Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Sisi wa 1970's tusubilie uzi wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyakato walikuepo mbio za vijiti.mdomo wa furu wako nyamatareMbona mna wasahau MDOMO WA FURU hao na ni wababe walitisha kutoka nyakato kanda maalum.
Huyu mzee Barongo ni marehemu,alikuwa muhaya lakini pia alikuwa ndiye afisa utamaduni wa wilaya.Kuna jamaa pale Baruti alikuwa amejenga nyumba muundo wa meli, sijui aliwaza nn
Kamnyonge huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] walitusumbua sana tuition hao jamaaHuwa nikikaa na watu wa Arusha alafu wakaanza kuongelea ubabe wa huko kwao, huwa naishia kucheka tu. Musoma ilikua ni vita kamili.
Anyway, ulikua unateseka ukiwa maeneo gani hahaa?
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji848]Yarudi hayo makundi maana kumepoa sana
Unaruhusiwa kuchangia mzee wa NyashoSisi wa 1970's tusubilie uzi wetu
DuuuhYarudi hayo makundi maana kumepoa sana
Rwamlimi mkuu yaani ukikatisha Nyakato unakutana nahao Mdomo wa FuruHuwa nikikaa na watu wa Arusha alafu wakaanza kuongelea ubabe wa huko kwao, huwa naishia kucheka tu. Musoma ilikua ni vita kamili.
Anyway, ulikua unateseka ukiwa maeneo gani hahaa?
mimi pia hua nawashangaa panya road eti walifunga mitaaa ya dasilamuHuwa nikikaa na watu wa Arusha alafu wakaanza kuongelea ubabe wa huko kwao, huwa naishia kucheka tu. Musoma ilikua ni vita kamili.
Anyway, ulikua unateseka ukiwa maeneo gani hahaa?
Nasubilia rika langu wajeUnaruhusiwa kuchangia mzee wa Nyasho
Hawa majamaa walitupora sana simu zetu enzi zile twasoma tuition [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Azimio tuu pale mwembeni primary pale[emoji30] walitunyoosha sana enzi zileDah pale azimio ulikua hupiti wakat wa kutoka tution mwembeni na jpli kanisani wametuteka sana sadaka
Kulikuwa na mtu anaitwa mgasa aisee hiyo ilikuwa chata nyingine
Mgasa, Kinche, Bonny Weed, Ally Bega, Duchu, Maromaro (R.I.P). List ni ndefu sana kwa wanangu wa Jamaica Mockers.
Mbio za vijiti unakutana na akina Jigga, Jira, Chui, Mapacha (jamaica pia walikua na mapacha).
Huku West Lawama unakutana na wakongwe akina Majani.
Yale maisha yamefanya tukawa tough sana. Kusurvive katikati ya gangs kama zile inahitaji roho ngumu. Bahati nzuri nilikua muhuni mpenda shule, hiyo ndio ponapona yangu. Othrerwise ningekua either jela au kaburini.
Marehemu Barongo alijenga nyumba na kuzungushia ukuta ukiwa na mfanano wa meli ya MV. BUkoba kama kumbukumbu ya kumpoteza mke wake katika ajali hiyo mwaka 1996....
Kwa jinsi hali ilivyo kuwa kipindi kile angetokea mtu mwenye mawazo ya kuanzisha vikundi vya wapiganaji kama ilivyo DR CONGO Basi Musoma ingekua ni sehemu mbaya kabisa ktk taifa hili