Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wandungu, kesho mkiona watu wamejitokeza kwa wingi kupiga kura, basi mtambue hiyo ni dalili ya mapema kabisa kuwa Lissu na wagombea wengine wa upinzani wanakwenda kupata kura nyingi na za ushindi ingawa tatizo linaweza kuwa katika kuwatangaza.
Sababu kubwa ni kuwa,siasa za kuhamahama kwa kile kilichoitwa kuunga mkono juhudi, na kuvurugwa kwa chaguzi za marudio pamajo na ule uchaguzi wa mwaka jana wa serikali za mitaaa, ni mambo yaliyowakatisha tamaa sana wananchi wengi kushiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Tukumbuke watu wengi(hata hapa JF wapo) waliokuwa wameapa kutojisumbua kwenda kupiga kura wakiamini hakutana tena uchaguzi wa maana chini ya utawala huu.
Hivyo,kesho mkiona kuna idadi kubwa ya watu wamejitokeza katika vitu vya kupiga kura,mjue ni Lissu na wapinzani kwa ujumla ndio wamefanya watu wawe na hamu/hamasa ya kwenda kupiga kura na wote hao watampigia kura Lissu na wagombea wengine wa upinzani.
Vile vile,turnout ikiwa kubwa,ni ishara nyingine ya wapiga kura kuwa teyari kulinda kura kama wanavyohimizwa na wanasiasa wa upinzani.
Vile vile idadi ya wapiga kura ilkiwa ndogo ni ishara ya CCM kulataliwa kwa kushindwa kutimiza kila wananchi walichokitaka na pia itakuwa ni dalili ya upinzani kushinda ila by narrow margin .
Kwahiyo, watu wakijtokeza kwa wingi hiyo kesho, CCM bado itakuwa katika wakati mgumu na wakijitokeza wachache, CCM bado tu itakuwa katika hali ngumu zaidi.
Hata hivyo,mpaka sasa dalili zinaonyesha hamasa ya kupiga kura iko juu, na kwamba wengi watajitokeza hiyo kesho kupiga kura kwa lengo la kumpumzisha Magufuli na CCM yake.
Habari ndio hio.
Sababu kubwa ni kuwa,siasa za kuhamahama kwa kile kilichoitwa kuunga mkono juhudi, na kuvurugwa kwa chaguzi za marudio pamajo na ule uchaguzi wa mwaka jana wa serikali za mitaaa, ni mambo yaliyowakatisha tamaa sana wananchi wengi kushiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Tukumbuke watu wengi(hata hapa JF wapo) waliokuwa wameapa kutojisumbua kwenda kupiga kura wakiamini hakutana tena uchaguzi wa maana chini ya utawala huu.
Hivyo,kesho mkiona kuna idadi kubwa ya watu wamejitokeza katika vitu vya kupiga kura,mjue ni Lissu na wapinzani kwa ujumla ndio wamefanya watu wawe na hamu/hamasa ya kwenda kupiga kura na wote hao watampigia kura Lissu na wagombea wengine wa upinzani.
Vile vile,turnout ikiwa kubwa,ni ishara nyingine ya wapiga kura kuwa teyari kulinda kura kama wanavyohimizwa na wanasiasa wa upinzani.
Vile vile idadi ya wapiga kura ilkiwa ndogo ni ishara ya CCM kulataliwa kwa kushindwa kutimiza kila wananchi walichokitaka na pia itakuwa ni dalili ya upinzani kushinda ila by narrow margin .
Kwahiyo, watu wakijtokeza kwa wingi hiyo kesho, CCM bado itakuwa katika wakati mgumu na wakijitokeza wachache, CCM bado tu itakuwa katika hali ngumu zaidi.
Hata hivyo,mpaka sasa dalili zinaonyesha hamasa ya kupiga kura iko juu, na kwamba wengi watajitokeza hiyo kesho kupiga kura kwa lengo la kumpumzisha Magufuli na CCM yake.
Habari ndio hio.