Watu wa Mbeya (Wanyakyusa) ni watu makini sana, akili kubwa na hawaogopi kitu

Watu wa Mbeya (Wanyakyusa) ni watu makini sana, akili kubwa na hawaogopi kitu

Wakina mwa wamegawanyika pande mbili wa Rungwe na wa Kyela Hawa watu ni chui na paka.
Mwa wa kyela Hawa ni wamalawi au wanyasa chakula Chao kikuu ni wali na samaki wakulima wazuri wa mpunga,cacao ni wajuaji,vichwa ngumu, Wana miili midogo sababu ya joto,wanawake wao weupe...
Kwamba ni Chui na Paka si kweli.

Ukweli ni kwamba kitabia wana tofautiana sana na ukikutana nao you can easily tell who is from where, and why is who.

Lakini si maadui
 
Hawa Jamaa nawakubari kitu kimoja Ni wamoja saaana, Pia Wacha Mungu, Jeshini huwa wanajiamini saaana,, Mfano Mwakibolwa mwaseba, Brigedia Mwakipunda, Meja Mwaipopo, Mwamunyange, Meja General mwaisaka, Wanajiamini saaana pia hawaogopi kupoteza.. Ila Wapo Pia Baadhi waoga waoga ingawa Si Wengi.
 
Hawa watu ni wenye akili sana licha ya kwamba ndani mwao kuna michawa, ambayo kamwe haitakuja kuacha legacy yoyote kwenye uongozi wao.

Boniface Mwabukusi: Mwanasheria msomi, mweledi, ambaye amediriki kuupinga kwa dhati hadi mahakamani mkataba mbovu wa bandari ametokea Mbeya.

Dr. Ulimboka: Daktari aliyeendesha mapambano ya kupigania haki za madaktari na kuboreshewa stahiki zao alitokea Mbeya.

Mwabulambo: aliongoza maandamano chuo kikuu cha mlimani, akamchachafya Nyerere, hadi Nyerere akaamua kupunguza mshahara wake wa shilingi 4,000 bila kodi. Yeye na Baraza lake la Mawaziri.

Hao ni kwa uchache.

NB: Kuna haja ya kukaa chini na kuyarekebisha haya mambo kidiplomasia, hakika inawezekana kwenye meza ya duara. Watu wa Mbeya ni waelewa sana.

Mitume, Wachungaji na Manabii, wengi wanatokea huko. Pia wanamuziki wengi wa nyimbo za dunia na za injili wanatokea huko.

Huko huenda ndio Mlima Sayuni, mlima wa Ukombozi uliko.
Gin Ja Wa
Shincheonji
Sijui mantiki ya mada yako ni ipi hasa hapa.

Unatafuta ukabila au nini?
Kama ni kuweka waTanzania kwenye mafungu ili wavurugwe zaidi, kazi hiyo tayari inafanyika vizuri zaidi na hao wanaoturudisha kwa waarabu.
Huoni kwamba unawasaidia kazi yao ifane zaidi?

Nndiko zima halina uzito wowote, licha ya kutaja watu ambao sote tunawaombea waendelee kuwa mstari wa mbele kupigania haki za waTanzania.

Kazi yako hapa ni ya kishetani hasa.
Sijui inakuwaje, maanake huko kwingine ulisimama vizuri.
 
Na Tulia Ackson ni mtu wa mbeya lakini.... Ana roho mbaya Kama alivyo asee.
 
Hawa watu ni wenye akili sana licha ya kwamba ndani mwao kuna michawa, ambayo kamwe haitakuja kuacha legacy yoyote kwenye uongozi wao.

Boniface Mwabukusi: Mwanasheria msomi, mweledi, ambaye amediriki kuupinga kwa dhati hadi mahakamani mkataba mbovu wa bandari ametokea Mbeya.

Dr. Ulimboka: Daktari aliyeendesha mapambano ya kupigania haki za madaktari na kuboreshewa stahiki zao alitokea Mbeya.

Mwabulambo: aliongoza maandamano chuo kikuu cha mlimani, akamchachafya Nyerere, hadi Nyerere akaamua kupunguza mshahara wake wa shilingi 4,000 bila kodi. Yeye na Baraza lake la Mawaziri.

Hao ni kwa uchache.

NB: Kuna haja ya kukaa chini na kuyarekebisha haya mambo kidiplomasia, hakika inawezekana kwenye meza ya duara. Watu wa Mbeya ni waelewa sana.

