Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Mkuu melini kwenye Sea Link si kuna restaurant
 
Mungu pamoja nasi amanake nini yani hata hilo jina tu halikufanyi uelewe Yesu alikua ni nani?

Acha kukaza fuvu,soma injili ndio utaelewa kuwa hakuna kufika mbinguni bila kupitia imani ya kikristo.
Hapo mwanzo palikua na neno,naye neno alikua kwa Mungu,naye neno ni Mungu
 
Mayahudi wameingia vipi kwenye uislamu,wakati ndio maadui wa kwanza wa uslamu achilia mbali ukristo,kimsingi uslma ni dini yq mchongo,iliyoungwaungwa kwa kuiba historia na mitume na manabii wakiyahudi.
Siku nyingi nilikutanabahishia kwamba fuvu lako limejaa togwa
 
Pitia uislam unaagiza na kukataza nini katika mavazi,vyakula,Ibada nk...badala ya kunipa kazi ya kukuandikia bila sababu za msingi
 
Sasa hao mitume katika usilamu walitokea wapi?hii dini ya mchongo sana asee,kumbe mudi ndio alikuwa wa kwanza kuhubiri habari hizo,
Ukute una watoto na huwachapa wakifeli darasani..kumbe umbumbumbu wameruthi kwako
 
Marashi ya pembaaaaaa
 
Wavivu hao majamaa halafu wabaguzi.
 
Hiiii mkuu what the hell 😳!

Basi itabidi uwe balozi wa kudumu wa kutetea muungano.
 
Uzi wenyewe ni huu 👇👇


💣NYONGEZA
1. Wapemba wachafu sana , mpemba anaweza akawa anaishi nyumba imezungukwa na majani marefu na maji machafu na wala asiwaze

2. Wapemba ni wavivu sana sana,, hawa miamba ni wavivu sana yaani namaanisha kweli.

3. Pemba ugonjwa wa pumu na kifua upo sana. Madogo asilimia kadhaa wanaumwa pumu na inaonekana kawaida.

4. Wapemba swala la kutupiana majini wanapenda kinoma sasa sijui wanayafuga.

5. Wapemba wabaguzi kuliko waunguja.

6. Wapemba asilimia kubwa wanajibinafsisha uislamu kama wao. Yaan muislamu kutoka bara unaonekana mchimba chumvi tu.

7. Ukitaka kuoa pemba jichunguze vzr usije oa toto linaanguka majini maana wao wanaona kawaida tu.

NILIKAA PEMBA CHAKE CHAKE NIKAKAA PIA KONDE MWISHO NIKAMALIZIA WETE, ITOSHE KUSEMA WAPEMBA BAADHI AMBAO WAMETEMBEA NA WANA EXPOSURE YA BAADHI YA MAMBO NI WATU POA SANA.

AFU KUNA HAWA KAULI YA UKAFIRI HAIISHI KATIKA VINYWA VYAO, WANAONA KAMA WAMESHAPATA PEPO.

BTW me ni muslim tena ahlul sunnah wal jamaa (salafia).
BARDIZBAH
 
Kazi sana.
Nimefika mara 3 zanzibar ila sijawah kupapenda (unguja) .
SAsa sijui huko pemba kama ndio ningepaweza.

Ila jamaa wana ukarim sana(unguja) maana nakumbuka nilifika huko siku mbaya sana.Ilikua siku moja kabla ya maadhimisho ya Revolition day.Kila lodge imejaa..Bas kuna mwamba huyo alinihangaikia kutafuta nyumba ya wageni mpaka akapata ..tulizurura sanaaaa nakumbuka ila cha ajabu nilipotaka kumlipa pesa ya usumbufu wa kughair mambo yake anisaidie mimi kupata lodge , jamaa akakataa kata kata yan ile kwa kumaanisha..hakutaka sent ..kimoyo moyo nikaogopa nikasema huyu bwana anataka nini sasa!???


Ahahahahaha.. sikupenda kwakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…