Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?

Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.


Utapewa ushauri wa kila aina Ila mambo yanayomzeesha MTU haraka Sana ni

Stress
Stress

Sigara na bangi

Pombe zinaharibu mfumo wa ndani zaidi maini na figo ,moyo n.k

Pambana uzishinde stress kwanza.
 
Utapewa ushauri wa kila aina Ila mambo yanayomzeesha MTU haraka Sana ni

Stress
Stress

Sigara na bangi

Pombe zinaharibu mfumo wa ndani zaidi maini na figo ,moyo n.k

Pambana uzishinde stress kwanza.
Nadhani stress kwa umri huu ni kawaida hasa ukiwa tayari umeanza kuyabeba majukumu. Ila nitajitahidi kupunguza
 
Situmii pombe wala Sikai kwenye vilabu vya pombe. Labda kwenye vijiwe vya kahawa ndipo napenda kukaa sana.
Safi sana hunywi pombe ila kahawa nayo inaweza kuchochea muonekano wa ngozi yako kuonekana una ka uzee fulani. Au labda ni Genes nzuri tu. Kwani kuonekana umezeeka kuna kupunguzia nini? Hamna . Baraka hizo.
 
Kijana acha kunywa COCACOLA utaazeeka sana. Nimekupa siri ya ndanii sana usifanye mchezo.

COCACOLA sijui PEPSI na MIRINDA na masoda mengineyo lakini haswa haswa COCA COLA, acha kabisa utageuka kuwa MBABU.

Usiweke uchafu mwilini, usinywe mapombe na matakataka.

Kula chakula kilicho hai kile ambacho unavuna kutoka shambani au kwenye mti. Utakuwa kijana na mwenye sura ya mtoto mpaka utatongozwa laivu na MABICHWA KOMWE.

COCA COLA / COCA CORA....
Akuna cha Coca wala Pepsi mkuu ......acha kumdanganya huyu dogo ....Pombe nagonga vzr Nakula Vizuri ..Sijisifii ila kazini tu kuna madem kibao wananifukuzia.
 
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika.

Huwa najiuliza sababu ni nini, kama umbo la mwili sina umbo kubwa kivile. Labda wadau mnipe mawazo yenu maana hii hali inanichangaya kichwa wakati mwingine.
Acha bangi,viroba na pombe za ofa!
 
Safi sana hunywi pombe ila kahawa nayo inaweza kuchochea muonekano wa ngozi yako kuonekana una ka uzee fulani. Au labda ni Genes nzuri tu. Kwani kuonekana umezeeka kuna kupunguzia nini? Hamna . Baraka hizo.
Kuna mzee mmoja niliwahi muuliza hivyo, akaniangalia akasema ni kwasababu ya utofauti mkubwa nilio nao na vijana wengine wa rika langu. Nikamuuliza ni tofauti zipi akasema namna ninavyo ongea na appearance yangu kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom