Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Kuna Clubs na Vilabu.

Clubs kuna Vijana, na kama hao ndio wanaodhani umezeeka, ujitathmini haswa.

Kwenye vilabu, huko ndio kuna wanzuki, gongo, mataputapu n.k n.k-kuna wazee huko, wanakupa prop tu uwanunulie gilasi-Sepa- hata hivyo hizo pombe zinazeesha haraka

Huwa unaenda zipi sijui
 
Kuna Clubs na Vilabu.

Clubs kuna Vijana, na kama hao ndio wanaodhani umezeeka, ujitathmini haswa.

Kwenye vilabu, huko ndio kuna wanzuki, gongo, mataputapu n.k n.k-kuna wazee huko, wanakupa prop tu uwanunulie gilasi-Sepa- hata hivyo hizo pombe zinazeesha haraka

Huwa unaenda zipi sijui
Situmii pombe wala Sikai kwenye vilabu vya pombe. Labda kwenye vijiwe vya kahawa ndipo napenda kukaa sana.
 
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Picha mkuu
Tujue labda umefuga ndevu
 
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Kiongozi kipara hicho ndo kinawachanganya watu, Na unapenda kuachaga ndevu za mashavuni kwann!? Sio salamu tu hata wanawake wa Rika lako wanakukataa.

Kiongozi kama huna kipara tusameheane tu..
 
Kijana acha kunywa COCACOLA utaazeeka sana. Nimekupa siri ya ndanii sana usifanye mchezo.

COCACOLA sijui PEPSI na MIRINDA na masoda mengineyo lakini haswa haswa COCA COLA, acha kabisa utageuka kuwa MBABU.

Usiweke uchafu mwilini, usinye mapombe na matakataka.

Kula chakula kilicho hai kile ambacho unavuna kutoka shambani au kwenye mti. Utakuwa kijana na mwenye sura ya mtoto mpaka utatongozwa laivu na MABICHWA KOMWE.

COCA COLA / COCA CORA....
😂😂😂 Muda gani huwa unaactivate mood ya serious tukutumie kwenye ushauri Bichwa komwe
 
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
BILA PICHA, HUU UZI NI BATILI
 
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Ww ni kijeba kabisa miaka yote hiyo 25!!??
Zee kabisa ww
 
Back
Top Bottom