Kwani "ruzuku" toka EU ni sababu ya uongozi Chadema?😂Halafu utamlisha wewe?
Subili lisu atachia videoKwa maneno ya mwenyekiti ya leo, Lisu ajitafakari, ikiwezekana afanye kama ulivyopendekeza. Maana amekuwa akiongelea rushwa ndani ya chama, mwenyekiti anasema hajawahi kuthibitisha.
Akifanya hivyo itamsaidia.Subili lisu atachia video
Ila Tanzania kuna watu wazima lakini ni watu wajinga sana, subili ni kitu gani? Hata kiswahili ni shida,Subili lisu atachia video
Atalishwa na wabelgiji na akina Amsterdam!! Hivi yupo kweli au kashakwea pipa kwenda kumsalimia mamsap wa kizungu?Halafu utamlisha wewe?
Husika na maada tajwa hapo juu,
Kutokana na Press ya Mh. Mbowe Leo imeonyesha kuwa Makam mwenyekiti yupo very irresponsible kwenye kutimiza majukumu yake, hasa kwenye masuala yanayohusu nidhamu ndani ya Chama, kwa heshima ilitakiwa baada ya speech ya Mh. Mwenyekiti, Lissu atangaze kuachia ngazi hiyo ndo demokrasia yenyewe.
Kwa hizo shutuma Mh. Lissu asahau kushinda uwenyekiti bora aepuke aibu mapema
Kwakweli sijuiAtalishwa na wabelgiji na akina Amsterdam!! Hivi yupo kweli au kashakwea pipa kwenda kumsalimia mamsap wa kizungu?
Hakuna ,ushauri wa kipuuzi huuHusika na maada tajwa hapo juu,
Kutokana na Press ya Mh. Mbowe Leo imeonyesha kuwa Makam mwenyekiti yupo very irresponsible kwenye kutimiza majukumu yake, hasa kwenye masuala yanayohusu nidhamu ndani ya Chama, kwa heshima ilitakiwa baada ya speech ya Mh. Mwenyekiti, Lissu atangaze kuachia ngazi hiyo ndo demokrasia yenyewe.
Kwa hizo shutuma Mh. Lissu asahau kushinda uwenyekiti bora aepuke aibu mapema
Hata mm nimeona ni mtu weak sana kwa kweli. Kitendo tu cha kutuhumu wezake ni sifa mbaya na ni ulaghai. Hafai hafaiHusika na maada tajwa hapo juu,
Kutokana na Press ya Mh. Mbowe Leo imeonyesha kuwa Makam mwenyekiti yupo very irresponsible kwenye kutimiza majukumu yake, hasa kwenye masuala yanayohusu nidhamu ndani ya Chama, kwa heshima ilitakiwa baada ya speech ya Mh. Mwenyekiti, Lissu atangaze kuachia ngazi hiyo ndo demokrasia yenyewe.
Kwa hizo shutuma Mh. Lissu asahau kushinda uwenyekiti bora aepuke aibu mapema
Ile siku anatangaza kugombea uenyekiti kwa ile tone aliyotumia niliiona kabisa shari yake.Lissu ni pumbavu wa kiwango cha kusikitisha.
Mwenyekiti kaeleza vizuri kuwa uongozi ni timu, hivyo huwezi ongea tofauti na wenzako.Hata mm nimeona ni mtu weak sana kwa kweli. Kitendo tu cha kutuhumu wezake ni sifa mbaya na ni ulaghai. Hafai hafai