Tajiri wa matajiri
Senior Member
- Apr 17, 2024
- 166
- 649
Lakini nimestaajabu sana aisee eti watu wanafunga ndoa Kesho na hapo wamekaa bila kufunga ndoa na wamezaa watoto zaidi ya 4 sasa hlyo imenistaajabisha sana aisee kwahiyo kipindi hicho walikuwa wanazini.
Na huyo mtu hakufunga ndoa na alikuwa muhubiri au katekista wa kanisa Fulani sasa hao watu waliokuwa anawasalisha ibada yao ilikuwa inakubaliwa? Ok any way ngoja
Na huyo mtu hakufunga ndoa na alikuwa muhubiri au katekista wa kanisa Fulani sasa hao watu waliokuwa anawasalisha ibada yao ilikuwa inakubaliwa? Ok any way ngoja