Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Pemba patamu yahe. Usisahau kufika pale Gombani na Macho manne.
UKifika Macho manne utapata kila utakacho, Wete halikadharika...ingawa macho wengi yatakunyima Uhuru.
Ukichukua ngoma Wete au Macho manne inabidi ukaipigia kusini, yaani mkoa mwingine.

Wabara na Wahuni kuitwa Wanyamwezi ni sababu ya watu wawili, wa Kwanza James Maparara aliyekua mwanzilishi na Mwenyekiti wa CUF, wa pili ni Ibra Lipumba...hawa Wanyamwezi wawili kwao ndiyo brand ya Wabara
Kabla ya hao tuliitwa machogo. Hata CO wangu alitukanwa kwa kuitwa chogo akafunga Mtaa. Hakuna kuingia hakuna kutoka, baada ya masaa 9 wakamtaja aliyetukana. Alikuwa anaitwa Khamid Ubwa, bwana Ubwa akapakiwa kwenye gari yenye maandishi mwekundu MP akaletwa kambini. Kilicho fuata huko.... Wakaja za kamsemo 'wanajeshi sio watu, hata akitaka mkeo mpeee'
 
Niko kwenye Azam Sea link narudi zangu Unguja then Dar Leo.


Messi imeniokoa sana muda wa wiki Moja niliokaa Pemba. Sikupata shida ya kula kabisa Ramadhani hii ingawa hela imetoka sana kwenye kula na kugonga vyombo.

Messi Ina mademu wengi sana ila tatizo hata ukitongoza huwezi kumpeleka hotelini kwako maana hawatakuruhusu.
Mademu wanataka uende nyumbani kwao which is very risk.

Kwenye meli Kuna ustaarabu mbaya sana. Mnakata ticketi ya Economy au Executive seat lakini ukiingia unakuta mijitu imelala kwenye viti vyote
Kumbe Azam boat zinafika hadi pemba?nauli bei gani?
 
Kabla ya hao tuliitwa machogo. Hata CO wangu alitukanwa kwa kuitwa chogo akafunga Mtaa. Hakuna kuingia hakuna kutoka, baada ya masaa 9 wakamtaja aliyetukana. Alikuwa anaitwa Khamid Ubwa, bwana Ubwa akapakiwa kwenye gari yenye maandishi mwekundu MP akaletwa kambini. Kilicho fuata huko.... Wakaja za kamsemo 'wanajeshi sio watu, hata akitaka mkeo mpeee'
Waungwana sana wale watu, mkiwaonyesha Mziki na wakaukubali ni wepesi sana kukubali matokeo😃
 
Hii ni unguja sio pemba

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Huko huko Pemba...

Unguja wamechanganyika Sana .. .. na hawaangalii Sana bikra miaka ya sasa...

Pemba hii ipo ...na ndio maana hata wanawake walioolewa .. kwa ndoa wapo baadhi wanatumiwa hivyo na Waume zao!

Kesi hizi ni.nyingi mno ... Hospital tunaona mengi!

Yafumbiwa macho tu!
 
Ebhana niaje, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.

1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sana.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi
3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa
5. Pemba maisha ni ghali sana
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue, yaani huku hawana habari za kutumiana wahuni, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi, yaani majitu fulani mahuni, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)

14. Pemba shule inaitwa Skuli
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen

♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PE

Ebhana niaje, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.

1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sana.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi
3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa
5. Pemba maisha ni ghali sana
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue, yaani huku hawana habari za kutumiana wahuni, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi, yaani majitu fulani mahuni, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)

14. Pemba shule inaitwa Skuli
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen

♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
Burukenge fulani wewe!
 
Ebhana niaje, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.

1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sana.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi
3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa
5. Pemba maisha ni ghali sana
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue, yaani huku hawana habari za kutumiana wahuni, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida[emoji2]
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi, yaani majitu fulani mahuni, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)

14. Pemba shule inaitwa Skuli
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen

♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
Habari ya pembe umetuwekea tumeifahamu ebu tuwekee na tabia zako na ndugu zako wa huko ulikozaliwa hili tulinganishe
 
Ebhana niaje, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.

1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sana.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi
3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa
5. Pemba maisha ni ghali sana
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue, yaani huku hawana habari za kutumiana wahuni, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi, yaani majitu fulani mahuni, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)

14. Pemba shule inaitwa Skuli
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen

♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
Nipo huku wete mkuu unawez kua na connection za warembo
 
Hahaaa! Mwaka jana mwezi wa nne mwezi wa ramadhani nilikuwa huko,daa ilibidi nifunge tu na mimi japo sio muislam. Kwani hata maji ya kunywa tu dukani huwezi kuuziwa, bia hapo MESS tsh. 3000 (tena ndogo) maeneo ya hapo MACHO MANE chakula ni bei juu sana.madem bila hao ma bar maid wa hapo mess na hao wauza vyakula kutoka bara, sijui ingekuwaje!
Wenyeji wa huko uroda wanapata wapi??
 
Ebhana niaje, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.

1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sana.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi
3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa
5. Pemba maisha ni ghali sana
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue, yaani huku hawana habari za kutumiana wahuni, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi, yaani majitu fulani mahuni, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)

14. Pemba shule inaitwa Skuli
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen

♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
Pemba wanawake wote ambao hawajaolewa ni bikra lakini hawana marinda.

Accumen Mo
 
Back
Top Bottom