Wengi mmekimbia musoma wengine wameuwawa kama huyo mgasa na maromaroMgasa, Kinche, Bonny Weed, Ally Bega, Duchu, Maromaro (R.I.P). List ni ndefu sana kwa wanangu wa Jamaica Mockers.
Mbio za vijiti unakutana na akina Jigga, Jira, Chui, Mapacha (jamaica pia walikua na mapacha).
Huku West Lawama unakutana na wakongwe akina Majani.
Yale maisha yamefanya tukawa tough sana. Kusurvive katikati ya gangs kama zile inahitaji roho ngumu. Bahati nzuri nilikua muhuni mpenda shule, hiyo ndio ponapona yangu. Othrerwise ningekua either jela au kaburini.
Go East go West home is the best bado napapenda japo kiukweli Musoma life lake kama jeshiniHotel nzuri kuliko zote ilikua mativila hotel pale karibu na mskiti mdogo..
Kwakweli musoma iko nyuma Sana
Bodaboda zimesaidia kupunguza uhalifu enzi za makundi kama Jamaica mockers wat walikua wanavunjiwa maduka, wanakatwa mapanga vjana wa huko walikua na usela wa kipuuzi sanaGo East go West home is the best bado napapenda japo kiukweli Musoma life lake kama jeshini
Kwa jinsi hali ilivyo kuwa kipindi kile angetokea mtu mwenye mawazo ya kuanzisha vikundi vya wapiganaji kama ilivyo DR CONGO Basi Musoma ingekua ni sehemu mbaya kabisa ktk taifa hiliBodaboda zimesaidia kupunguza uhalifu enzi za makundi kama Jamaica mockers wat walikua wanavunjiwa maduka, wanakatwa mapanga vjana wa huko walikua na usela wa kipuuzi sana
Umesahau Jamaika mockers hawa ulikua unapata nyasho kiongozi wao Maduchu cjui saiv yupo wapi walikua wakikutana mbio za vijiti na jamaika basi hapo lazima mtu afe ama apate ukilemaMass town mwaka 2005 yalianzishwa makundi ya vijana kwa ajili ya kampeni za siasa vijana wapige kura kuanzia miaka 18 mpaka 30 muasisi akiwa mgombea ubunge ccm. Baada ya kampeni kuisha tu hilo kundi la WEST LAWAMA likageuka na kua kundi la wahuni wavuta bangi vibaka na waanzisha fujo musoma.mjini.ilipofika mwaka 2007 yaliibuka makundi ya vijana mengi sana karibia kila kata inakundi lake la kufanyiana fujo na makundi ya mitaa mingine:
1. USWAZI kata ya kamyonge mpaka mkendo, iringo
2. MBIO ZA VIJITI kata ya nyakoto na kigera
3. MDOMO WA FURU kata ya nyamatare
4. WABEPARI kata ya mwisenge
Ilifika kipindi wakawa musoma nzima wanafunzi wengi wako kwenye makundi ya uhuni. Siku za sikukuu hasahasa complex na tembo beach lazima mzike uzimwe mapema kisa fujo za haya makundi hasimu MBIO NA USWAZI . Tulishudia mapanga live kama picha za wahindi. Ilifika kipindi wakawa wanafungiana maeneo ya kutembea kama vile nyasho ikotokea umekutana nao we kimbua tu utapigwa lugoe.
Kuna vijana walikua maarufu sana enzi hizo kwa ubabe na uhuni kama vile Kasinia na wengine wengi nishawasahau.
Maromaro alikufa kwa kupigwa visuMgasa, Kinche, Bonny Weed, Ally Bega, Duchu, Maromaro (R.I.P). List ni ndefu sana kwa wanangu wa Jamaica Mockers.
Mbio za vijiti unakutana na akina Jigga, Jira, Chui, Mapacha (jamaica pia walikua na mapacha).
Huku West Lawama unakutana na wakongwe akina Majani.
Yale maisha yamefanya tukawa tough sana. Kusurvive katikati ya gangs kama zile inahitaji roho ngumu. Bahati nzuri nilikua muhuni mpenda shule, hiyo ndio ponapona yangu. Othrerwise ningekua either jela au kaburini.
Jane ulipajuaje au ulienda kwa yule mama mganga mwenye titi moja.Kuna kijiji kinaitwa Kinesi hapo unavuka na pantoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jane ulipajuaje au ulienda kwa yule mama mganga mwenye titi moja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndo sisi mkuuNdio nyie watoto wa kishua mliokua mnasoma tution Mwembeni kila likizo? Hahaa.
Bora nyie mliporwa simu, wenzio wamepigwa sana mtungo!
Anaitwa Balongo alishakua marehemu alikua afsa utamaduni wa wilaya na ile ni nyumba ya kuishi MV BUKOBA.Kuna jamaa pale Baruti alikuwa amejenga nyumba muundo wa meli, sijui aliwaza nn
Acha uongo na pennisura hotel utamuachia nan?Hotel nzuri kuliko zote ilikua mativila hotel pale karibu na mskiti mdogo..
Kwakweli musoma iko nyuma Sana
Panju alishafariki zamani kidogo ndio chanzo cha kiwanda cha vimto na magodoro kufa.Vimto nimezinywa mkuu zamani sana nikiwa mdogo crate zake za mbao na hicho kiwanda kipo opposite na Mutex now ni godown, huyo Panju naye stori zake nimezisikia japo sijawahi muona
Mama Esta daaah umenikumbusha mbali sijui bado ipoNimemkumbuka dr. mmoja wa meno nadhani alikuwa anaitwa Nsabayo Ng'endo Au Dr. ng'endo dispensary yake ndiyo inaitwa Nsabayo. Aliniziba jino sikulala siku mbili kwa maumivu. Kipindi hicho Guest/lodge ya maana musoma ilikuwa Mama Esta
nadhani ilishakufa maana miaka ya 2000 nilienda huko sikuisikia kabisaMama Esta daaah umenikumbusha mbali sijui bado ipo
penisula ni ya zamani kidogo, mativilla ni ya hivi karibuniAcha uongo na pennisura hotel utamuachia nan?
Yeah, alichomwa kisu na Majani wa West Lawama.Maromaro alikufa kwa kupigwa visu
Huwa nikikaa na watu wa Arusha alafu wakaanza kuongelea ubabe wa huko kwao, huwa naishia kucheka tu. Musoma ilikua ni vita kamili.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndo sisi mkuu