Watu wanamhurumia Tundu Lisu kwa sababu alifukuzwa ubunge baada ya kushambuliwa kwa risasi !

Watu wanamhurumia Tundu Lisu kwa sababu alifukuzwa ubunge baada ya kushambuliwa kwa risasi !

Let us assume that: Magufuli alifanya ukatili wa kumpiga risasi 38 Lisu, katika hizo 16 zilimpata. Wewe huoni kuwa kumpa kura mtu katili kama huyu ni dhambi?

ok kajenga madaraja, sijui ndege etc etc je huoni hayo madaraja na hizo ndege ni kama bloody infrastructure ?

hata kama tunataka maendeleo yaje ethically, we need sustainable peace
Ufipa kuna magaidi hapo!
 
Kwa UFINYU wa akili yako ila wewe mburula wa lumumba ndiyo unajua kila kitu siyo!?
😂😂😂
Hahahaaaa........ habari za Ufipa zipo kiganjani bwashee!
 
Hai
Kinachoendelea kwa sasa kwa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu ni huruma ya wananchi kwa vile alifutwa kazi ya ubunge akiwa kwenye matibabu.

Ni vema hili likaeleweka huruma ikizidi inamfanya anayehurumiwa aonekane ni mtu maarufu hata kama hana umaarufu.
Na wengine wanaweza kumpigia kura kwa kumuhurumia tu hata kama hana uwezo wa kuongoza kwa nafasi anayogombea.

Kura za huruma hujilinda zenyewe hata kama ni chache.

Nimeisoma mahali fulani.

Maendeleo hayana vyama!
Haijalishi kura zinatoka kwa akina nani ,kwa lengo au kusudi gani
Sisi tunajua tunapata kura nyingi zaidi ya mgombea mwingine hivyo kuongoza na kutangazwa washindi
 
Lissu ni muasi na sifa ya muasini ni kuwa ana macho haoni, ana masikio hasikii. Lissu asipobadilika sijui hatima yake itakuwa nini.

Huwezi kuinajisi nchi ya Tanzania kwa kutetea ushoga. Kwa kauli za kijinga jinga kama ooh serikali ibadilishe katiba kifungu/kipengele cha faragha kuonesha kama kweli inapinga ushoga.

Ni bahati mbaya sana kuwa fedha za walipa kodi wa Tanzania zilimsomesha mwanasheria bogus kiasi hiki. Kuwa anatumia ujuzi wake washeria ku-manupulate sheria ili atetee ushoga. Lissu anafikiri kula mtu ni mjinga na atamchezea na kumdanganya. Walio tunga sheria ya katiba hawakuweka kifungu cha faragha wakilenga kutetea ushoga huo ndio ukweli. Ila Lissu kwa vile kawa mnufaika wa ushoga anachomekea hoja yake hapo baada ya kuona pengine yako mapungufu ya kisheria.

Wakati mwengine Lissu atumie hata hekima basi, mbona anaenda kiwehu wehu hivi tu. Mfalme Sulemani alipoamua kesi ya wamama wawili walio kuwa wakigombea mtoto asinge tumia hekima akaenda kichwa kichwa kwa sheria tu, sijui hatima ya wamama wale na mtoto yule ingalikuwa nini?

Na ashukuriwe Mungu kwa sababu wakati Taifa hili limeungana kumuomba kuhusu corona huyu laana tula hakuwepo. Pengine angali kuwepo na sera zake za ushoga tungali kuwa chukizo mbele ya Mungu.

Corona bado inasumbua wengine, ni yeye anamchokoza Mungu kwa kuongelea na kuuteta ushoga kwa hila za kisheria. Na ajue Mungu huliadhibu taifa kwa vita, njaa, magonjwa ya mlipuko etc. Kama kweli Watanzania tunajielewa tunatakiwa tumuogope huyu bwana kama ukoma. Lissu aache kushadadia ushoga asituchonganishe na Mwenyezi Mungu. Come on, Lissu Stop This Nonsense!
 
Kinachoendelea kwa sasa kwa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu ni huruma ya wananchi kwa vile alifutwa kazi ya ubunge akiwa kwenye matibabu.

Ni vema hili likaeleweka huruma ikizidi inamfanya anayehurumiwa aonekane ni mtu maarufu hata kama hana umaarufu.
Na wengine wanaweza kumpigia kura kwa kumuhurumia tu hata kama hana uwezo wa kuongoza kwa nafasi anayogombea.

Kura za huruma hujilinda zenyewe hata kama ni chache.

Nimeisoma mahali fulani.

Maendeleo hayana vyama!
Tuwe wakweli ukiangalia akili ya jiwe utaifananisha na ya Lissu?
Jiwe hafai ndugu yangu
 
Kinachoendelea kwa sasa kwa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu ni huruma ya wananchi kwa vile alifutwa kazi ya ubunge akiwa kwenye matibabu.

