Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Mimi napafaham sana pale mlimani pembezoni mwa ziwa tumecheza sana disco kwenye mkesha wa mwaka mpyakwa marwa jenelo unapafahamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi napafaham sana pale mlimani pembezoni mwa ziwa tumecheza sana disco kwenye mkesha wa mwaka mpyakwa marwa jenelo unapafahamu
Sio kwamba alihama pale kwake? Kama alikufa nan anasimamia ile bas alafu na mwanza napo niliona hotel inaitwa mamas ila siba uwakika kama ni yake.Musoma aisee,eti mamas alifariki?
nilkua nakaa mitaa ya kule kastam jiran na kwa marwa jeneroIringo ulikuwa unakaa mitaa ipi?
hivi si bado ana duka pale sokoni?Kuna mzee alikuwa anaitwa Makumpira alikuwa ana duka soko kuu. Musoma nzima ndio aliaminika kwa kuuza viungo vya chakula, alikuwa hapendi kuulizwa bei au kupewa ela kwa mkono wa kushoto.
Mzee alikuwa mkoloni huyu akikufuma/kukukamana na binti yake ata kama mlikuwa mmekaa mnapiga story tu wawili anawafungisha ndoa hapo hapo ataki mchezo
ndio mitaa ile kulikua kuna ka gerej bubuMi nawajua kwa majina ya kurwa na doto wapo mkendo kubwa hapo karibu na mtaa wa shabani
maduchu kuna siku alidakwa maeneo ya barut na mbio za vgt alichezea kichapo nusu kufariki aseeAlikuwepo pia maduchu yani musoma naimis sana.mitaa ya ffu pale kamunyonge watoto wa kishua
Una maana gani kusema life lake kama jeshini kwani maisha ya jeshi yakoje?Go East go West home is the best bado napapenda japo kiukweli Musoma life lake kama jeshini
2000 vijana na bodaboda Musoma??? Hii chai ya chumviAisee hapo niliwahi gombana nje
Kisa kilikuwa nimeenda na mamanzi wawili halaf machalii wawili wanata eti wateke wee thubutuu ndio nilikuwa nimeiva kwenye Tae kwon do niliwaoshea kinoma aisee maboda wote walio kuwa pale waliniona kama vandame, mmoja nilimuacha amezimia na Mwingine alipanda piki piki akakimbia kinoma na nakamfata na piki piki langu huku maboda nyuma kama 25 wanafuatilia tukio kama sinema ya kihindi vile ni bahati sikumshika nikarudi nikachukua mamanzi wangu nikarudi tena ndani hiyo space 2000 hatari sana aisee,
Na wakati fulani Jamaica wananiwinda kinoma aisee...
Duka bado analo ila sahiv wamo watoto wakehivi si bado ana duka pale sokoni?
boda nadhan zimeanza kuja msoma 2009 ksma cjakosea2000 vijana na bodaboda Musoma??? Hii chai ya chumvi
Tunapitaga tu palehivi kuna mtu yupo Kiabakari humu?
Kwa mzee mghika na mzee kasika unawafahamu hawa?hivi kuna mtu yupo Kiabakari humu?
patra,wewe upo Musoma?Duka bado analo ila sahiv wamo watoto wake
hapa bro,mimi wakupita tu hukoKwa mzee mghika na mzee kasika unawafahamu hawa?
Ndio. nimekuja home kufanya harakat flanpatra,wewe upo Musoma?
Ok,nilikuwa huko bahati nzuri nimekuja Dar kufanya harakati fulani.Ndio. nimekuja home kufanya harakat flan
Yeah..mzee kumbe unapapata freshndio mitaa ile kulikua kuna ka gerej bubu
Daah..we jamaa ntakuwa nakufaham maana mi pia nilikuwa pande hizonilkua nakaa mitaa ya kule kastam jiran na kwa marwa jenero
Naskia home saiz town ni rami na taa kila konaNdio. nimekuja home kufanya harakat flan
Hii chai imetiwa kila aina ya kiungo🤣🤣🤣2000 vijana na bodaboda Musoma??? Hii chai ya chumvi