Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Akili kila mtu anazo.Sawa.
Wewe huamini kama mungu yupo, mimi naamini, je, una uhakika umenizidi akili?? Una uhakika umenizidi uwezo wa kufikiria??
Kwa ulichoandika hata Isaac Newton(aliyekuwa anasoma sana bible) hana akili na ana uwezo mdogo wa kufikiria sio??
Akili wanazo.Sio wewe mkuu uliyesema kuamini aina ya huyo Mungu hata mtoto mdogo hawezi kukubali kwamba haihitaji akili kubwa kujua kuwa hakuna huyo Mungu? Mimi nilielewa kuwa kuamini huyo Mungu ni ukosefu wa akili iliyo sawa sawa kwa maana watu ambao hawana akili sawa sawa ndio wanaamini Mungu.
Kuna watu wanaamini uwepo wa Mungu ila hawaamini katika dini hivyo hutofautiana kwenye hayo masuala ya sifa za Mungu na watu wenye kuamini katika dini, na hata humu utaona wenye kuamini Mungu pasina kuamini katika dini huwa hawana shida sana na hoja za atheists humu kwa sababu sehemu kubwa ya hoja za atheists humu zinagusa zaidi masuala la dini kuliko msingi wa imani ya kuwepo Mungu.Sifa za Mungu unazijua?
Au huzijui?
Mungu huyo ni nini?Kuna watu wanaamini uwepo wa Mungu ila hawaamini katika dini hivyo hutofautiana kwenye hayo masuala ya sifa za Mungu na watu wenye kuamini katika dini, na hata humu utaona wenye kuamini Mungu pasina kuamini katika dini huwa hawana shida sana na hoja za atheists humu kwa sababu sehemu kubwa ya hoja za atheists humu zinagusa zaidi masuala la dini kuliko msingi wa imani ya kuwepo Mungu.
Je, unataka kujadili uwepo/kutokuwepo kwa Mungu au sifa Mungu?
Kujadili uelewa wangu binafsi kuhusu Mungu sidhani kama ina msaada kwenye huu mjadala.Mungu ni nini?
Kwa uelewa wako Mungu ni nini?
That's very true, ndo umwambie huyo mwenzako, uwezo wa akili hauhusiani na kuamini au kutoamini.Akili kila mtu anazo.
Hakuna uhusiano wowote ule wa kuamini Mungu na kuwa na akili na kutokuwa na akili, Au kutomwamini Mungu na kutokuwa na akili na kuwa na akili.
Mungu huyo ni nini au Mungu ni nini?Mungu huyo ni nini?
Tuanze kwanza hapa.
Kwahiyo wewe ndio unajiona unauwezo wa kufikiri wakati ndio kiraza namba MojaKuna tofauti kubwa kati ya uwezo wa kufikiri na uwezo wa kukariri.
Ubongo usiokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri unapenda majibu mepesi.
Mfano unaweza kumwambia mtu mwenye akili ya kutosha kuwa, kuiba sio vizuri kwa sababu kuna matokeo mabaya kama kufungwa, kupigwa n.k na akakuelewa,
Ila mjinga ni lazima umuogopeshe kuwa kuiba ni dhambi, hivyo hataiba kwa kuhofia anatenda dhambi.
Hivyo ni rahisi sana kumuaminisha mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiri kuwa kuna nguvu isiyoonekana na akaamini.
Sababu nyinginezo ni kama
- Kurithishwa utamaduni, pale mtoto anapozaliwa analazimishwa aamini imani ya wazazi kwa kubatizwa n.k
- Woga, watu wengi wanaogopa kutokana na vitisho mbalimbali mfano kutengwa kwenye jamii zao
- Kifo, wengi hawakubaliani na ukweli kwamba ni lazima kiumbe hai afe, hivyo wanatamani wapate maisha mengine baada ya kifo.
- Majibu ya kisayansi hayafariji kama ya kidini n.k.
Kumbuka niliuliza swali kwa nini kupinga uwepo wa Mungu kunahusishwa na kuwa na akili sana na kuamini Mungu kunahusishwa na kutokuwa na akili sawa sawa? Na hata wewe kuna sehemu umesema kuwa hata mtoto mdogo anatambua kuwa Mungu huyo hayupo, maana yake wenye kuamini Mungu wana upungu wa akili ndogo hata kiwango cha mtoto.Akili wanazo.
Ila akili yao wame ijengea imani ya kufikirika tu kwamba kuna invisible creature beyond the sky anaitwa Mungu.
Sasa imani hiyo iliyopo akilini mwao sio sawa.
Na huyo Allah wenu aliji plan mwenyewe tu?Kwahiyo wewe ndio unajiona unauwezo wa kufikiri wakati ndio kiraza namba Moja
Umeka katika aridhi ambayo inazunguka na kutembea Kwa Kasi lakini wewe ahuhisi chochote Wala ukishika maji katika glasi hayamwagiki kwakuwa wewe kilaza unahisi hivi vitu vimejiplani vyenyewe tu
Na katika uchunguzi wangu wengingi wenu mnapinga uwepo wa Mungu ni vijana ambao mmelelewa katika familia za Kikristo
Kwa sababu mlipokuwa wadigo mlionyeshwa kisanamu Kina mtu amevaa kitaulo ametundikwa msalabani alafu mkaambiwa huyu ndio Mungu wenu
Sasa mnapikuwa wakubwa mnagundua kuwa hapo mmedanganywa mnachanganyikiwa na kusema hakuna Mungu wazungu wajanja sana lengo lao limetimia
Lakini mtoto aliyelelewa katika uislam hata akiwa mkubwa hauwezi kumdanganya kitu kuhusu Mungu na ukimwambia hakuna Mungu ndio kabisa anakuona kilaza wa vilaza
Mungu ni nini?Mungu huyo ni nini au Mungu ni nini?
Kuna kipimo cha kupima akili?Kumbuka niliuliza swali kwa nini kupinga uwepo wa Mungu kunahusishwa na kuwa na akili sana na kuamini Mungu kunahusishwa na kutokuwa na akili sawa sawa? Na hata wewe kuna sehemu umesema kuwa hata mtoto mdogo anatambua kuwa Mungu huyo hayupo, maana yake wenye kuamini Mungu wana upungu wa akili ndogo hata kiwango cha mtoto.
Sasa kwa nini unasema huyo Mungu hausishwi na sifa zake?Kujadili uelewa wangu binafsi kuhusu Mungu sidhani kama ina msaada kwenye huu mjadala.
Kwahiyo mkuu ulitoa mfano wa kwamba hata mtoto mdogo hawezi kukubali huyo Mungu ulikusudia nini?Kuna kipimo cha kupima akili?
Uwingi na udogo wa akili unapimika vipi?
Nimeeleza huko juu kuwa watu wa dini hutofautiana baadhi ya mambo kuhusu Mungu ikiwemo hizo sifa za Mungu ila wote kwa pamoja wanaamini uwepo wa Mungu na wengine hawaamini kabisa maelezo ya dini kuhusu Mungu ila wanaamini Mungu, sasa wewe ukija hapa ukaanza kuchambua hizo sifa za Mungu na ukaonyesha makosa inakuwa haujafanya kitu cha tofauti na wenye kuamini Mungu. Ndio maana nasema kuna uwepo wa Mungu na mambo yenye kuhusishwa na huyo Mungu.Sasa kwa nini unasema huyo Mungu hausishwi na sifa zake?
Weka hapa mtazamo wako na uelewa wako wa Mungu bila kuhusisha sifa zake.
Neno Mungu hutumika kwa anayeaminika kuwa ni muumbaji wa huu ulimwengu, na pia mungu hutumika kwa chochote chenye kuabudiwa na binaadamu.Mungu ni nini?
Mungu Anaaminika tu yupo,lakini si kwamba anathibitishika yupo.Neno Mungu hutumika kwa anayeaminika kuwa ni muumbaji wa huu ulimwengu, na pia mungu hutumika kwa chochote chenye kuabudiwa na binaadamu.
Mkuu dini zote zina sifa zilizo sawa kumhusu Mungu.Nimeeleza huko juu kuwa watu wa dini hutofautiana baadhi ya mambo kuhusu Mungu ikiwemo hizo sifa za Mungu ila wote kwa pamoja wanaamini uwepo wa Mungu na wengine hawaamini kabisa maelezo ya dini kuhusu Mungu ila wanaamini Mungu, sasa wewe ukija hapa ukaanza kuchambua hizo sifa za Mungu na ukaonyesha makosa inakuwa haujafanya kitu cha tofauti na wenye kuamini Mungu. Ndio maana nasema kuna uwepo wa Mungu na mambo yenye kuhusishwa na huyo Mungu.
Yani kwamba hata mtoto mdogo anaye teseka na shida za dunia ukimwambia kwamba Mungu ni mwema na mwenye Upendo na huruma atabaki na maswali mengi yasiyo na majibu.Kwahiyo mkuu ulitoa mfano wa kwamba hata mtoto mdogo hawezi kukubali huyo Mungu ulikusudia nini?