Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Musoma aisee,eti mamas alifariki?
Sio kwamba alihama pale kwake? Kama alikufa nan anasimamia ile bas alafu na mwanza napo niliona hotel inaitwa mamas ila siba uwakika kama ni yake.
Kuna miaka flan pal kwake kulikuwa kuna kidem kinasoma mshikamano sekondari kinaitwa Minza nilikuwa naelewa sana kale kaumbk kake sema kilikiwa chakula cha wauani sana
 
hivi si bado ana duka pale sokoni?
 
2000 vijana na bodaboda Musoma??? Hii chai ya chumvi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…