Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Akili kila mtu anazo.Sawa.
Wewe huamini kama mungu yupo, mimi naamini, je, una uhakika umenizidi akili?? Una uhakika umenizidi uwezo wa kufikiria??
Hakuna uhusiano wowote ule wa kuamini Mungu na kuwa na akili na kutokuwa na akili, Au kutomwamini Mungu na kutokuwa na akili na kuwa na akili.
Kwa ulichoandika hata Isaac Newton(aliyekuwa anasoma sana bible) hana akili na ana uwezo mdogo wa kufikiria sio??