Hapana mkuu musoma kwasasa imebadilika sana yan saiv uwezi ilinganisha musoma na mikoa km kigoma, shinyanga, tabora, lindi na singidaJamaa wanapapaka rangi sana lakin ni miongoni mwa mikoa choka mbaya
Vipi Chikwakara bado yupo hadi naondoka 2009 alikuwa nikati ya washua wenye pesa pale Musoma alikuwa na ghorofa yake inajengwa opposite na MwembeniNakumbuka enzi hizo kwenda Disco Toto Tembo Beach kila sikukuu za Mwisho wa mwaka, Wasanii wakija Karume Stadium tunasubiria mda wa fungulia mbwa ndipo tuingie wakati kiingilio ni 1000 tu watoto.
Watu maarufu kama Tajiri mwenye mbwembwe Nyakiteri, Dereva wa mbio za magari Mama's, Hussein Sokoni, Redio yetu pendwa Victoria FM hapo utawakuta wakina Boke Wambura, Maregesi Girishon, Emmanuel Chibasa, Issa Nundu, mzee wa Mafua Robson Wangaso na wengineo, mitaa ya Nyasho hapo ndilo chimbo la kujipatia mavazi.
Fujo za Musoma Tech na Songe hadi kupelekea Songe kuwa ya wadada, Mitaa maarufu kama Mukendo, Iringo, Mwigobelo, Majita Road bila kusahau vibaka wa Magamaga, na kila likizo tunakutana tuition Mwembeni hapo utakutana na watoto wa Isenye, Ikizu na sisi wa Bweri Makatani.
nahisi bado atakuepoVipi Chikwakara bado yupo hadi naondoka 2009 alikuwa nikati ya washua wenye pesa pale Musoma alikuwa na ghorofa yake inajengwa opposite na Mwembeni
Hapana mkuu musoma kwasasa imebadilika sana yan saiv uwezi ilinganisha musoma na mikoa km kigoma, shinyanga, tabora, lindi na singida
musoma saiv inaikaribia moshi kwa uzuri wa mji Over
Ni kwel kabisaMusoma hata zamani mwaka 2005 tu ilivokuwa bado imezidi mikoa ya kigoma ,singida ,tabora na shinyanga ilivyo sasa
nadhani sasa hivi imeizidi Moshi ni vile tu sijaenda Musoma toka mwaka 2011
Jamaa wanapapaka rangi sana lakin ni miongoni mwa mikoa choka mbaya
Unajua kila mtu anaweza kuwa na mtizamo tofauti juu ya jambo moja. Kama unasema Musoma mjini ni pa kishamba basi labda utupe tafsiri sahihi ya neno ushamba. Kama ni lafudhi makabila yote duniani wana lafudhi tofauti na huo si ushamba, ni sehemu ya utamaduni wa jamii zote, umezaliwa na kukulia mahali fulani muda mwingi wa maisha yako utakuwaje na lafudhi ya jamii nyingine mbali kabisa na wewe? Ushamba ni nini mkuu.
Kuna miaka (2005/06) nilikuta wameifanya hotel, sijui sasa inatumikaje. Ilikuwa nyumba ya maana kweli kweliMazara namfahamu alikuwa na kigorofa chake maeneo ya Songe ziwani
Hapana mkuu musoma kwasasa imebadilika sana yan saiv uwezi ilinganisha musoma na mikoa km kigoma, shinyanga, tabora, lindi na singida
musoma saiv inaikaribia moshi kwa uzuri wa mji Over
Mukendo Primary 97
[emoji3][emoji3][emoji3]Asee nimekaa Musoma 19 years na nimekaa Moshi 5 years ila uwezi linganisha Moshi na Mass Town asee.
Musoma linganisha na Shinyanga, Tabora, Singida, Kagera, Lindi, Songea maana kwa mikoa iyo Musoma inawakimbiza sana Ao
Kitaji, Mwisenge, MukendoWewe ni mkongwe
Kitaji, Mwisenge, Mukendo
[emoji3][emoji3][emoji3]
Barongo alisha farik?i!! Huyu Jamaa nasikia alisha wahi kuwa Afisa Utamaduni hapo Musoma.Mke wake mdogo alimchukua kwa Mzee Mbogola mtaa wa Shomolo upande wa kulia ukitoka Mjini kuelekea Nyasho.Marehemu Barongo alijenga nyumba na kuzungushia ukuta ukiwa na mfanano wa meli ya MV. BUkoba kama kumbukumbu ya kumpoteza mke wake katika ajali hiyo mwaka 1996....
Choka mbaya kiaje?!Jamaa wanapapaka rangi sana lakin ni miongoni mwa mikoa choka mbaya
Musoma panapendeza sanaMusoma hata zamani mwaka 2005 tu ilivokuwa bado imezidi mikoa ya kigoma ,singida ,tabora na shinyanga ilivyo sasa
nadhani sasa hivi imeizidi Moshi ni vile tu sijaenda Musoma toka mwaka 2011
Naam huyo huyoBrai