Watu wanaamini kuna Mungu na shetani kwa sababu kuamini ni rahisi kuliko kufikiri

Watu wanaamini kuna Mungu na shetani kwa sababu kuamini ni rahisi kuliko kufikiri

Huwa naona kama kutokuamini Mungu kuna husishwa moja kwa moja na kuwa na akili sana,
Hapana Akili kila mtu anazo.
hivi kwa nini inakuwa hivyo japo kwenye maisha ya kawaida hakuna huo utofauti kuonyesha kuwa wasioamini Mungu ndio wenye akili kuliko wenye kuamini Mungu?
Dhana ya uwepo Mungu mwema, mwenye huruma na upendo kwenye dunia iliyo jaa uovu, ukatili, mabaya na uasi Huitaji akili nyingi kujua kwamba Mungu huyo mwema, mwenye upendo na huruma Hayupo.

Hata kwa mtoto mdogo tu ata tambua kwamba Mungu huyo hayupo.

Otherwise Mungu huyo ni Muovu na mkatili sana.
 
Hapana Akili kila mtu anazo.

Dhana ya uwepo Mungu mwema, mwenye huruma na upendo kwenye dunia iliyo jaa uovu, ukatili, mabaya na uasi Huitaji akili nyingi kujua kwamba Mungu huyo mwema, mwenye upendo na huruma Hayupo.

Hata kwa mtoto mdogo tu ata tambua kwamba Mungu huyo hayupo.

Otherwise Mungu huyo ni Muovu na mkatili sana.
Ndio nilichokisema kwamba kutokuamini Mungu kuna husishwa na kuwa na akili sana na kinyume chake wanaoamini Mungu huhusishwa na kutokuwa na akili sawa sawa, na ndio maana unasema hata mtoto mdogo anajua hakuna Mungu.
 
Si kwamba unapinga mambo yenye kuhusishwa na Mungu kisha ndio hutumia kuhitimishia hakuna Mungu?
Sio mambo tu hata sifa za huyo Mungu ni uthibitisho tosha kwamba Mungu huyo Hayupo.

Watu wanadai Mungu ni mkamilifu, Sasa Mungu Mkamilifu Aliumbaje Dunia yenye uovu na binadamu wenye uwezo wa kutenda uovu?

Mungu ni muweza wa vyote, Sasa Mungu muweza wa vyote Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasio na uwezo wa kutenda dhambi, watakao mtii na kumwamini siku zote?

Mungu ni mwenye kujua yote, Sasa Mungu mjuzi wa vyote, Hakujua kwamba shetani, uovu, dhambi, ukatili,uasi na mabaya yatakuja kuwepo duniani ayadhibiti na kuyazuia mapema yasitokee?

Yani hapa Huitaji akili nyingi kujua kwamba Mungu huyo mwenye sifa tajwa hapo juu HAYUPO.
 
Katika hii dunia tumekuwa tukishuhudia waliyokuwa wakiamini Mungu kubadilika na kuwa wakana uwepo wa Mungu na tumeshuhudia waliyokuwa wakana uwepo wa Mungu kubadilika na kuwa waamini Mungu, jambo hili linatafakarisha sana.
 
Ndio nilichokisema kwamba kutokuamini Mungu kuna husishwa na kuwa na akili sana na kinyume chake wanaoamini Mungu huhusishwa na kutokuwa na akili sawa sawa, na ndio maana unasema hata mtoto mdogo anajua hakuna Mungu.
Ndio ni kweli kabisa.
 
Sio mambo tu hata sifa za huyo Mungu ni uthibitisho tosha kwamba Mungu huyo Hayupo.

Watu wanadai Mungu ni mkamilifu, Sasa Mungu Mkamilifu Aliumbaje Dunia yenye uovu na binadamu wenye uwezo wa kutenda uovu?

Mungu ni muweza wa vyote, Sasa Mungu muweza wa vyote Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasio na uwezo wa kutenda dhambi, watakao mtii na kumwamini siku zote?

Mungu ni mwenye kujua yote, Sasa Mungu mjuzi wa vyote, Hakujua kwamba shetani, uovu, dhambi, ukatili,uasi na mabaya yatakuja kuwepo duniani ayadhibiti na kuyazuia mapema yasitokee?

