Ziwa punguzeni au acheni utaratibu wa kuchanja chale

Habari wakuu,

Hivi hakuna mbadala wa hizo chale, tumieni hata sindano kama lengo ni kuchanja ili dawa iingie, au kuna lingine tofauti na dawa hadi iwe kwa kuchanja na nyembe na vitu vingine vyenye ncha kali ambavyo vinaacha alama kubwa?

Nmekutana na baadhi ya watu kutoka kanda hizo wamejaa chale za kutosha maeneo tofauti tofauti ya mwili, wengine hadi wanajishtukia hawajiamini mfano ni huyu msukuma hajiamini kabisa zinamnyima raha, kujitetea kwingi kuwa kwao sio wachawi na ameshajua fika nitamuacha kwa sababu ya hayo makovu ya chale.

Kwa sababu huu utaratibu umekithiri sana kanda hiyo jaribuni kupunguza au kuacha kama inawezekana.

NAWASILISHA.
Tuache bahn kila tribe na utaratibu wake
 
Habari wakuu,

Hivi hakuna mbadala wa hizo chale, tumieni hata sindano kama lengo ni kuchanja ili dawa iingie, au kuna lingine tofauti na dawa hadi iwe kwa kuchanja na nyembe na vitu vingine vyenye ncha kali ambavyo vinaacha alama kubwa?

Nmekutana na baadhi ya watu kutoka kanda hizo wamejaa chale za kutosha maeneo tofauti tofauti ya mwili, wengine hadi wanajishtukia hawajiamini mfano ni huyu msukuma hajiamini kabisa zinamnyima raha, kujitetea kwingi kuwa kwao sio wachawi na ameshajua fika nitamuacha kwa sababu ya hayo makovu ya chale.

Kwa sababu huu utaratibu umekithiri sana kanda hiyo jaribuni kupunguza au kuacha kama inawezekana.

NAWASILISHA.
Uko sahihi 100% all my girl friend zaidi ya watatu nilio kutana nao wana chale, kifuani au mgongoni katikati sijui wana wawekea dawa gani hiyo.....
 
Wengine ni utamaduni wao kama wakurya,wamasaie ,wamakonde ila wasukuma baadhi wanachanja wale wacheza ngoma kama urembo. Wanaobakia ni yale mambo ya upande wa kienyeji hasa vijijini huko elimu inahitajika sana
 
Nipo Kanda ya ziwa aisee ulivyoongea ukweli mtupu, nilikuwa nademu mmoja hivi dah chale kuanzia kwenye kope juu, mikononi, mgongoni Hadi kiunoni afu mweupe yule manzi sema nikala nikapita hivi, nikaingiya tinde, isaka, kagongwa, kahama, masumbwe wapi sijuhi runzewe wanawake niliokutana nao wenye asili ya huko wanachale aisee Hadi nikawa najiuliza mwenyewe ila Mimi napiga na chale zao hivyo hivyo akina Mwangaluka mayo
 
Back
Top Bottom