Kweli kabisa. Kwani mwenye njaa anawaza nini zaidi kupata chakula. Je maeneo yanayopata ukame Huwa wanakwenda kuombewa kupata chakula au kutafuta chakula.Mwanadamu vitu aviwazavyo akishakuwa na uhakika wa kula...
Kwa hiyo Mungu huyo alipanga nije kutomwamini?Mipango ya Mungu ni bora kuliko fikra zako
Kwani ni wapi ambako inaaminiki Mungu ndio yupo huko?Mungu Anaaminika tu yupo,lakini si kwamba anathibitishika yupo.
Hivyo Mungu huyo hayupo katika uhalisia ila katika dhana ya kufikirika tu.
Labda hujaelewa point yangu. Sasa hapo na wasio na dini ila wanaamini Mungu nao unawaweka nafasi gani?Mkuu dini zote zina sifa zilizo sawa kumhusu Mungu.
Dini zote zina amini kwamba Mungu ni muumbaji, mkuu na ni mkamilifu.
Dini zote zina amini kwamba Mungu ni muweza wa yote.
Dini zote zina amini kwamba Mungu ni mwenye kujua yote.
Sasa kama kuna dini inayo amini Mungu mwenye sifa tofauti na hizi hebu nitajie.
Atabaki na maswali kuhusu sifa za Mungu au uwepo wa Mungu?Yani kwamba hata mtoto mdogo anaye teseka na shida za dunia ukimwambia kwamba Mungu ni mwema na mwenye Upendo na huruma atabaki na maswali mengi yasiyo na majibu.
Watu hao bado wana amini kwenye sifa zile zile za Mungu mkuu muumbaji wa vyote.Labda hujaelewa point yangu. Sasa hapo na wasio na dini ila wanaamini Mungu nao unawaweka nafasi gani?
Mbinguni.Kwani ni wapi ambako inaaminiki Mungu ndio yupo huko?
Israel huko mamia ya watu wanakufa eti kisa wanampigania Mungu wao, it doesn't make senseVipi watoto wadogo wanaokufa kwa baa la njaa maeneo mbalimbali duniani lakini Mungu huyo hajawahi kuwapa msaada wowote ule?
Watoto wadogo tu hawana uhakika wa kula na huyo Mungu hana msaada wowote kwao, wengi wamekufa, wanakufa na wanaendelea kufa.
Fuatilia vifo vya watoto wadogo wanaokufa kwa njaa nchi za Ethiopia, Somalia, Afghanistan, Kaskazini kwa kenya n.k
Sasa kama Mungu huyo Kashindwa tu kuwapa uhakika wa kula watoto wadogo kama hawa, Sembuse mimi mtu mzima?
Mungu huyo hana msaada wowote ule kwenye uhakika wa kula kwa wanadamu.
Mungu huyo hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Kufikiri tofauti kunahitaji utulivu wa akili.Huwa naona kama kutokuamini Mungu kuna husishwa moja kwa moja na kuwa na akili sana, hivi kwa nini inakuwa hivyo japo kwenye maisha ya kawaida hakuna huo utofauti kuonyesha kuwa wasioamini Mungu ndio wenye akili kuliko wenye kuamini Mungu?
Siwezi kusema unanizidi au nakuzidi ila naweza sema hujapenda kufikiri tofauti, kuna tofauti kati ya kufikiri sana na kufikiri tofauti.Sawa.
Wewe huamini kama mungu yupo, mimi naamini, je, una uhakika umenizidi akili?? Una uhakika umenizidi uwezo wa kufikiria??
Kwa ulichoandika hata Isaac Newton(aliyekuwa anasoma sana bible) hana akili na ana uwezo mdogo wa kufikiria sio??