Yani hapa Huitaji akili nyingi kujua kwamba Mungu huyo mwenye sifa tajwa hapo juu HAYUPO.
Hapo unachanganya kutokuwepo Mungu na kupinga mambo yenye kuhusishwa na Mungu, hata wenye kuamini uwepo wa Mungu pia hutofautiana baadhi ya mambo yenye kuhusishwa na Mungu ila kwa pamoja hukubali uwepo wa Mungu.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya uwezo wa kufikiri na uwezo wa kukariri.

Ubongo usiokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri unapenda majibu mepesi.

Mfano unaweza kumwambia mtu mwenye akili ya kutosha kuwa, kuiba sio vizuri kwa sababu kuna matokeo mabaya kama kufungwa, kupigwa n.k na akakuelewa,

Ila mjinga ni lazima umuogopeshe kuwa kuiba ni dhambi, hivyo hataiba kwa kuhofia anatenda dhambi.

Hivyo ni rahisi sana kumuaminisha mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiri kuwa kuna nguvu isiyoonekana na akaamini.

Sababu nyinginezo ni kama
  • Kurithishwa utamaduni, pale mtoto anapozaliwa analazimishwa aamini imani ya wazazi kwa kubatizwa n.k
  • Woga, watu wengi wanaogopa kutokana na vitisho mbalimbali mfano kutengwa kwenye jamii zao
  • Kifo, wengi hawakubaliani na ukweli kwamba ni lazima kiumbe hai afe, hivyo wanatamani wapate maisha mengine baada ya kifo.
  • Majibu ya kisayansi hayafariji kama ya kidini n.k.
Umegonga msumari kwenye kichwa. Jinsi watu wanavyozidi kutumia akili kufikiri itabidi dunia ishikiliwe kimaadili na ubinadamu.
 
Katika hii dunia tumekuwa tukishuhudia waliyokuwa wakiamini Mungu kubadilika na kuwa wakana uwepo wa Mungu na tumeshuhudia waliyokuwa wakana uwepo wa Mungu kubadilika na kuwa waamini Mungu, jambo hili linatafakarisha sana.
Kubadilika huku kwa watu bado haku thibitishi na kuonesha Mungu huyo yupo.

Swali ni je, Mungu huyo Alishindwaje kuumba binadamu watakao mtambua yeye yupo kwa wakati wote?

Kama lengo la huyo Mungu ni kutambuliwa yupo, Alishindwaje kuumba Binadamu watakao mtambua yeye yupo siku zote?

Kwa nini binadamu wengine hatumtambui Mungu huyo kama yupo?

Je Mungu huyo hakujua kwamba sisi Atheists tutakuja kumtambua yeye hayupo atudhibiti mapema na kutufanya tumtambue yupo?

Mungu huyo akisha tambuliwa yupo inamsaidia nini?

Kwani Mungu huyo hajitambui yupo mpaka sisi binadamu tumtambue yupo ndio ajue kwamba yupo?
 
Kuna tofauti kubwa kati ya uwezo wa kufikiri na uwezo wa kukariri.

Ubongo usiokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri unapenda majibu mepesi.

Mfano unaweza kumwambia mtu mwenye akili ya kutosha kuwa, kuiba sio vizuri kwa sababu kuna matokeo mabaya kama kufungwa, kupigwa n.k na akakuelewa,

Ila mjinga ni lazima umuogopeshe kuwa kuiba ni dhambi, hivyo hataiba kwa kuhofia anatenda dhambi.

Hivyo ni rahisi sana kumuaminisha mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiri kuwa kuna nguvu isiyoonekana na akaamini.

Sababu nyinginezo ni kama
  • Kurithishwa utamaduni, pale mtoto anapozaliwa analazimishwa aamini imani ya wazazi kwa kubatizwa n.k
  • Woga, watu wengi wanaogopa kutokana na vitisho mbalimbali mfano kutengwa kwenye jamii zao
  • Kifo, wengi hawakubaliani na ukweli kwamba ni lazima kiumbe hai afe, hivyo wanatamani wapate maisha mengine baada ya kifo.
  • Majibu ya kisayansi hayafariji kama ya kidini n.k.
Sawa.

Wewe huamini kama mungu yupo, mimi naamini, je, una uhakika umenizidi akili?? Una uhakika umenizidi uwezo wa kufikiria??

Kwa ulichoandika hata Isaac Newton(aliyekuwa anasoma sana bible) hana akili na ana uwezo mdogo wa kufikiria sio??
 
Kwamba katika huu ulimwengu wenye kuamini Mungu hawana akili sawa sawa ukilinganisha na wenye kusema hakuna Mungu?
Nimekwambia tangu mwanzo kwamba, Akili kila mtu anazo.

