Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Nimevinjari kwenye jiwe hilo la makoko karibu na makaburi ilikua ikifika saa kumi ninapanda na biti alikua anaitwa nyabinse, tunatoka usiku lile jiwe ukipanda juu ni kama uwanja., pia msoma miaka ya 2011 kulikuwepo na vikundi vya kihalifu, kama jamaika mokazi, na mdomo wa fulu. Dah umenikumbusha mbali sekeseke la msoma.
 
Acha utani broo, matvilla ya juzi kabisa hiyozilikuwepo nyingi tu kama silver sand, tembo beach, peninsula hotel na anext nk kibao, ww utakuwa umefika musoma miaka ya 2010 kuja huku!!!
Zote ulizotaja ni za kizaman sana hazina maajabu
 
Mzee kobasi alikuwa mtu wa CCM Sana mke wake alikuwa mwl kamunyonge watoto wake nawakumbuka ni Musa na kobas maana nimesoma nao kamunyonge.
Huyu mzee umaarufu wake sijui ulitokana na nn maana hata kwenye kugombea sikuwahi kumskia,
Anyway namkumbuka wakina Gloria na yule mdogo Jina limenitoka
 
Huyu mzee umaarufu wake sijui ulitokana na nn maana hata kwenye kugombea sikuwahi kumskia,
Anyway namkumbuka wakina Gloria na yule mdogo Jina limenitoka
Hauwezi kutaja wazee maarufu kwa pale musoma mjini usimtaje huyo mzee.
 
Barongo alisha farik?i!! Huyu Jamaa nasikia alisha wahi kuwa Afisa Utamaduni hapo Musoma.Mke wake mdogo alimchukua kwa Mzee Mbogola mtaa wa Shomolo upande wa kulia ukitoka Mjini kuelekea Nyasho.
Papaaa Barongo namkumbuka Sana na panki lake pia na siruali anavalia tumboni sio kiuononi utadhan mkongo kumbe ni kyoma.
 
Acha utani broo, matvilla ya juzi kabisa hiyozilikuwepo nyingi tu kama silver sand, tembo beach, peninsula hotel na anext nk kibao, ww utakuwa umefika musoma miaka ya 2010 kuja huku!!!

Musoma bado sana nimefika 2019 asee ukweli n kua hapabadiliki miaka yote
 
Kuna siku ntaleta Uzi wa Matukio ya Makundi ya Chuga kama vile Waenduru na Wang'ata lami,,009 Ngalimi kule ni Kwerekweche Bablai..Lakini pia Shytown(Shinyanga)kuna sehemu panaitwa Ndala na Upongoji,
 
Baiskeli za maganga ukifaulu form1 lazima ununuliwe
 

Nakumbuka fujo za Musoma technical hasa za songe 2005
 
Siku moja usiku nilikatiza ile shortcut ya airport kutokea CCM kwenda biafra, ili niwahi zangu kamnyonge, kabla sijafikia kile kigeti cha biafra nikaumana na vibaka aisee niliruka lile geti nikaenda kuanguka kwenye mtaro aloo sitasahau.
 

haaa bailes babake akina Simba na masao. Marafiki zangu long time.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…