Mitume, Wachungaji na Manabii, wengi wanatokea huko. Pia wanamuziki wengi wa nyimbo za dunia na za injili wanatokea huko.

Huko huenda ndio Mlima Sayuni, mlima wa Ukombozi uliko.
Gin Ja Wa
Shincheonji
Imbombo ngafu.
 
Wakina mwa wamegawanyika pande mbili wa Rungwe na wa Kyela Hawa watu ni chui na paka.
Mwa wa kyela Hawa ni wamalawi au wanyasa chakula Chao kikuu ni wali na samaki wakulima wazuri wa mpunga,cacao ni wajuaji,vichwa ngumu, Wana miili midogo sababu ya joto,wanawake wao weupe.

Hawa kina Mwa wa Tukuyu Hawa ni wasomi, waungwana,Wana miili mikubwa weusi sababu ya baridi,wameshiba sababu ya vyakula vingi wakarimu dhehebu lako kuu ni Moravian,waimbaji wa injili, wachungaji wengi wanatoka huku,kinamama ndio wachapa kazi walea familia wasomi wote ni juhudi za mama zao kuchakarika.

Chakula chao kikuu ni ndizi,viazi chips, kitimoto.

Ni wakarimu watulivu hawana makuu, ukoo mzima wanakusindikiza stand unapungiwa mkono hadi basi litakapotea machoni mwao.

Maharage ya Mbeya maji Mara moja, kina niangusage sambi zako.

Lafudhi Yao mcheki senga Cha pombe rafiki yake pembe.
Mkuu kama hujui si afadhali ukae kimya?
 
Hawa watu ni wenye akili sana licha ya kwamba ndani mwao kuna michawa, ambayo kamwe haitakuja kuacha legacy yoyote kwenye uongozi wao.

Boniface Mwabukusi: Mwanasheria msomi, mweledi, ambaye amediriki kuupinga kwa dhati hadi mahakamani mkataba mbovu wa bandari ametokea Mbeya.

Dr. Ulimboka: Daktari aliyeendesha mapambano ya kupigania haki za madaktari na kuboreshewa stahiki zao alitokea Mbeya.

Mwabulambo: aliongoza maandamano chuo kikuu cha mlimani, akamchachafya Nyerere, hadi Nyerere akaamua kupunguza mshahara wake wa shilingi 4,000 bila kodi. Yeye na Baraza lake la Mawaziri.

Hao ni kwa uchache.

NB: Kuna haja ya kukaa chini na kuyarekebisha haya mambo kidiplomasia, hakika inawezekana kwenye meza ya duara. Watu wa Mbeya ni waelewa sana.

Mitume, Wachungaji na Manabii, wengi wanatokea huko. Pia wanamuziki wengi wa nyimbo za dunia na za injili wanatokea huko.

Huko huenda ndio Mlima Sayuni, mlima wa Ukombozi uliko.
Gin Ja Wa
Shincheonji
Wana ego sana na ni watu hatari wasiofaa kuwa viongozi
 
Hawa Jamaa nawakubari kitu kimoja Ni wamoja saaana, Pia Wacha Mungu, Jeshini huwa wanajiamini saaana,, Mfano Mwakibolwa mwaseba, Brigedia Mwakipunda, Meja Mwaipopo, Mwamunyange, Meja General mwaisaka, Wanajiamini saaana pia hawaogopi kupoteza.. Ila Wapo Pia Baadhi waoga waoga ingawa Si Wengi.
Uko sahihi nakumbuka kaburu alienunua kiwanda cha sukari ilovo alipata tabu sana na hawa watu, ndio walikuwa waratibu wa kuongoza migomo ya kupinga maslahi madogo waliyokuwa wakilipwa na yule kaburu.

Wakati makabila mengine walikuwa wamekubali matokeo hao jamaa waligoma katakata.
 
Kama watu wa Mbeya ni makini basi Mbeya ndo ingeongoza Tanzania na kujengwa vizuri na kuwa na nyumba bora.

Huo umakini mnaupimaje wakati watu hawajui hata kujenga vizuri na kwa mpangilio?

Niambie Wasukuma wa Shinyanga watu makini nitakuelewa maana nipo shinyanga mjini sasa ni mkoa umejengwa vizuri na kwa mpangilio kuliko hapo Mbeya.
 
Back
Top Bottom