Watu wanaamini kuna Mungu na shetani kwa sababu kuamini ni rahisi kuliko kufikiri

Hoja nyepesi mno hazina hata mashiko wala ushawishi.
Kuna watu humu wakiandika hoja zao kuhusu kutokuwepo kwa Mungu usipojiangalia utajikuta umeelekea kibla ila kwa vihoja hivi vyako vyepesi namna hii kajipange upya pengine ukawa na ujinga mwingi kichuani kuliko uerevu unaojifikiria.
 
Labda hujaelewa point yangu. Sasa hapo na wasio na dini ila wanaamini Mungu nao unawaweka nafasi gani?
 
Israel huko mamia ya watu wanakufa eti kisa wanampigania Mungu wao, it doesn't make sense
 
Huwa naona kama kutokuamini Mungu kuna husishwa moja kwa moja na kuwa na akili sana, hivi kwa nini inakuwa hivyo japo kwenye maisha ya kawaida hakuna huo utofauti kuonyesha kuwa wasioamini Mungu ndio wenye akili kuliko wenye kuamini Mungu?
Kufikiri tofauti kunahitaji utulivu wa akili.
 
Sawa.

Wewe huamini kama mungu yupo, mimi naamini, je, una uhakika umenizidi akili?? Una uhakika umenizidi uwezo wa kufikiria??

Kwa ulichoandika hata Isaac Newton(aliyekuwa anasoma sana bible) hana akili na ana uwezo mdogo wa kufikiria sio??
Siwezi kusema unanizidi au nakuzidi ila naweza sema hujapenda kufikiri tofauti, kuna tofauti kati ya kufikiri sana na kufikiri tofauti.
 
Galileo Galilei aliuawa na wakatoliki sababu alisema ukweli kuwa dunia inazinguka jua, alifikiri tofauti
Wanachoamini wengi haimaanishi kuwa ndio sahihi
 
Siwezi kusema unanizidi au nakuzidi ila naweza sema hujapenda kufikiri tofauti, kuna tofauti kati ya kufikiri sana na kufikiri tofauti.
Mzee usikariri, eti kufikiria tofauti, kivipi??unafikiriaje tofauti?? Unadhani kila mtu anayeamini katika mungu ni mwoga wa moto?? Au ana hofu ya neno liitwalo "dhambi"?? some of us tushawahi kuwa atheists na bado tukarudi kuamini katika mungu, USIKARIRI MZEE.
 
Unawezs kuthibitisha ulimwengu wa kiroho kama upo?
 
GEITA:
Mwanamke aliyefariki mwaka 2020 'KWA KUGONGWA NA GARI' (Na kufia pale pale), amepatikana mwaka huu 2024 akiwa hai.


Tumia ubongo wako kufikiri kisha tuelezee hii scerio kisayansi or however.
 
Ukweli ni ukweli tuu haijalishi unauma au la
 
Vinamsaidia nini sasa hivyo vitu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…