Hakuna uhusiano wowote wa kuwa na akili na kutoamini Mungu, Au kutokuwa na akili na kumwamini Mungu.

Imani ni maamuzi ya mtu. Na hukatazwi kuwa na imani.

Ila ukisema imani yako ina ukweli lazima uthibitishe hilo.

Hivyo hata kusema una imani ya Mungu ni uhuru wako kusema hivyo.

Ila ukidai kwamba imani yako ya Mungu ndio yenye ukweli lazima uthibitishe hilo.

Na ueleze Mungu huyo ni nini?

Na unathibitisha vipi Mungu huyo yupo?

Na si imani na mawazo yako ya kufikirika tu.
 
Kubadilika huku kwa watu bado haku thibitishi na kuonesha Mungu huyo yupo.

Swali ni je, Mungu huyo Alishindwaje kuumba binadamu watakao mtambua yeye yupo kwa wakati wote?

Kama lengo la huyo Mungu ni kutambuliwa yupo, Alishindwaje kuumba Binadamu watakao mtambua yeye yupo siku zote?

Kwa nini binadamu wengine hatumtambui Mungu huyo kama yupo?

Je Mungu huyo hakujua kwamba sisi Atheists tutakuja kumtambua yeye hayupo atudhibiti mapema na kutufanya tumtambue yupo?

Mungu huyo akisha tambuliwa yupo inamsaidia nini?

Kwani Mungu huyo hajitambui yupo mpaka sisi binadamu tumtambue yupo ndio ajue kwamba yupo?
Hayo maswali yako hata ukipewa majibu yake hayathibitishi kuwa Mungu yupo na pia usipopewa majibu yaje pia haithibitishi kuwa hakuwa hakuna Mungu pia.

Kama unadhani hayo uliyoyauliza ni yanahusiana na kutokuwepo kwa Mungu basi tusingeona waliyokuwa wapingaji uwepo wa Mungu kubadilika na kuwa waamini Mungu ilihali bado hawajajibiwa hayo maswali, na ndio maana nasema hilo suala la watu kubadilika kuwa wakana Mungu na wengine kubadilika na kuwa waamini Mungu linatafakarisha.
 
Hapo unachanganya kutokuwepo Mungu na kupinga mambo yenye kuhusishwa na Mungu, hata wenye kuamini uwepo wa Mungu pia hutofautiana baadhi ya mambo yenye kuhusishwa na Mungu ila kwa pamoja hukubali uwepo wa Mungu.
Sifa za Mungu unazijua?

Au huzijui?
 
Hayo maswali yako hata ukipewa majibu yake hayathibitishi kuwa Mungu yupo na pia usipopewa majibu yaje pia haithibitishi kuwa hakuwa hakuna Mungu pia.
Mungu ni nini?
Kama unadhani hayo uliyoyauliza ni yanahusiana na kutokuwepo kwa Mungu basi tusingeona waliyokuwa wapingaji uwepo wa Mungu kubadilika na kuwa waamini Mungu ilihali bado hawajajibiwa hayo maswali, na ndio maana nasema hilo suala la watu kubadilika kuwa wakana Mungu na wengine kubadilika na kuwa waamini Mungu linatafakarisha.
Kwa uelewa wako Mungu ni nini?
 
Nimekwambia tangu mwanzo kwamba, Akili kila mtu anazo.

Hakuna uhusiano wowote wa kuwa na akili na kutoamini Mungu, Au kutokuwa na akili na kumwamini Mungu.

Imani ni maamuzi ya mtu. Na hukatazwi kuwa na imani.

Ila ukisema imani yako ina ukweli lazima uthibitishe hilo.

Hivyo hata kusema una imani ya Mungu ni uhuru wako kusema hivyo.

Ila ukidai kwamba imani yako ya Mungu ndio yenye ukweli lazima uthibitishe hilo.

Na ueleze Mungu huyo ni nini?

Na unathibitisha vipi Mungu huyo yupo?

Na si imani na mawazo yako ya kufikirika tu.
Sio wewe mkuu uliyesema kuamini aina ya huyo Mungu hata mtoto mdogo hawezi kukubali kwamba haihitaji akili kubwa kujua kuwa hakuna huyo Mungu? Mimi nilielewa kuwa kuamini huyo Mungu ni ukosefu wa akili iliyo sawa sawa kwa maana watu ambao hawana akili sawa sawa ndio wanaamini Mungu.
 
Back
Top Bottom