Watu wa Sheria Nisaidieni kwenye hii ndoa ya Dada angu

Watu wa Sheria Nisaidieni kwenye hii ndoa ya Dada angu

Dada angu kaolewa miaka karibia 10 Sasa , ana watoto watatu , wamejenga nyumba, na wanamiliki mashamba makubwa ambayo Yana mazao kila mwaka wanavuna.
Bwana ake (shemeji) mpaka Sasa hajamtolea mahali dada angu tumejaribu kufwatilia kama family bwana shemej anapiga Kona Kona nyingi sana , Hilo la kwanza .

Kitu cha pili ndo kilichonifanya nije niombe ushauri kwenu , Ni kwamba shemeji yangu mwaka huu kaoa mke wa pili na wanaishi nyumba moja ambayo dada angu anaishi (nyumba ambayo alijenga dada na huyo mume wake)
Baada ya kuingia huyu bi mdogo inaonekana bwana shemeji anamsikiliza sana bi mdogo na hata wazazi wa mume wanamsikiliza sana mke wa pili .

Kuna unyanyapaa dada angu anaupitia ikiwemo kupigwa pale ambapo anadai haki yake ikiwa pamoja na hela ya matumizi.

Kwa Sasa Dada anataka kuachana na huyo mwanaume na sisi kama kaka zake tunatamani iwe hivyo . Shida inakuja kwenye kupata haki zake za Mali walizochuma kama nyumba , pikpk na mashamba ,

Je mwanamke akiomba talaka anaweza akapata mgao wa Mali alizochuma na Mr ake ,
Au utaratibu Gani atumie hapa ili aachane na Mr ake bila kupoteza haki zake za umiliki wa Mali walizochuma??
Msaada wenu
Mkuu Niko nje ya mada kidogo vip tatizo lako la maumivu upande mmoja wa Figo kuuma pindi mkojo ukubanapo au bila mkojo vip ulifanya vipimo shida ni nin iligundulika namim nna tatizo Kama hilo
 
Dada angu kaolewa miaka karibia 10 Sasa , ana watoto watatu , wamejenga nyumba, na wanamiliki mashamba makubwa ambayo Yana mazao kila mwaka wanavuna.
Bwana ake (shemeji) mpaka Sasa hajamtolea mahali dada angu tumejaribu kufwatilia kama family bwana shemej anapiga Kona Kona nyingi sana , Hilo la kwanza .

Kitu cha pili ndo kilichonifanya nije niombe ushauri kwenu , Ni kwamba shemeji yangu mwaka huu kaoa mke wa pili na wanaishi nyumba moja ambayo dada angu anaishi (nyumba ambayo alijenga dada na huyo mume wake)
Baada ya kuingia huyu bi mdogo inaonekana bwana shemeji anamsikiliza sana bi mdogo na hata wazazi wa mume wanamsikiliza sana mke wa pili .

Kuna unyanyapaa dada angu anaupitia ikiwemo kupigwa pale ambapo anadai haki yake ikiwa pamoja na hela ya matumizi.

Kwa Sasa Dada anataka kuachana na huyo mwanaume na sisi kama kaka zake tunatamani iwe hivyo . Shida inakuja kwenye kupata haki zake za Mali walizochuma kama nyumba , pikpk na mashamba ,

Je mwanamke akiomba talaka anaweza akapata mgao wa Mali alizochuma na Mr ake ,
Au utaratibu Gani atumie hapa ili aachane na Mr ake bila kupoteza haki zake za umiliki wa Mali walizochuma??
Msaada wenu
Aachane tu na Mali bana kikubwa uhai wake na uzima inatosha,watt wakiwa wakubwa watapewa urithi wataenda kuishi na mama yao.
Mali kitu gani akipewa na akafilisiwa ,hapo aawache waishi baadaye shemeji yako atamuita Tena dada Ako. Wewe wape.miaka.mitano utaleta mrejesho hapa.
Mwanamke hajajenga nyumba, alikuwa anafanya kazi Gani ya kuingiza kipato icho ama yeye anamiliki nini mbali na hizo.mali.za.mmewe
 
Dada angu kaolewa miaka karibia 10 Sasa , ana watoto watatu , wamejenga nyumba, na wanamiliki mashamba makubwa ambayo Yana mazao kila mwaka wanavuna.
Bwana ake (shemeji) mpaka Sasa hajamtolea mahali dada angu tumejaribu kufwatilia kama family bwana shemej anapiga Kona Kona nyingi sana , Hilo la kwanza .

Kitu cha pili ndo kilichonifanya nije niombe ushauri kwenu , Ni kwamba shemeji yangu mwaka huu kaoa mke wa pili na wanaishi nyumba moja ambayo dada angu anaishi (nyumba ambayo alijenga dada na huyo mume wake)
Baada ya kuingia huyu bi mdogo inaonekana bwana shemeji anamsikiliza sana bi mdogo na hata wazazi wa mume wanamsikiliza sana mke wa pili .

Kuna unyanyapaa dada angu anaupitia ikiwemo kupigwa pale ambapo anadai haki yake ikiwa pamoja na hela ya matumizi.

Kwa Sasa Dada anataka kuachana na huyo mwanaume na sisi kama kaka zake tunatamani iwe hivyo . Shida inakuja kwenye kupata haki zake za Mali walizochuma kama nyumba , pikpk na mashamba ,

Je mwanamke akiomba talaka anaweza akapata mgao wa Mali alizochuma na Mr ake ,
Au utaratibu Gani atumie hapa ili aachane na Mr ake bila kupoteza haki zake za umiliki wa Mali walizochuma??
Msaada wenu
Mkunyange apigwe dada mali ule wewe...huwenda mume alishaona hizo dalili zenu zakumendendea mali mpaka kachagua amani ya moyo kwa kuoa mke mdogo 🤣🤣
 
Dada yako ana haki kubwa sana, kwa sababu amekaa miaka 10 na huyo jamaa,

Hapo asidai kama mke ,

Anayakiwa adai mali kama mfanyakazi wa ndani kwa mujibu wa sheri kila mwisho wa mwezi mfanyakazi wa ndani analipwa sh 100,000 fanya mara 12 kisha mara 10, kwa maana kila mwaka alikuwa anatakiwa kulipwa 1,200,000 kwa miaka 10,


Kwa vile alikuwa anamtumia kama mke na amemzalisha pia anatakiwa kumlipa,


Kinachotakiwa aende mahakamani akafungue kesi ya kufanyishwa kazi miaka 10 bila malipo, na ktk maelezo yake aseme alikuwa ananitumia kama mke na amenizalisha watoto 3, kazi alizokuwa akiafanya nyumbani ,

Kupika,

Kufua

Kumusafisha nyumba

Kumuhudumia kama mume

Kumlelea watoto wake,

Atalipwa na kiiunua mgongo kwa maana alitakiwa kila mwezi awekewe 20,000 kwa kwaka kisha fanya mara 12 jumlisha na ile milion 12 ataondoka na m 15 hapo
 
Back
Top Bottom