Kufuatilia ndoa ya Dada yako ni wehu mkubwa sana, pambana na maisha yako mdogo wangu ukiona hivyo ujue kuna kasoro shemej yako alibaini kwa dada yako na labda anakaa nae kwa sababu ya watoto na huruma tu, hakuna mwanaume anaeweza kuoa mke wa pili kabla hajatoa mahari kwa mke wake mkubwa ambae wameanza nae maisha, hii ilishanikuta mimi, nikiwa chuo nilianzisha mahusiano na mnyakyusa mmoja hivi changamoto sana tukipishana kidogo mamayake ananitumia sms za matusi na ndugu zake yaani hakuna amani ila tayari katika haso zangu nilijenga nyumba nikiwa bado naishi nae na tukapata watoto wawili tangu 2019. Ila Bi dada huyu tatzo likitokea ni sim kwao na ndugu zake wanaanza kunitukana tena matusi ya nguoni hadi nikaona jau kwenda kwao nikamkaushia tu, kama mwanaume nina ham ya kuoa ila nilishaona ninaeishi nae sio mtu sahihi ikabidi niowe mke mwingine kwa siri mwaga ugali ni mwage mboga, nikampangia na alipogundua kwao wakawaka balaa matusi kama yote akaondoka na kuniachia watoto akarud kwao, ikabidi nimchukue B mdogo kahamia mjengoni maisha yakaendelea rasmi, kuna utofauti mkubwa sana niliuona na nikaanza kuexperience furaha ya ndoa. Baada ya life kumpiga Mnyakyusa na alitoka kwa mbwembwe na matusi kutoka kwa ndugu zake kuwa watamfungulia Biashara nikasema fresh tu, Amerudi kwao hamna walichomfanyia zaidi ya kumuweka amekaa ameona life haliendi ikabidi anitafte akiomba nimrejeshe hom na nyumbani tayar mjengo ushamilikiwa na B mdogo kwa huruma tu nimempangia chumba kimoja huko uswahilini anakaa ila namhudumia na nikijskia kwenda kumpelekea mto huwa naenda anajiona kama mke asiye na mamlaka na mimi tena kama awali, na hapo anakaa kwangu na kwao hawajui kama alisharudi kwangu kwa kunipgia magoti na nimempangia uswahilini, hapa nimemuweka katika kipindi cha uangalizi akae kama miaka 2 nikiona amerekebika nitamjengea na nitamlipa mahali ila atakuwa mke Mdogo na si mkubwa tena maana mke mdogo nilishamtolea mahari kabla yake.
Ogopa sana kuoa familia ambayo wanadekeza binti yao ni hatari sana na mnamharibia dada yenu maisha nyie sisi wanaume hatukomolewi.