Ni vema hili likaeleweka huruma ikizidi inamfanya anayehurumiwa aonekane ni mtu maarufu hata kama hana umaarufu.
Na wengine wanaweza kumpigia kura kwa kumuhurumia tu hata kama hana uwezo wa kuongoza kwa nafasi anayogombea.

Kura za huruma hujilinda zenyewe hata kama ni chache.

Nimeisoma mahali fulani.

Maendeleo hayana vyama!
sijawahi kupiga kura hata mara moja na sikuona umuhimu wa kufanya hivyo,lakini kwa mara ya kwanza nitapiga mwaka huu,na nitampigia Tundu lissu.Sababu zipo nyingi za kumpigia tundu lissu,huyu jamaa ni mpinzani kweli,na harakati zake za kudai haki na kuwapigania watu hajaanza leo,japo kuna propaganda mbaya nyingi zinazoanzishwa na wapinzani wake wa kisiasa kumuhusu yeye ili kumchafua,kwa sisi au mimi nilienza ku kafatilia harakati zake tangu muda mrefu,sina shaka kabisa kwenda kumpa kura yangu kwa mara ya kwanza.
 
Kinachoendelea kwa sasa kwa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu ni huruma ya wananchi kwa vile alifutwa kazi ya ubunge akiwa kwenye matibabu.

Ni vema hili likaeleweka huruma ikizidi inamfanya anayehurumiwa aonekane ni mtu maarufu hata kama hana umaarufu.
Na wengine wanaweza kumpigia kura kwa kumuhurumia tu hata kama hana uwezo wa kuongoza kwa nafasi anayogombea.

Kura za huruma hujilinda zenyewe hata kama ni chache.

Nimeisoma mahali fulani.

Maendeleo hayana vyama!

..sasa kwanini IGP Sirro anamchukia Tundu Lissu kiasi hiki?

..Tangu Lissu arejee nchini IGP amekuwa mtu wa kununa na mwenye hasira wakati wote.
 
Lissu ni muasi na sifa ya muasini ni kuwa ana macho haoni, ana masikio hasikii. Lissu asipobadilika sijui hatima yake itakuwa nini.

Huwezi kuinajisi nchi ya Tanzania kwa kutetea ushoga. Kwa kauli za kijinga jinga kama ooh serikali ibadilishe katiba kifungu/kipengele cha faragha kuonesha kama kweli inapinga ushoga.

Ni bahati mbaya sana kuwa fedha za walipa kodi wa Tanzania zilimsomesha mwanasheria bogus kiasi hiki. Kuwa anatumia ujuzi wake washeria ku-manupulate sheria ili atetee ushoga. Lissu anafikiri kula mtu ni mjinga na atamchezea na kumdanganya. Walio tunga sheria ya katiba hawakuweka kifungu cha faragha wakilenga kutetea ushoga huo ndio ukweli. Ila Lissu kwa vile kawa mnufaika wa ushoga anachomekea hoja yake hapo baada ya kuona pengine yako mapungufu ya kisheria.

Wakati mwengine Lissu atumie hata hekima basi, mbona anaenda kiwehu wehu hivi tu. Mfalme Sulemani alipoamua kesi ya wamama wawili walio kuwa wakigombea mtoto asinge tumia hekima akaenda kichwa kichwa kwa sheria tu, sijui hatima ya wamama wale na mtoto yule ingalikuwa nini?

Na ashukuriwe Mungu kwa sababu wakati Taifa hili limeungana kumuomba kuhusu corona huyu laana tula hakuwepo. Pengine angali kuwepo na sera zake za ushoga tungali kuwa chukizo mbele ya Mungu.

Corona bado inasumbua wengine, ni yeye anamchokoza Mungu kwa kuongelea na kuuteta ushoga kwa hila za kisheria. Na ajue Mungu huliadhibu taifa kwa vita, njaa, magonjwa ya mlipuko etc. Kama kweli Watanzania tunajielewa tunatakiwa tumuogope huyu bwana kama ukoma. Lissu aache kushadadia ushoga asituchonganishe na Mwenyezi Mungu. Come on, Lissu Stop This Nonsense!
Kunywa maji umeze haya makamasi uliyojaza hapa.
 
Kinachoendelea kwa sasa kwa mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu ni huruma ya wananchi kwa vile alifutwa kazi ya ubunge akiwa kwenye matibabu.

Ni vema hili likaeleweka huruma ikizidi inamfanya anayehurumiwa aonekane ni mtu maarufu hata kama hana umaarufu.
Na wengine wanaweza kumpigia kura kwa kumuhurumia tu hata kama hana uwezo wa kuongoza kwa nafasi anayogombea.

Kura za huruma hujilinda zenyewe hata kama ni chache.

Nimeisoma mahali fulani.

Maendeleo hayana vyama!
Hehehee as long as atashinda hayo mengine ni yenu.
 
Back
Top Bottom