Watu wa Sheria Nisaidieni kwenye hii ndoa ya Dada angu

MGAWO LAZIMA APATE SAWA KWA SAWA.

LAKINI KWANINI ALIKUBALI MKE MDOGO AJE AISHI NYUMBA ALOJENGA YEYE BILA KUSHITAKI?
 
Mtu hajatolewa mahari halafu unasema ameolewa! Ameolewaje sasa! Halafu ukome kufuatilia ndoa ya dada yako kama mmeolewa pamoja,utaolewa bure kwa tamaa ya mali isiyokuhusu.
Wewe dada yako akiteswa na mumuwe hutaona sababu ya kumsaidia? Halafu mahari na ndoa ni vitu viwili tofauti, mtu aweza kuolewa bila kutolewa mahari.
 
Hiyo ndoa yao ipo kiaje mkuu? Ina makarqtasi yeyote?
 
Wewe dada yako akiteswa na mumuwe hutaona sababu ya kumsaidia? Halafu mahari na ndoa ni vitu viwili tofauti, mtu aweza kuolewa bila kutolewa mahari.
Siingilii uhusiano wa dada yangu,Ndoa ninayoijua mimi sharti mahari itolewe kwanza hata kama haijamalizwa ndiyo iwe ndoa hizo nyingine sizifahamu kwahiyo siwezi kuzisemea.
 
Marriage Act of 1971 haizungumzii mahari kama kigezo cha ndoa kuwa halali
Mimi kwangu ndoa siyo sheria tu bali sharti la kidini ndiyo muhimu zaidi,kuna nchi zimeruhusu ndoa za jinsia moja lakini kiuhalisia hiyo haiwezi kuwa ndoa japo sheria ya nchi husika imeruhusu.
 
Siingilii uhusiano wa dada yangu,Ndoa ninayoijua mimi sharti mahari itolewe kwanza hata kama haijamalizwa ndiyo iwe ndoa hizo nyingine sizifahamu kwahiyo siwezi kuzisemea.
Basi ndio ujue kuwa mahari sio lazima coz ndoa ni makubaliano ya watu wawili, hao wakisharidhiana ndoa inafungwa bila shida.
 
Basi ndio ujue kuwa mahari sio lazima coz ndoa ni makubaliano ya watu wawili, hao wakisharidhiana ndoa inafungwa bila shida.
Ndoa ninavyojua mimi mahari ni lazima ,bila mahari hakuna ndoa.
Mwanamke anayejipeleka mwenyewe kama mbuzi kwa mwanaume kwa kisingizio cha makubaliano huyo siyo mke ni hawara tu hata waishi miaka 100.
 
Asuming kuna huo msingi wa "ndoa ya dhana", je talaka inatokaje hapo? Inabidi ku-petition for talaka au huyo mama aende kuomba machumo ya ndoa moja kwa moja?
 
Msaada unaomba wewe halafu ndoa ni ya dada yako. Kuna kitu hakiko sawa kwa upande wenu wa kike, si ajabu jamaa kawaolea mke mwenza.
 
Vijana wa siku hizi Bure kabisa yaani

We kenge unakaa na kende zako umening'iniza unawazia mgao wa pikipiki dada akiachika

Watu wengine sijui mkoje asee. Hebu acha ujinga katafute kazi huko!
 
Vijana wa siku hizi Bure kabisa yaani

We kenge unakaa na kende zako umening'iniza unawazia mgao wa pikipiki dada akiachika

Watu wengine sijui mkoje asee. Hebu acha ujinga katafute kazi huko!
🀭😊😊
 
Vijana wa siku hizi Bure kabisa yaani

We kenge unakaa na kende zako umening'iniza unawazia mgao wa pikipiki dada akiachika

Watu wengine sijui mkoje asee. Hebu acha ujinga katafute kazi huko!
πŸ˜€
 
Umeoa
Kama umeoa
Talaka achana nayo unatesa wajomba zako
Kama dada mshauri avumilie tu kikubwa asinyim.we mshededeee basi
...inaendelea
 
Dada ako atapata mgao wa mali endapo atathibitisha alichangiaje upatikanaj wa hizo mali. Akishindwa kutoa vielelezo hapat kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…