Tajiri wa matajiri
Senior Member
- Apr 17, 2024
- 166
- 649
Ni wapi palipoandikwa kwenye biblia kuwa kiongozi wa dini anatakiwa kufungisha ndoa? Weka kifungu halafu nikujulishe kuwa kazi ya kiongozi wa dini ya kikristo ni kubariki tu. Kwa waislam sijui hili lipojeLakini nimestaajabu sana aisee eti watu wanafunga ndoa Kesho na hapo wamekaa bila kufunga ndoa na wamezaa watoto zaidi ya 4 sasa hlyo imenistaajabisha sana aisee kwahiyo kipindi hicho walikuwa wanazini.
Na huyo mtu hakufunga ndoa na alikuwa muhubiri au katekista wa kanisa Fulani sasa hao watu waliokuwa anawasalisha ibada yao ilikuwa inakubaliwa? Ok any way ngoja
Ni wapi palipoandikwa kwenye biblia kuwa kiongozi wa dini anatakiwa kufungisha ndoa? Weka kifungu halafu nikujulishe kuwa kazi ya kiongozi wa dini ya kikristo ni kubariki tu. Kwa waislam sijui hili lipoje
Kwa hiyo wewe kwa akili yako kitu kikiwa tofauti na cha kwako kinakuwa cha ovyo. Kuwa basi kidogoDini yenu ya hovyo sana
Jah People alifunga ndoa akiwa ameishi na mkewe miaka mingapiLakini nimestaajabu sana aisee eti watu wanafunga ndoa Kesho na hapo wamekaa bila kufunga ndoa na wamezaa watoto zaidi ya 4 sasa hlyo imenistaajabisha sana aisee kwahiyo kipindi hicho walikuwa wanazini.
Na huyo mtu hakufunga ndoa na alikuwa muhubiri au katekista wa kanisa Fulani sasa hao watu waliokuwa anawasalisha ibada yao ilikuwa inakubaliwa? Ok any way ngoja