Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Sehemu bora kabisa musoma kuwahi kutokea ilikuwa diocese ya musoma( kituo cha matumaini ya vijana).

Kilikuwa kituo bora cha michezo na masomo, vyote vilitolewa bure kabisa kilikuwa kisima cha maarifa, kituo hiki cha kanisa romani cathoric baada tu ya kufungwa ndipo yalipoanza kuibuka makundi ya uharifu na wahuni

Pale ilikuwepo michezo ya aina zote unayoifahamu wewe, maktaba na madarasa ya kufundishia fani mbalimbali ikiwemo uchoraji n.k

Vijana na watu wote walikuwa wanakutana pale kushiriki michezo na masomo hivyo hapakuwa na makundi ya kihuni, zilikuwepo timu za mipira na michezo mingine pamoja na wasomi.

Sijaona kikiongelewa humu mkumbuke na mazuri, msikumbushane matukio ya wahuni tu.
 
Azimio tuu pale mwembeni primary pale[emoji30] walitunyoosha sana enzi zile

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Dah ilkua noma nakumbuka nilikua natoka zoezi pale karume stadium Enz za polisi mara pona pona yangu ni wale maafande wa farans weupe gar yao iliandikwa Never give up
 
Sehemu bora kabisa musoma kuwahi kutokea ilikuwa diocese ya musoma( kituo cha matumaini ya vijana).

Kilikuwa kituo bora cha michezo na masomo, vyote vilitolewa bure kabisa kilikuwa kisima cha maarifa, kituo hiki cha kanisa romani cathoric baada tu ya kufungwa ndipo yalipoanza kuibuka makundi ya uharifu na wahuni

Pale ilikuwepo michezo ya aina zote unayoifahamu wewe, maktaba na madarasa ya kufundishia fani mbalimbali ikiwemo uchoraji n.k

Vijana na watu wote walikuwa wanakutana pale kushiriki michezo na masomo hivyo hapakuwa na makundi ya kihuni, zilikuwepo timu za mipira na michezo mingine pamoja na wasomi.

Sijaona kikiongelewa humu mkumbuke na mazuri, msikumbushane matukio ya wahuni
Nilisoma hapo computer nilipokua nasubiri matokeo ya form four
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Dah ilkua noma nakumbuka nilikua natoka zoezi pale karume stadium Enz za polisi mara pona pona yangu ni wale maafande wa farans weupe gar yao iliandikwa Never give up
Polee asee, Me nashukuru Mungu ni mara moja tuu nilikumbana nao
 
Nyakato Mtaa wa vibaka na walevi wa ngogo wachawi miaka hio tunaenda baruti kufata mapanki[emoji16] Disco Toto Mama Ester in, peninsula beach watoto wa kishua wanatokea kamnyonge biafla na kambi za FFU December tunaenda mwembeni kutafuta pisi Kali Enz hizo baskeli za maganga ndo dili Mjini Mistu wa Babu Kenge,
Musoma tunaita Magido, Mapanki watu wa Mwanza ndiyo wanaita hivyo kipindi hicho pale walipojenga shule ya Baruti secondary ndipo kilikuwa kiwanda cha kukaangia
 
Sehemu bora kabisa musoma kuwahi kutokea ilikuwa diocese ya musoma( kituo cha matumaini ya vijana).

Kilikuwa kituo bora cha michezo na masomo, vyote vilitolewa bure kabisa kilikuwa kisima cha maarifa, kituo hiki cha kanisa romani cathoric baada tu ya kufungwa ndipo yalipoanza kuibuka makundi ya uharifu na wahuni

Pale ilikuwepo michezo ya aina zote unayoifahamu wewe, maktaba na madarasa ya kufundishia fani mbalimbali ikiwemo uchoraji n.k

Vijana na watu wote walikuwa wanakutana pale kushiriki michezo na masomo hivyo hapakuwa na makundi ya kihuni, zilikuwepo timu za mipira na michezo mingine pamoja na wasomi.

Sijaona kikiongelewa humu mkumbuke na mazuri, msikumbushane matukio ya wahuni tu.
Kweli kabisa hapo palikuwa nisehemu ya kuwapa matumaini vijana, nilikuwa nahudhuria sana pale
 
Back to 1980's Tycoon Musoma walikuwa Panju na Ibrahim Kassam (Waasia) akimiliki kiwanda cha soda za VIMTO hapo Musoma maeneo ya Shule Pendwa Musoma Tech. Sina hakika kama kiwanda cha Vimto bado kipo huko Musoma, ingawa kwa sasa AZAM kachukua hilo jina na kuzipachika Juice zake VIMTO.
Umemsahau yule mzee tajiri wa pale kamnyonge, karibu na shule ya msingi.
 
Hatari sana mimi nimkulia Mwisenge katika maeneo ya kwa Geofrey yule mfuga ngombe hali ilikua mbaya saana mpaka mzee akanipeleka Boading Arusha kisa tuu nisiingie katika makundi Mbaya namkumbuka sana kuna mshikaji alikua katika kundi la Jamaica Moko pale majita road alikua anaitwa Kabadi jamaa alikua mtata sana
 
Back
Top Bottom