Watu wakimya (introverts) mnapataje marafiki wa kawaida ukubwani?

Watu wakimya (introverts) mnapataje marafiki wa kawaida ukubwani?

Mi kukaa mwenyew sku nzima na sm yangu ikiwa na bando huwa najihis amani sana,nachoka kukaa na watu

Nikizeeka nitaishi polini na vijana wawili tutafanya shughuli za kilimo na kula bata huko porini
Hao bata nao una fikiri ni ma introvert kama wewe kwamba wawaone mnawala wenzao wabaki hapohapo......akipungua mmoja tu bata haooo wanaextrovatika chap mtaa mwengine
 
Nadhani pia introverts wengi tunaroho nyepesi as ni rahisi kuumizwa, so kuavoid maumivu ya kila siku unaamua kujiweka pembeni

Pia hatupendi drama [emoji1787]

Ila ukibahatika kupata introvert friend ni kama umeokota dodo[emoji3][emoji38] tuko peace na very social katika small limited circle [emoji817]

Haya introverts tujuane tuanze kubond tuache kukaa counter wenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nadhani pia introverts wengi tunaroho nyepesi as ni rahisi kuumizwa, so kuavoid maumivu ya kila siku unaamua kujiweka pembeni

Pia hatupendi drama [emoji1787]

Ila ukibahatika kupata introvert friend ni kama umeokota dodo[emoji3][emoji38] tuko peace na very social katika small limited circle [emoji817]

Haya introverts tujuane tuanze kubond tuache kukaa counter wenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu mimi naweza kusema kotekote nipo.

Nikisocialize na wadau alafu kuna mada izungumzwe kisha niwe na interest nayo basi nawaweka pending wadau wananiskiliza mimi.

Ila nikikaa na watu ambao sijawazoea na wanapiga ishu ambazo sizipendi aah nakuwa mkimya sana.

Naweza kushinda home siku nzima nikasali ndani tu,alafu peace tu sio kama nakuwa na stress.

JF imekuwa kijiwe changu kizuri sana.

Kiukweli najifunza mengi sana kuwa pekeyangu.

Ila sasa nakuwa kama chizi naongea peke yangu humu ndani.
 
Mi kukaa mwenyew sku nzima na sm yangu ikiwa na bando huwa najihis amani sana,nachoka kukaa na watu

Nikizeeka nitaishi polini na vijana wawili tutafanya shughuli za kilimo na kula bata huko porini
My dream,shamba halafu kakibanda kazuri ka kuishi na vijana wawili au watatu, mnapiga kazi,mnakuwa na Mbuzi,Bata,kuku kidogo na kieneo cha kulima...
 
My dream,shamba halafu kakibanda kazuri ka kuishi na vijana wawili au watatu, mnapiga kazi,mnakuwa na Mbuzi,Bata,kuku kidogo na kieneo cha kulima...
Mkuu hizi harakati tuzianze sasa hivi.

Unapata kaeneo kako kama hekari moja kwa ajili ya nyumba ya kumalizia uhai.

Unajenga nyumba na kilimo hapo ndani na vijukuu viwili na wife unakufa taratibuu
 
My dream,shamba halafu kakibanda kazuri ka kuishi na vijana wawili au watatu, mnapiga kazi,mnakuwa na Mbuzi,Bata,kuku kidogo na kieneo cha kulima...
Mkuu hizi harakati tuzianze sasa hivi.

Unapata kaeneo kako kama hekari moja kwa ajili ya nyumba ya kumalizia uhai.

Unajenga nyumba na kilimo hapo ndani na vijukuu viwili na wife unakufa taratibuu
 
Kama umeniona siku hiz pozi langu ni kaunta tu, mbaya zaidi zaidi hata wale niliosoma nao wote urafiki uliisha..
Sina marafiki wapya na mtu hawez kunizoea kirahisi.. Ila ndo hivyo tunaishi humo humo.
Tena tunaishi kibabe sana, mimi nnae mmoja tu huyu naweza sema ndo lifetime friend, mwingine nadhani urafiki ulishakufa

Kazini sina rafiki ila jamaa ninaofanya nao kazi ofisi moja huwa tunataniana japo ilichukua muda kuzoeana nao, ila sio marafiki zangu sasa

Nyumba ninayoishi tupo wapangaji kama saba hivi, nimeishi nao mwaka mmoja ila sijazoeana nao japo wao wanajitahidi kunizoea

Sa hv narudi home nikifika najifungia zangu gheto nawasha TV sina habari na mtu
 
Hahahah! mfano mimi ni mpole halafu sio muongeaji huwa najaribu sana kujilazimisha niwe muongeaji lakini wapi imeshindikana. Nimeamua tu nikubari yaishe ingawa muda mwingine hii hali huwa inanitesa, nyumba niliyopanga nimezoena na watu wawili tu tena na wenyewe ni watu ambao tupo wote kozi moja.
Hii hali inanitesa sana tena sana kwenye nyumba tumepanga 9 ila sina namba ya hata 1 na nina mwaka mimi nilikua na marafiki 2 mmoja akanisaliti moja bado yupo tena mbali marafiki wangu ni sim na redio tv nilirudisha kwenye box maana niliona haina kazi kwangu yani mtu mwenye uwezo wa kituelewa watu kama sisi ni wachache sana. Duh natamani nikacheze bao lakini najikuta hata kuchangia siwez nikienda kwenye mpira nakua bubu nikienda sehemu kupata kinywaji nikikuta pana watu wengi hamna sehemu yakukaa peke yangu naondoka atakama nitapewa ofa nitaikataa kisiasa napenda kua peke yangu yani mm nizaidi na zaidi
 
Wapunguze kupiga puli, huo upuuzi wa u-introverts utaisha haraka.
Umefeli mkuu, mademu zetu huwa ni pisi kali, tena wanatuamini vibaya,
Mimi wangu akija gheto mtaa mzima wanamshangaa, mpakq kazini jamaa wananionea wivu, maana siku yangu ya kuzaliwa alininunulia keki na kleti ya soda kisha akawaambia jamaa zangu kwamba ni siku yangu ya kuzaliwa mi mwenyewe nilishapotezea ila ye akaliamsha
 
Nadhani pia introverts wengi tunaroho nyepesi as ni rahisi kuumizwa, so kuavoid maumivu ya kila siku unaamua kujiweka pembeni

Pia hatupendi drama
emoji1787.png


Ila ukibahatika kupata introvert friend ni kama umeokota dodo
emoji3.png
emoji38.png
tuko peace na very social katika small limited circle
emoji817.png


Haya introverts tujuane tuanze kubond tuache kukaa counter wenyewe
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Tunapenda haki,yani mtu akifanya kitu kinyume tu akili inahama,shida yetu mtu akikutibua huwezi kumwambia direct lazima umtafakari sana,na mwisho wa siku ukiamua kumpa makavu lazima aombe misamaha mara mbili mbili kwakuwa wengi hawaamini kuwa tunaongea...
 
Tunapenda haki,yani mtu akifanya kitu kinyume tu akili inahama,shida yetu mtu akikutibua huwezi kumwambia direct lazima umtafakari sana,na mwisho wa siku ukiamua kumpa makavu lazima aombe misamaha mara mbili mbili kwakuwa wengi hawaamini kuwa tunaongea...
Pia sehemu kama JamiiForums ndo pekee tunapocomment sana, ukutane na sisi uso kwa uso sasa, sijui hata utaanzia wapi kutuongelesha

Binafsi naona changamoto kubwa ni kuonekana una kiburi au unaringa
 
Back
Top Bottom