Galileo Galilei aliuawa na wakatoliki sababu alisema ukweli kuwa dunia inazinguka jua, alifikiri tofautiKwahiyo wewe ndio unajiona unauwezo wa kufikiri wakati ndio kiraza namba Moja
Umeka katika aridhi ambayo inazunguka na kutembea Kwa Kasi lakini wewe ahuhisi chochote Wala ukishika maji katika glasi hayamwagiki kwakuwa wewe kilaza unahisi hivi vitu vimejiplani vyenyewe tu
Na katika uchunguzi wangu nimegundua wengi wenu mnaopinga uwepo wa Mungu ni vijana ambao mmelelewa katika familia za Kikristo
Kwa sababu mlipokuwa wadogo mlionyeshwa kisanamu Kina mtu amevaa kitaulo ametundikwa msalabani alafu mkaambiwa huyu ndio Mungu wenu
Sasa mnapokuwa wakubwa mnagundua kuwa hapo mmedanganywa mnachanganyikiwa na kusema hakuna Mungu wazungu wajanja sana lengo lao limetimia
Lakini mtoto aliyelelewa katika uislam hata akiwa mkubwa hauwezi kumdanganya kitu kuhusu Mungu na ukimwambia hakuna Mungu ndio kabisa anakuona kilaza wa vilaza
Mzee usikariri, eti kufikiria tofauti, kivipi??unafikiriaje tofauti?? Unadhani kila mtu anayeamini katika mungu ni mwoga wa moto?? Au ana hofu ya neno liitwalo "dhambi"?? some of us tushawahi kuwa atheists na bado tukarudi kuamini katika mungu, USIKARIRI MZEE.Siwezi kusema unanizidi au nakuzidi ila naweza sema hujapenda kufikiri tofauti, kuna tofauti kati ya kufikiri sana na kufikiri tofauti.
Unawezs kuthibitisha ulimwengu wa kiroho kama upo?Mungu ana akili sana.
Ulimwengu wa Roho hauwezi kuuingia kwa kutumia mbinu za kimwili. Imani (ambayo huonekana ujinga kwa waliojaa 'hekima, uwezo wa kufikiri) ndio kianzio. Ukijishusha, ukasema 'Naamini', ndio unaanza kuona hadi maono wazi wazi.
Rejea andiko hili:
”bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu;“
1 Kor 1:27 SUV
1 Kor 1:27 bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV) | Download The Bible App Now
bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvubible.com
Si kweli kabisa, nasema sio kweli.. Huu ni uongo mkubwa.Mipango ya Mungu ni bora kuliko fikra zako
GEITA:Kuna tofauti kubwa kati ya uwezo wa kufikiri na uwezo wa kukariri.
Ubongo usiokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri unapenda majibu mepesi.
Mfano unaweza kumwambia mtu mwenye akili ya kutosha kuwa, kuiba sio vizuri kwa sababu kuna matokeo mabaya kama kufungwa, kupigwa n.k na akakuelewa,
Ila mjinga ni lazima umuogopeshe kuwa kuiba ni dhambi, hivyo hataiba kwa kuhofia anatenda dhambi.
Hivyo ni rahisi sana kumuaminisha mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiri kuwa kuna nguvu isiyoonekana na akaamini.
Sababu nyinginezo ni kama
- Kurithishwa utamaduni, pale mtoto anapozaliwa analazimishwa aamini imani ya wazazi kwa kubatizwa n.k
- Woga, watu wengi wanaogopa kutokana na vitisho mbalimbali mfano kutengwa kwenye jamii zao
- Kifo, wengi hawakubaliani na ukweli kwamba ni lazima kiumbe hai afe, hivyo wanatamani wapate maisha mengine baada ya kifo.
- Majibu ya kisayansi hayafariji kama ya kidini n.k.
Ukweli ni ukweli tuu haijalishi unauma au laMzee usikariri, eti kufikiria tofauti, kivipi??unafikiriaje tofauti?? Unadhani kila mtu anayeamini katika mungu ni mwoga wa moto?? Au ana hofu ya neno liitwalo "dhambi"?? some of us tushawahi kuwa atheists na bado tukarudi kuamini katika mungu, USIKARIRI MZEE.
Vinamsaidia nini sasa hivyo vitu?Mungu ana akili sana.
Ulimwengu wa Roho hauwezi kuuingia kwa kutumia mbinu za kimwili. Imani (ambayo huonekana ujinga kwa waliojaa 'hekima, uwezo wa kufikiri) ndio kianzio. Ukijishusha, ukasema 'Naamini', ndio unaanza kuona hadi maono wazi wazi.
Rejea andiko hili:
”bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu;“
1 Kor 1:27 SUV
1 Kor 1:27 bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV) | Download The Bible App Now
bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvubible.com
😅 😅 😅 sawaUkweli ni ukweli tuu haijalishi unauma au la